Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Pre GE2025 Tundu Lissu: Bilioni 54 za kununua pikipiki "SSH 2025" zimetoka wapi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Wewe ndiye kaongo sugu.Pikipiki gani inayouzwa Ths.1 mln?Na ni lini ulimjibu hoja zake kwa huo unaouita ukweli wako?Hizo za milioni-milioni ni za mabua au scrapped za kurudishwa kiwandani?
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
We ndio muwongo. Hiyo boxer ya laki Saba unapata wapi? Umetuwekea bei ya kiwandani pale China (cost) bila usafiri, bima na kodi inapoingia nchini.
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Nionyeshe Bei ya pikipiki ya laki 5 hapa bongo.Lissu kasema Bei ya bongo.wewe unalete Bei za kule Kwa manufacture bado usafirishahji nk
 
Ficha ujinga wako nenda dukani wanakouza piki piki ndio uje na bei,hizo online ushaweka kodi hapo? Mambo ya wazi kabisa unataka kutumia nguvu kibao sokoni kwa sasa Bajaj ni 12m na piki piki ni 3m approximately
Subishani na watu wa jamii yako,mimi naongelea china wewe unaleta habari za kariakoo
 
Wewe ndiye kaongo sugu.Pikipiki gani inayouzwa Ths.1 mln?Na ni lini ulimjibu hoja zake kwa huo unaouita ukweli wako?Hizo za milioni-milioni ni za mabua au scrapped za kurudishwa kiwandani?
Muwe mnasoma na kuelewa,tatizo mbogo zenu zimekaririshwa kupinga bila kuelewa hoja,elewa neno china
 
Nionyeshe Bei ya pikipiki ya laki 5 hapa bongo.Lissu kasema Bei ya bongo.wewe unalete Bei za kule Kwa manufacture bado usafirishahji nk
Lissu anaushahidi kuwa hizo pikipiki zilinunuliwa bongo auziliagizwa ng'ambo?
 
Sasa kwani pikipiki zimegawiwa China au?na kama unaongelea China inakuaje useme TAL anaongopa?
Lissu ni muongo sasa bei anayotaja ni ya last consumer,hajataja bei ya jumla kwa mnunuzi,endeleeni kumwamini na kumchangia pesa baada ya wiki mbili atakuwa Amsterdam
 
Muwe mnasoma na kuelewa,tatizo mbogo zenu zimekaririshwa kupinga bila kuelewa hoja,elewa neno china
Hata ingekuwa mpakani mwa Kenya,bei haiwezi kuwa 1.m.Labda,labda utueleze kwamba amepewa zawadi na makomredi wa huko China.Labda!Dukani hapa Tz hizo "vunja miguu" ni 2.8 hadi 3.3 mlns.Tena ninyi chawa mkiagizwa vitu huwa mnajiongezea bei mpate cha juu.Mngesema mmenunua kwa 6.mlns.
 
Sasa kwani pikipiki zimegawiwa China au?na kama unaongelea China inakuaje useme TAL anaongopa?
Huyu ndugu analazimisha mambo kama kila chombo hununuliwa huko China na kubaki hivyo.Haweki usafiri,usajili na matumizi ya ziada hadi kumfikia mtumiaji-mlengwa wa "hongo" hiyo.
 
Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,

Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.

Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu

Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu


Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Ok sawa siyo B 54!! Wewe Kwa hesabu zako umepata shilingi ngapi jumla?
 
Back
Top Bottom