Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Ruzuku ya chama,na ada za wanachamaBasi tuamini ya kwako lkn hizo 9b kazitoa wapi? Tatizo sio wingi wa hela bali tunataka kujua zimetokea wapi B9
Kumtaja Lisu au kada yoyote wa cdm kunaweza kukupa umaarufu na Uzi wako kupata wachangiaji wengi 😂anajitutumua na kujichasha bure tu,
wananchi wanaendelea na shughuli zao tu wala hawana habari nae maskini
siku ya 17 leo, kakomaa na singida tu na wala hana inpact yoyote, kama yalivyokua yale majorging waliyoyafanya huko nyuma, anadai eti lema amepata dharura ameshindwa kuhudhuria mkutano wa itigi
Taratibu dawa inakuingia tulia.anajitutumua na kujichasha bure tu,
wananchi wanaendelea na shughuli zao tu wala hawana habari nae maskini
siku ya 17 leo, kakomaa na singida tu na wala hana inpact yoyote, kama yalivyokua yale majorging waliyoyafanya huko nyuma, anadai eti lema amepata dharura ameshindwa kuhudhuria mkutano wa itigi
Huwa mnalipwa bei gani kuhangaika kuzibeza na kuzikanusha hoja halali za wapinzani?anajitutumua na kujichasha bure tu,
wananchi wanaendelea na shughuli zao tu wala hawana habari nae maskini
siku ya 17 leo, kakomaa na singida tu na wala hana inpact yoyote, kama yalivyokua yale majorging waliyoyafanya huko nyuma, anadai eti lema amepata dharura ameshindwa kuhudhuria mkutano wa itigi
Wewe Utakuwa Samia kwa hiyo utapitisha bila ya kulipa ushuru. Kweli Lissu ni muongo!Serikali kukaa kimya na kumuacha huyu bwana kudanganya umma ni kama,haileti afya kwa nchi yetu,
Huyu jamaa asili yake ni uongo,na ni mchonganishi mkubwa sana,hafai hata kupewa uenyekiti wa kitongoji. watanzania tuamke tukatae wanasiasa wa jamii ya Lissu wanahatarisha usalama wa nchi yetu.
Nimengalia bei yapikipiki kwenye mtandao wa alibaba ,pikipiki moja mpya inauzwa kuanzia shilingi 700,000 hadi sh 1,000,000 kwa boxer mpya,sasa yeye lissu anasema pikipiki moja ni sh 3,000'000 huu ni uongo,na kwa bei hii nchini China ya 700,000 kuna uwezekano wa kupunguziwa bei kutokana na mzigo kuwa mkubwa hivyo pikipiki moja ikauzwa kwa sh 500,000 mara 18,200 sawa sawa nabilioni 9 tu
Sasa huyu yeye hiyo bei ya 54 B kaitoa wapi,kweli hata mimi nitake mzigo wote huo wa pikipiki 18,200 ninunue nchini wakati ukiagiza china bei ni nafuu mara dufu
Watanzania tuamke na tuwakatae mapema sana hawa watu wanaotuchinganisha kwa masrahi yao wenyewe
Usidanganyike...!CCM wanavyanzo vingi vya mapato, pengine zimetokes huko
Unajuaje Jinsia yake? 🐼Uchawa ni kazi ngumu aisee. Yaani inabidi ulambe miguu ya wanaume wenzako hivi hivi.
bodaboda, bajaji, mipira na jezi za ccm, t shirts, kofia, fulana, vitenge, kanga, skafu, beji, medali n.k ni sehemu kidogo sana ya ruzuku ya chama cha mapindizi....Ulichokiandika hapa ndio impact yenyewe. Tulieni tunataka majibu SSH bodaboda katoa wapi hela. Suala la sukari lipo Bungeni.
kijana moja ametumwa kutoka huko magharibi, eti kwa vile walimsaidia kakitu, ati sasa atafute uongoozi wa tz kwa niaba yaoNdio nani huyo??
Na unaweza kukuta alikua anaangalia kupitia medium fulani hadi macho yamemvimba.Wewe kuja kubweka hapa ndo impact yenyewe sasa kwamba jiwe limegonga mbwa sahihi
Same to nyie kunguni za Chadema, ispokuwa ukunguni wenu viongozi wenu hawauthamini.Uchawa ni kazi ngumu aisee. Yaani inabidi ulambe miguu ya wanaume wenzako hivi hivi.
Jiografia inakusumbua.Ulipo hapo Ulaya ipo magharibi?kijana moja ametumwa kutoka huko magharibi, eti kwa vile walimsaidia kakitu, ati sasa atafute uongoozi wa tz kwa niaba yao
kwamba sasa jiwe linagonga singida singidani pekee siku ya 17 leo, nje ya hapo upepo umekata kabisa, right?Wewe kuja kubweka hapa ndo impact yenyewe sasa kwamba jiwe limegonga mbwa sahihi
we mweupe tu alwaysKumtaja Lisu au kada yoyote wa cdm kunaweza kukupa umaarufu na Uzi wako kupata wachangiaji wengi 😂
hebu nisahihishe basi nipate kakitu kakujifunza kamandaJiografia inakusumbua.Ulipo hapo Ulaya ipo magharibi?
sure,Na unaweza kukuta alikua anaangalia kupitia medium fulani hadi macho yamemvimba.