Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Na kwa ushahidi upi ili Lissu awe muongo?Ok sawa siyo B 54!! Wewe Kwa hesabu zako umepata shilingi ngapi jumla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa ushahidi upi ili Lissu awe muongo?Ok sawa siyo B 54!! Wewe Kwa hesabu zako umepata shilingi ngapi jumla?
Unaumia anavyochangiwa pesa? Achana na bei pikipiki ni hongo au ni nini? Kwa nini sheria ya uchaguzi haiheshimiki? Tuseme pikipiki bei kila moja ni laki moja tu,je ndio utaratibu kwa mgombea kujinadi kabla ya kampeni?Lissu ni muongo sasa bei anayotaja ni ya last consumer,hajataja bei ya jumla kwa mnunuzi,endeleeni kumwamini na kumchangia pesa baada ya wiki mbili atakuwa Amsterdam
Hujamsikia lissu naye kasema ataanza kampeni,shida iko wapi?Unaumia anavyochangiwa pesa? Achana na bei pikipiki ni hongo au ni nini? Kwa nini sheria ya uchaguzi haiheshimiki? Tuseme pikipiki bei kila moja ni laki moja tu,je ndio utaratibu kwa mgombea kujinadi kabla ya kampeni?
Kaa na ujinga wako nenda kariakoo ukanunue pili piki ya hiyo million kama utaipata punguzeni uzuzu hata kama nyie ni wajinga sana .Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,
Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.
Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu
Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu
Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Mkuu naona wewe ndo mjinga,unajua hizo pikipiki zimenunuliwa kariakoo?Kaa na ujinga wako nenda kariakoo ukanunue pili piki ya hiyo million kama utaipata punguzeni uzuzu hata kama nyie ni wajinga sana .
Haiondoi ujinga wako zaidi unaukomaza ujinga wenyewe pengine huko mbele utakua Dr mjinga.Mkuu naona wewe ndo mjinga,unajua hizo pikipiki zimenunuliwa kariakoo?
Naona mepaniki,asante kwa kuitabiri kuwa DR.ubarikiwe mkuuHaiondoi ujinga wako zaidi unaukomaza ujinga wenyewe pengine huko mbele utakua Dr mjinga.
Endelea kuuishi ujingaNaona mepaniki,asante kwa kuitabiri kuwa DR.ubarikiwe mkuu
Hiyo bi9 mama katoa wapi?Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,
Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.
Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu
Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu
Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ruzuku ya chamaHiyo bi9 mama katoa wapi?
Huyu mwehu miyeyusho sana!!!😂😂😂😂 laki7 boxa?😂😂😂😂 huu uchawa niwa kiwango cha lamiMi nahangaika kuwaza tu buree, kumbe pikipiki ni laki 7 tu? Tena boxer! naomba uniagizie nakutumia hiyo hela
Ni hela nyingi sana aisee.
Pikipiki zimeandikwa SSH2025 na zina picha yake, hatujaanza kampeni, mama ameanza kampeni zaidi ya mwaka na nusu kabla ya uchaguzi. Kama ameanza yeye na sisi tuanze, amefungulia mlango.
Kila kata ya mkoa wa Singida imepewa pikipiki kulingana na idadi ya vijiji vyake, mkoa mzima wa Singida zimeletwa pikipiki 700, na Tanzania nzima kila mkoa kapeleka pikipiki 700, na Tanzania bara iko mikoa 26, hivyo fanya pikipiki 700*26 ni 18,200. Ukienda mjini kuafuta pikipiki moja inauzwa milioni 3 mpyaa. Zidisha pikipiki 18,200*3,000,000 ni shilingi bilioni 54,600,000,000.
Bilioni 54 katika nchi ambayo watoto wanakaa chini hawana madawati, mahospitali hayana madawa, hakuna maji ya kunywa, barabara ni mbovu ila kuna pikipiki za kugawa bure za Rais za Tsh. 54,600,000,000
Nyie mnajua maana sizungumzi vitu ambavyo hamvijui, Magufuli si alifanya kampeni, aligawa pikipiki? Kikwete si alifanya kampeni, aligawa pikipiki? Mkapa aligawa pikipiki?
Huyu anatuletea pikipiki, siyo za CCM, zingekuwa za CCM zingeandikwa Chagua CCM etc etc. Hizi zimeandikwa SSH2025, ni za kwake na siyo za Serikali.
Hizo hela amezitoa wapi huyo anayetaka tumuite mama? kumbuka ameuza bandari zetu kwa warabu, ameuza hifadhi ya misitu yetu hekta 9,900,000 kwa waarabu, kiwanja cha ndege cha KIA kauza kwa waarabu, kule umasaini kafukuza wamasai wamepelekwa Handeni ili auze kwa waarabu.
Hii bilioni 54 ametoa wapi kama siyo hii biashara haramu anayofanya na mali za nchi yetu? CCM tuambie huyu mwenyekiti wenu anayetaka tumuite mama ametoa wapi hizi pikipiki hizi 18,200. Ana hela wapi, ana biashara gani?
Mwalimu Nyerere kabla hajafa aliuza " Hivi Ikulu kuna Biashara gani" Samia Suluhu Hassan, Ikulu kuna biashara gani za kukupatia wewe Tsh 54,600,000,000 za kugawa pikipiki Tanzania nzima?
Pia soma: Kuelekea 2025 - Lissu: Wasijifiche nyuma ya msikiti, waje hadharani tuyaseme matendo yao maovu
Chadema mnajidhalilisha mbele ya jumuiya ya kimataifa hizo pikipiki China hazizidi milioni moja na laki mbili kiwandani ukiagiza nyingiHawana uwezo wa kutoa 54b za pikipiki hata kama wana vyanzo vya mapato.
ChawaIn Short one motorcycle of that kind in china doesn't cost more than one milion and two thousands Tanzania shilings at whole price in China
Tundu Lisu is the biggest political liar in the country
Those who finance Lisu and Chadema mind your pockets please
Akina 'Roast' hao wanaonunua serikali yao iwaletee manufaa wao.Zimetoka kwenye mgao wa sukari ya Bashe, na mauzo ya bandari.
ndio tuambiwe pia sisi wanachama wa CCM kwamba pesa za chama chetu zimetumika kununua pikpiki za mwenyekiti!!!!!!Ama namna gani😂😂😂CCM wanavyanzo vingi vya mapato, pengine zimetokes huko