Lissu anapendwa kwasababu ya Mambo aliyofanyiwa na haya dunia haitasahau na ipo siku atainuliwa mark my words.
Aibu sn kwa mahakama zetu raia kukosa imani na mahakamaBora ametolea ufafanuzi lumumba waache kujiliwaza.
Natumai leo mmemuelewa hasa pale anapozungumzia lengo la kuanzishwa mahakama ya ICC, kuwa ni ku-deal na serikali au taasisi zake zinapofanya makosa kwa raia wake na pasiwepo uhakika wa vyombo vya ndani kuyashughulikia hayo matatizo kwa ukamilifu bila upendeleo.
Hapa ndio zinaingia taasisi kama jeshi la polisi, NEC, n.k. na mpaka kufikia hapo, ule utetezi wa kusema hayo matatizo lazima yashughulikiwe na mahakama za ndani kwanza unakuwa umepoteza maana, mahakama za ndani ni kutimiza formality tu, hazizuii kesi kwenda ICC.
Utawala katili unakubaliana nao?Anawadanganya wafuasi wake wamuone wa muhimu ila sio kabisa
Watanzania wangapi wamesoma ICC charter?Yaani anavyoongea utadhani anafafanunua vitu technical kweli kumbe maswala yenyewe ni self explanatory kwa mtu yeyote atakaesoma ICC charter anaweza elewa.
Binafsi naona kama vile Lissu anadharau uwezo wa wafuasi wa CDM yaani mtu anawaambia vitu ambavyo avitekelezeki halafu kuna watu wanashangilia.
Haya ikitokea miujiza ICC imemfungulia mtu kesi nchi husika ikisema aimpeleki thats the end of it.
Jumlisha na aspect za African continent politics makosa waliofanya mabeberu halafu hakuna aliepelekwa huko kumfungulia kesi mtu kama Magufuli ambae ni African is a step too far. Ni sawa na kununua ugomvi na waafrika.
Hakuna cha sanctions wala nini wababe wote wamejitoa uanachama kwenye huo mkataba US, China, Russia na nchi nyingi za EU.
Ni muda wa Lissu kuacha utapeli wa kisiasa harudi Tanzania Magu kaahidi kumtafutia kanafasi kadogo kadogo serikali; I suggest apangiwe nafasi ya mwanasheria wa halmashauri.
Endeleeni kupambazwa walishawaona nyumbu. Hakuna kesi hapo hata ya kuua au kunyanyasa sisimizi. Baada ya miaka miwili hivi utawaona hawawapi tena mrejesho makamanda.Bora ametolea ufafanuzi lumumba waache kujiliwaza.
Natumai leo mmemuelewa hasa pale anapozungumzia lengo la kuanzishwa mahakama ya ICC, kuwa ni ku-deal na serikali au taasisi zake zinapofanya makosa kwa raia wake na pasiwepo uhakika wa vyombo vya ndani kuyashughulikia hayo matatizo kwa ukamilifu bila upendeleo.
Hapa ndio zinaingia taasisi kama jeshi la polisi, NEC, n.k. na mpaka kufikia hapo, ule utetezi wa kusema hayo matatizo lazima yashughulikiwe na mahakama za ndani kwanza unakuwa umepoteza maana, mahakama za ndani ni kutimiza formality tu, hazizuii kesi kwenda ICC.
Nani aliekuvisha jukumu la ualimu wa lugha, nitaandika ninavyoweza mimi; sijakulazimisha kusoma.Watanzania wangapi wamesoma ICC charter?
Kuna watu hawajui Kiingereza tu, wewe unaongea ICC charter?
Mimi ningemuelewa mtu anayesema Tundu Lissu anaongea mambo kama kila mtu kasoma ICC charter.
Kama wewe una uelewa wa 10 kwa 10, na wenzako wengi wana uelewa wa 1 kwa 10, Tundu Lissu akieleza mambo kiasi kwamba hata wale wenye uelewa wa 1 kwa 10 waelewe, wewe mwenye uelewa wa 10 kwa 10 unapata tatizo gani kuona Lissu anakuwa inclusive hata hao ambao hawajasoma ICC charter waelewe?
Huelewi kwamba, huyu kama mwanasiasa na muelimishaji, anataka watu wengi zaidi wamuelewe, sio waliosoma ICC charter tu?
Wewe mwenyewe kwanza inabidi ujifunze Kiswahili.
Uelewe tofauti ya suala na swala, havitekelezeki na avitekelezeki. Haimpeleki na aimpeleki.
Sasa kama lugha unaboronga unajuaje kwamba unaeleweka?Nani aliekuvisha jukumu la ualimu wa lugha, nitaandika ninavyoweza mimi; sijakulazimisha kusoma.
Muhimu ni message kueleweka.
Kwanini yeye na Amsterdam wametumia muda mwingi kuaminisha umma wana uwezo wa kushitaki watu huku wakijua hawana.
Huyu ni tapeli tu alijua from day 1 hana hayo mamlaka ya kufungua kesi ICC. Huo unaoita ufafanuzi sijui elimu ya umma ni kujitoa kimaso maso tu mbele ya kadamnasi kwa kuwapa ukweli hana hizo powers za kufungua kesi ICC kwa kutumia lugha tamu tu.
Hatq hiyo security council ya ICC anayoiongelea kwa sasa aina mwanachama China, US, Russia, France na UK wote wamejitoa kwenye hiyo treaty. Kwa ivyo hakuna mtu wa kuzuia ICC kufanya prosecution hawana tu hizo powers.
Simple atoke hadharani kuomba radhi wafuasi wake na kuwaambia ukweli alikuwa akiwatapeli tu from day one.
Kwenye kichwa chako unadhani ulikuwa una hoja?Sasa kama lugha unaboronga unajuaje kwamba unaeleweka?
Mimi mtu asiyejua herufi za Kiswahili namuona ngumbaru tu, na akianza kujitutymua kuhusu ICC charter naona anajifaragua tu.
Hujajibu hoja niliyokujibu na uliyoandika sijakuuliza.
Umechemka kusema mambo ya ICC charter ni basic kama kila Mtanzania kasoma ICC charter.
Bisha.
Umechemka kusema mambo ya ICC charter ni basic kama kila Mtanzania kasoma ICC charter.Kwenye kichwa chako unadhani ulikuwa una hoja?
Hoja lazima iwe na new premise, uwezi kufafanua umuhimu wa ICC charter point niliyo leta mimi halafu udai kujibiwa hoja.
Huko shule ulisomea ujinga?
‘Self explanatory’ ndio neno nililotumia. Nikimaanisha you don’t need an expert to explain the meaning.Umechemka kusema mambo ya ICC charter ni basic kama kila Mtanzania kasoma ICC charter.
Bisha.
Anaongea logic kwa wafuasi wake.Aliyekuwa mgombea uchaguzi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHDEMA Tundu antipas Lissu amejitokeza na kutolea ufafanuzi kadha kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa kesi huko mahakama ya uhalifu ICC dhidi ya Serikali ya Tanzania baada ya uchaguzi mkuu 2020.
Msikilizie kwa undani
Sehemu ya pili ya ufafanuzi
Nimekuuliza, Lissu akiwaelimisha ambao hawajasoma, na nyie mliosoma mkasema hapa Lissu anawaelimisha ambao hawajasoma, mkaruka, kuna hasara gani?‘Self explanatory’ ndio neno nililotumia. Nikimaanisha you don’t need an expert to explain the meaning.
Why? kuna maandishi mengine ya sheria ni technical but not the ICC charter. Sasa kama watu washasoma au la that is not my problem.
If anything sitegemei watu wasome the entire Rome agreement mie mwenyewe sijaisoma. Walau a reasonable person apitie hata preambles ili kuelewa ni kitu gani wanachouziwa kila siku majukwaani vinginevyo we are becoming a gullible society.
Ni mambo kama hayo yanayofanya watu waamini binadamu kajifungua chatu.
Shetani anatawala.CCM imeshachukua nchi
Serikali inachapa kazi kikamilifu
Amani imetawala
Shetani ameshindwa
Nimekuuliza, Lissu akiwaelimisha ambao hawajasoma, na nyie mliosoma mkasema hapa Lissu anawaelimisha ambao hawajasoma, mkaruka, kuna hasara gani?
Hujajibu.
Umewauliza hakina nani wengine, mimi sijapitia thread yote kama ulikuwa na discussions zingine.Nimekuuliza, Lissu akiwaelimisha ambao hawajasoma, na nyie mliosoma mkasema hapa Lissu anawaelimisha ambao hawajasoma, mkaruka, kuna hasara gani?
Hujajibu.
Nonsense,Because you swimming in the pond of idiotic mind you cannot change,kindly be informed that Mr Lissu is an hero person forever.Huyu mtu namuona kama hayawani vile,yaani anajidai kushughulika na mambo makubwa lakini ya kipuuzi ili aendelee kukaa midomoni mwa wafuasi wake.
Poor lissu
Ni aibu kubwa sana aibuAibu sn kwa mahakama zetu raia kukosa imani na mahakama
Wewe ni wa kuonea huruma,huna uwezo hata wa kuishi Magomeni wakati mwenzio yupo UlayaLissu ni mtu wa kumuonea huruma sana anaishi maisha ya shida sana ila haachi kujitutumua ili aonekane yumo
Kama hujakaa nchi za nje bila kazi ya maana hutaelewa! Lissu ni wakusikitikia sana - na ni mjumuishe pia na Lema, hawa watu ni wakuwasikitikia sana. Imagine! Mtu ulikuwa unaitwa mheshimiwa, ukiwa class ya juu nchini mwako, na mshahara mnono na marupurupu mengi, sasa unaitwa mkimbizi (refugee status) Unapewa hela kidogo ya kujikimu ambayo ni kidogo au sawasawa na kiwango cha kima cha chini cha ulipo kimbilia! Hao si watu wa kuwasikitikia! Na Unapopita njiani, hutambuliki na kuheshimiwa na yeyote unatukanwa kwa sababu ya ngozi yako! Hauko sawasawa na wenyeji - ila huzodolewi waziwazi kwa kuogopa sheria lakini jamii inayokuzunguka haikupendi! Je! Bado huwaonei huruma? Na matumizi yao sasa ni ya kima cha chini, siyo watu wa bata tena! Hawawezi kumudu vitu vya anasa kama walivyokuwa navyo! Mfano.: hawezi akamudu mfanyakazi wa ndani, dereva, etc. Hawezi, kwa sababu huko waliko mishahara ya hao wafanyakazi ni mikubwa! - ukitaka kujua ubaya wa kuhama nchi yako, waulize makaburu waliohamia Australia mara Mandela alipo tawazwa South Africa - waliacha wafanyakazi wa nyumbani kama Sita hivi Afica ya Kusini, huko Australia wao wakawa ndio vibarua!Naona ndio mnampa pole leo kiaina kwasababu ya zile risasi.
Kusema Lissu anaishi maisha ya shida lazima muonekane vichaa kwenye hii jamii yetu iliyostaarabika, mtu msomi wa aina yake hizo shida azipate wapi?!