babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Wtf is wrong with you people,Magufuli for real akakae na kibaka huyu kujadili nini???Ccm mnakataa kwanini?
aisee,huyo lissu ni rais wako wa matopeni mkale mavi kabisa.Hilo karai lisilojielewa; haeleweki hata huwa anazungumza nini, yule hastahili kupangwa na Lissu hata kidogo.
Lugha gani? Yaani rais aachae kufanya kazi zake afanye mdahalo na mtu ambae haoni hata umuhimu wa mradi kama JNHPP! Nini maana ya Mataga acha kukariri ushamba.haaaa haaa MATAGA mmechafukwa leo. Tatizo nini lugha? au maguvu bila point
Ishu sio mdahalo,je unafanya mdahalo na mtu wa namna gani. Unaweza kwenda kufanya mdahalo na mtu anayesema hata Wajerumani walijenga barabara. Kwani Wajerumani waliacha nchi yeu hivi?Kwa kuwa tupo utaona mwakani Kama Trump hatafanya mdahalo na pia tafuta uchaguzi uliopita wa Kenya uone kama Uhuru hakushiriki mdahalo na pia tembelea Israel Kama Letanyau hakushiriki midahalo!!!!! Ccm mnaogoa nini?huu ni uchaguzi wagombea wote Wana hadhi sawa,na kumbuka wote wameomba na kufata vigezo vya tume Kama wagombea wapya
poa poa TAGA mkuu.Lugha gani? Yaani rais aacha kufanya kazi zake afanye mdahalo na mtu ambae haoni hata umuhimu wa mradi kama JNHPP! Nini maana ya Mataga acha kukariri ushamba.
Umejibu nini? Unamaliza wino wako bure.poa poa TAGA mkuu.
Kuyatetea kwa nani? Kama mtu anasema kweli anakubali makubwa yamefanyika,ila anataka aone mkataba wa mikopo ya pesa ambazo serikali inakopa. Kwani yeye ni mbunge!Hahaha si ndio maana ya Mdahalo, Magufuli naye aje ayatetee hayo maendeleo tumsikie
Jibu hili linaonyesha mapungufu makubwa kichwani mwako, na hivyo hoja zako zote zitakuwa na mapungufu kama haya hayaKama kazi hata na mimi nimeajiriwa na nawasiliana na watu kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi hata na mimi nakijua vizuri sana. Mpumbavu kama wewe unataka kuwaaminisha watu kuwa Tundu Lissu na Magufuli wapo sawa kwenye lugha ya Kiingereza, siyo kweli.
Jibu hili linaonyesha mapungufu makubwa kichwani mwako, na hivyo hoja zako zote zitakuwa na mapungufu kama haya haya
Anayejikweza ndiyo huwa wa mwisho.Lissu is being extra..eti Rais wa Jamuhuri na Mgombea wa CCM Anamuogopa na kumchenga chenga. Sijui ni kwanini Lissu amekwea level ya juu mno..na haoni wa kumlinganisha naye ktk Tanzania...
Kama kazi hata na mimi nimeajiriwa na nawasiliana na watu kwa lugha ya Kiingereza.. Kwa ufupi hata na mimi nakijua vizuri sana. Mpumbavu kama wewe unataka kuwaaminisha watu kuwa Tundu Lissu na Magufuli wapo sawa kwenye lugha ya Kiingereza, siyo kweli.
Scotland yard (na FBI) huwa hafanyi kazi kwa mazingaombwe; huwa wanataka ushahidi kamili. Huwezi kusema unaleta Scotland Yard bila kuwa na ushahidi wakati crime scene imeshakuwa contaminated. Zamani sana waliletwa scotland Yard kuchunguza moto wa benki kuu wakaondoka kapa. Ni imani ya kudhani kuwa taasisis za nje zina majibu yote ya matatizo yetu lakini siyo kweli.Kwanini hamtaki wachunguzi binafsi Scotland yard walitaka kuchunguza bure bila malipo serikali ilikataa.na serikali imekaa kimya as nothing happened. Usitetee upumbavu hata kama unalipwa ujira.tafuta kazi ya kufanya upate hela halali
Hilo jibu nililokwoti ni la kijinga sana na wala halikuwa na uhusiano na post yangu kiasi kuwa linaonyesha mapungufu makubwa sana ya uelewa wako wa mambo unayosoma. Post yangu ni kuwa kujua Kiiengereza siyo kigezo cha urais kwani hata mimi najua kiingereza kuliko wote waiwili lakini sijidai kuwa mimi ni bora kuwa raisi kuliko wao. lakini wewe kwa akili fupi ukakurupukia mambo ya ajabu yasiyohusikaYataje hayo mapungufu
Unaweza kuwa na familia inayoongea kiingereza wakati mwenyewe unababaisha ila mnaelewana kimawasiliano tu! Nimeshakutana na familia nyingi za aina ambayo mke anakuwa ni face ya familia kwa sababu mwanamme hajui lugha vizuri. Binafsi watoto wangu wote hawajui kiswahili sawaswa ingawa mke wangu ni mtanzania ambaye siyo kabila langu na wala sijui lugha yao lakini siwezi kutumia leverage ya watoto wangu au mke wangu kujua lugha zao. Mimi nazungumzia lugha ya kiingereza kwa sababu ya nature ya kazi yangu, siyo kwa sababu ya mazingira ya familia yangu.
Nilichosema ni kuwa uwezo wa kuongea kiingereza siyo kigezo cha kumchagua mtu kuwa rais kwani hata mimi najua sana kiingereza kutokana na experience ya kazi yangu kuliko wao lakini sijidai kuwa ni bora kuliko wao na ninaweza kuwa rais mzuri. Swala la kusema usimlinganishe magufuli na Lissu ni sawa lakini kwangu mimi nawaona wote bado wako chini; inawezekana mmoja yuko chini kwa hatua moja na mwingine kwa hatua mbili lakini siyo kweli kuwa Lissu ni master wa Kiingereza na hivyo ndiyo anayepaswa kuwa raisi; no...ungeweza kusema kuwa TL hajui kiingereza, na ukaishia hapo.
..sasa kudai kwamba TL, na Jpm, wanalingana ktk kuimudu lugha hiyo, nadhani umekwenda mbali.
..umeteleza na kupoteza heshima yako ktk mjadala huu.
Nilichosema ni kuwa uwezo wa kuongea kiingereza siyo kigezo cha kumchagua mtu kuwa rais kwani hata mimi najua sana kiingereza kutokana na experience ya kazi yangu kuliko wao lakini sijidai kuwa ni bora kuliko wao na ninaweza kuwa rais mzuri. Swala la kusema usimlinganishe magufuli na Lissu ni sawa lakini kwangu mimi nawaona wote bado wako chini; inawezekana mmoja yuko chini kwa hatua moja na mwingine kwa hatua mbili lakini siyo kweli kuwa Lissu ni master wa Kiingereza na hivyo ndiyo anayepaswa kuwa raisi; no.