Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

Lisu anataka kutuletea mambo ya kisekondari sekondari. Eti Debate.

Nani anataka kudebate na mgombea wa chama kikuu cha wapangaji.

Wanapokea ruzuku wananywea konyagi badala ya kujenga ofisi.

Hivi kweli wanadhani watamdanganya nani kuwa wanaweza kuleta maendeleo wakati kujisimamia wao tu hawawezi.
 
Ndyomaana tunataka katiba mpya isiokuwa na upuuzi wa namna iyo.
 
Tuseme tu na ukweli, Magu hawezi risk hata siku mmoja kufanya mdahalo na lisu. Ni kamma anavyohofia kuhojiwa na BBC.
 
Tuseme tu na ukweli, Magu hawezi risk hata siku mmoja kufanya mdahalo na lisu. Ni kamma anavyohofia kuhojiwa na BBC.
Sio risk ni suala la kuamua unafanya nini kwa faida gani. Ccm hatuendeshwi na maono ya Lissu
 
Tuseme tu na ukweli, Magu hawezi risk hata siku mmoja kufanya mdahalo na lisu. Ni kamma anavyohofia kuhojiwa na BBC.
Kwa akili yako hata hao Bbc aogope kuhojiwa na kwa sababu ipi? Yule ni mtu wa vitendo, kazi anayoifanya inaonekana, unamhoji nini? Miaka mingine mitano anapewa ili akamikishe makubwa akiyoyafanya.
 
Magufuli atakubali mdahalo iwapo IGP, CDF. Kabudi na Polepole watakuwepo.
 
Mr. Pushups hawezi midahalo. Yeye hasira kaweka mbele. Kuna mambo ya kujisifia na sio miundo mbinu. Huwezi kujisifia barabara, au flover ukataka wananchi wakuchagua. Huwezi kujieleza mbele ya hadhara ya watu wanaoweza kukuhoji. Mtihani sana kutawaliwa na CCM.
 

Mimi sikusema kama ukijua Kiingereza ndiyo una uwezo mkubwa wa kuwa rais. Tatizo langu ni wewe kumuweka Lissu na Magufuli kwenye level moja ya kujua Kiingereza. Juha ni wewe ambaye hukujua ni kitu gani nilikuwa nabishania. Nina mashaka kama kweli kazi yako ni ya kufundisha huko Marekani kwasababu ujinga wako unaonekana dhahiri hapa Jamiiforums.
 
Magufuli atakubali mdahalo iwapo IGP, CDF. Kabudi na Polepole watakuwepo.
Afanye mdahalo wa nini na mgombea ambae anasema mto Rufiji hauna maji ya uhakika? Ndio asumbuke kuandaa mdahalo na mtu kama huyu! Igp na Cdf wa nini kwenye mdahalo wa mtu kama huyu!
 
Sijakuelewa comrade, unasema upuuzi unazungumzia mdahalo wa Lissu?
Mdahalo, Sera hatuna haja nazo sisi
Wengine mauno, misambwanda ya wasanii wacheza show yao inatosha mzee

Ova
 
Sawa basi acha tuendele kuangalia mauno ya wsanii
Sera hatuna mpango nazooo kwa Sasa

Ova
Labda huwa husikilizi nini JPM huwa ananadi ilani ya Ccm ilivyotekelezwa,itavyotekelezwa kwa kila mkoa. Kazi yako ni kusikiliza wasanii.
 
Mdahalo wa kazi gani? Mwezi ujao hatuendi kuchagua mtu anayeongea vizuri. Hayo tulikuwa tukiyafanya shuleni kwenye 'debating clubs'. Kukiwa na mashindano kati ya shule na shule, kila shule inachagua wale wanaokimwaga Kimombo vizuri kwenda kuiwakilisha shule. Mwezi ujao tunaenda kuchagua mtu wa kutuongoza na kutuletea maendeleo. Tunahitaji mtendaji, Siyo mzungumzaji. Magufuli ameisha dhihirisha utendaji wake. Huenda hana kipaji cha uongeaji. Hata Kimombo chake si kizuri sana kama wapinzani wanavyokazia. Lakini hata kipofu ameona utendaji wake. Anafuatilia mambo yeye mwenyewe. Siku ya kwanza baada ya kushika madaraka aliibukia Hazina kwa kutembea kwa mguu. Siku chache baadaye akaenda Muhimbili ambako kulikuwa na uwozo mkubwa. Mambo yakaboreshwa. Miezi michache iliyopita tulishuhudia akimpagasha Mkuu wa Mkoa wa wakati huo kuhusu kiwanda cha machinjio hapo Dar. Kwa hiyo ameendelea na ufuatiliaji hivyo hivyo tangu siku ya kwanza mpaka juzi aliposikika akimuagiza Mfugale kuhusu barabara ya Kilomita 46 huko Ukerewe. Wengine wakahusisha hilo na uchaguzi ujao ambapo ukweli ni kwamba amekuwa mfuatiliaji tangu siku ya kwanza kuingia madarakani. Lissu ni mzungumzaji tu. Kila kuhutubia kwake amekuwa akijikita katika madhaifu ya Magufuli kuliko kusema atatutendea nini. Hakuna maana kuwadanganya watu kwa maneno mazuri. Hakuna haja kabisa ya mdahalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…