Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Upuuzi mtupu.Yupo juu ya makalio
Lisu sio ngombea uraisi tu bali ni next president, jeshi la Police lina askari wengi wazalendo wanashangaa sana hizi mambo zimewagawa sana.Jitafakari Tu hakika wamuita Lissu ofisini Kwako?
Nakushauri nakuheshimu mkuu wangu potezea ili dili litaenda zalilisha idara.
KiaziNje ya nchi kaenda kupeleka ripoti ya utekelezaji wa kazi zake tangu arejee nchini.
Mi nnavyojua ni kwamba CDM wameingia kwenye mtego wa wa CCM kupoteza muda wa kupigania katiba mpya.Nilisema kuhusu hili wakati na-comment kwenye uzi mmoja hivi karibuni. Hii ni mbinu ya kuwatisha ili wanyamaze.
Endeleeni tu na bandari isiyowahusu mpaka mzeeke, lkn hakuna kitakachobadilikaUpuuzi wa dikteta Samia unaendelea, hawezi kutoa zetu bandari zetu zote watanganyika kwa wajomba zake kama ni mali ya familia yao halafu tunyamaze, Never.
Mapambano yataendelea tu.
Umepotoka!!Mi nnavyojua ni kwamba CDM wameingia kwenye mtego wa wa CCM kupoteza muda wa kupigania katiba mpya.
Hapo wataundiwa kesi waanze kushinda Mahakamani mpk uchaguzi mkuu bila katiba mpya.
Na CDM watashiriki tena huo uchaguzi chini ya tume hii hii.
Tangu lini Mwanamke akawa na vinasaba vya uongozi, apambane amalize mwaka wake mmoja na nusu uliobaki akapumzike Nungwi Zanzibari alee vitukuu.Samia kapoteza uelekeo
Huu ndio kweli.Hawajui hata sheria za nchi hawa.Nani alikuambia mgombea urais yupo juu ya sheria ?
Halafu wanajifanya eti ni makamanda, duh😂Huu ndio kweli.Hawajui hata sheria za nchi hawa.
Avurunde mara ngapi?.Hakuna kipindi taifa limepata kiongozi mzigo kama awamu hii anayoiita ya sita.Samia anazidi kuvurunda
Polisi siku hizi wanachunguza maneno yenye staha😃. Better yangekuwa matusi.View attachment 2692232
Baada ya mawakili Mwabukusi, Madeleka & Ruge Nshala, sasa ni zamu yangu. Leo DCI Kingai ametuma watu kuleta barua ya kuripoti ofisini kwake. Wamerudi nayo baada ya kujulishwa niko nje ya nchi. Nitarudi wiki ijayo kuwakabili. Madalali wa bandari zetu wasitutishe!
Tundu Lissu
Julai 18, 2023
View attachment 2692285
Barua ya wito wa Polisi
====
Mnamo jana, Julai 17 Mdau wa JF alidokeza kuwa Lissu na Mbowe walikuwa wanasakwa DOKEZO - Lissu na Mbowe wanatafutwa kukamatwa lakini Lissu aliifahamisha JF "Sijazisikia tetesi hizo. Kama ni za kweli, itakuwa ni mara ya kwanza kwa mimi au Mwenyekiti kukamatwa?"
Kingai mwenyewe hatakuwepo ofisini siku hiyoKingai jinsi alivyo mweuoe atajuta kukutana na LISSU[emoji1787]
Hii safi sana, tulikuwa tunasema humu, kama anayake akayaongee mahakamani.