Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

13 September 2020
Iringa, Tanzania

"Nataka mdahalo kati yangu na JIWE" - Tundu Lissu



"hii ngoma ni kati yangu mie na Jiwe hivyo nafikiri ni jambo la heri na afya kidemokrasia kama mdahalo huu utatukutanisha na kurushwa live / mubashara na televisheni zote za Tanzania. (Watu wote viwanja vya MwembeTogwa Iringa mjini washangilia wakilipuka kwa vifijo) Haki hiyo ya waTanzania kuwapima wagombea hawa wawili wa kutoka CCM Mpya na CHADEMA na kuepukana kuchengana chengana wakati wanaweza kupanda katika kilinge wapambanishe hoja.

N.B
Mgombea wa CCM lazima asukumwe ndani ya ulingo, maana kama CCM ya zamani 2015 ilimburuta kuingia ktk kinyanganyiro cha kugombea basi CCM Mpya imburute aingie ulingoni kulinda heshima ya CCM Mpya katika mdahalo ili waTanzania wapate faida ya kisiasa nani ni zaidi :
 
Magufuli hawezi kujitokeza kwenye huo mdahalo, hana ubavu wa kushindanisha hoja na Lissu. Yeye amezoa KUAMURU tu.
Sisi hatutaki midahalo,walio karibu na mgombea wetu wa chadema wamwambie ,raia wanataka Sera,sio Mara nina risasi 16 kiunoni,sasa zinamsaidiaje raia wa kawaida hizo risasi?

Huyu mgombea wetu anatuangusha sana ,harafu akishindwa aanze kusingia ccm wameiba kura zake
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Huyu jamaa anafikiri kushinda urais ni sawa na kutetea kesi za akina Mbowe pale kisutu!

Mwambie kura hazipo kwenye mdahalo ila zipo huko field..
 
Huyo mjamaa amekulia porini afu anajiona lugha ya kingereza ni kijijini kwao

Kufanya mjadala na mropkaji wa matusi nani atakubali?
Aende ubeligiji akafanye mjadala na robert
Jibu hoja Chato ni mjini kwani tuache Siasa za kishamba Tanzania kwanza hlf kijani au makanda au Team Ubwabwa baadae...

Sent from my ANE-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Naam Ni Yeye 2020.
IMG_20200913_192619.jpeg
 
Sisi hatutaki midahalo,walio karibu na mgombea wetu wa chadema wamwambie ,raia wanataka Sera,sio Mara nina risasi 16 kiunoni,sasa zinamsaidiaje raia wa kawaida hizo risasi?

Huyu mgombea wetu anatuangusha sana ,harafu akishindwa aanze kusingia ccm wameiba kura zake
Mdahalo hautakiwi na wewe na CCM wenzio huko, msitukosee adabu watanzania wengine. Duniani kote wagombea wanapimwa hoja zao kupitia midahalo.
 
Tundu Lissu hajajitengenezea utaratibu mzuri wa kupewa "offer" ya mdahalo.

Midahalo ni "privilege" yaani upendeleo na si "right" au haki.

Isitoshe, midahalo huwa haiombwi au kushurutishwa na mgombea au wagombea

Hiyo ni kazi ya vyombo vya habari ambayo hufanywa baada ya kuridhishwa na sera walozisikia kutoka kwa kila mgombea wa vyama viwili vikuu.
 
Mbona wagombea wako wengi tu, kwanini iwe ni John tu.
Kuna Membe, Rungwe n.k anaweza fanya nao mdahalo pia.
 
Mbona wagombea wako wengi tu, kwanini iwe ni John tu.
Kuna Membe, Rungwe n.k anaweza fanya nao mdahalo pia.
Hao hawajakaa serikalini inatakiwa aliyeshika madaraka na kuaminisha watu juu ya hili na lile aje kwa miaka mingi ayathibitishe hayo kwenye mdahalo

Niliwahi kuomba picha za viwanda vinavyohubiriwa kujengwa nchi nzima na products zake hakuna lumumba aliyepost hizo picha luthibitisha
 
Hawana chakuongea ndiyo mana huwa wanaikimbia

Wanacho cha kuongea ila mazingira hayaruhusu.

Kwani hii midahalo huongelea zile sera zao na kuwapa nafasi wananchi kuzipima na kumpima mgombea.

Kwa sasa huu mtindo wa kuzunguka nchi nzima ni mdahalo tosha.

Wenzetu Marekani na wengine wamekuwa wakifanya hii midahalo tangu miaka ya 60.

Hivyo hatuwezi kuiga kila kitu.
 
Back
Top Bottom