Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili


Ninyi wevi wa rasilimali za Taifa, endeleeni kujifariji lakini hamtashinda.

Kwa ushenzi wenu mnawabambikia watu kesi, mnawaweka mahabusu na kuwatesa ili kuwalazimisha wakiri mnayoyataka, halafu bila aibu mnakuja hapa kusema eti alikiri.

Kama kulikuwa na kesi genuine, mlishindwa nini kwa mwaka mzima kuufikisha ushahidi mahakamani?
 
Sijawahi kupoteza imani na Lisu, japo alikosea kwa kukubali kumpokea jizi Lowassa ndani ya CDM na kupewa nafasi adhimu ya kugombea urais wakati alikuwa hastahili.
Lowasa alikuibia nini?
 
Hivi vitendo vya kamata kamata mara weka ndani baada tu ya kuonesha kutokubaliana na mkataba wa bandari, sasa inaonesha dhahiri pasi na shaka kuna kitu hakipo sawa.
Hawa watu, kwenye huu uporwaji wa bandari za Tanganyika, kuna mengi maovu yaliyojificha.

Wanahangaika sana kuwafumba watu midomo, lakini kamwe hawatashinda. Wataaibika tu.
 
Mbususu iliyochacha
 
Kumkamata mtu kisa kapinga jambo flani, hii ni hatari. Na hao Polisi jinsi ambavyo hawatumiagi akili kwenye kuamua, ndo kabisaaa.
 
Hawa watu, kwenye huu uporwaji wa bandari za Tanganyika, kuna mengi maovu yaliyojificha.

Wanahangaika sana kuwafumba watu midomo, lakini kamwe hawatashinda. Wataaibika tu.
Hakuna maovu mbona kila kitu kipo sawa
 
Nakumbuka Lisu aliwahi kumuuliza swali Afisa mmoja wa jeshi la polisi mahakamani wakati anatoa ushahidi(Nimesahau maneno aliyomuuliza) ikabidi yule Afisa aombe kwenda toilet [emoji28]
Nakataa sio LISSU
 
Mi nnavyojua ni kwamba CDM wameingia kwenye mtego wa wa CCM kupoteza muda wa kupigania katiba mpya.
Hapo wataundiwa kesi waanze kushinda Mahakamani mpk uchaguzi mkuu bila katiba mpya.
Na CDM watashiriki tena huo uchaguzi chini ya tume hii hii.
Kama nimeanza kukuelewa hivi
 
Mi nnavyojua ni kwamba CDM wameingia kwenye mtego wa wa CCM kupoteza muda wa kupigania katiba mpya.
Hapo wataundiwa kesi waanze kushinda Mahakamani mpk uchaguzi mkuu bila katiba mpya.
Na CDM watashiriki tena huo uchaguzi chini ya tume hii hii.
Kama nimeanza kukuelewa hivi
 
Usichanganye Mihemko na Sheria .Kama angekuwa ameona kuwa kaonewa jibu rahisi angesubiri kesi yake iishe ashinde ila yeye mwenyewe aliomba kupatana na DPP sasa OPP kamdikiliza akalipa mambo yakaenda fresh sasa leo amejilaumu maamuzi yake mwenyewe amekwenda kusema hakubaliani na hayo maupuuzi ya kupatana hivyo yupo tayari kuendelea na kesi hivyo karudi jela ili apambane kushinda kesi . Msimuhusishe Madeleka na kesi ya Bandari yeye anapambana na kesi ya Uhujumu uchumi ikiwemo kughushi .Asitafute kiki kwenye Bandari aongeze juhudi ashinde kesi .
 
Wakishamalizana na hawa viongozi wa kisiasa, tunaofuatia ni raia
 
Mlisema Jiwe ni mbaya.

Bora mtu unayejua ni mbaya utamkwepa ila Delila mtanikumbuka.
 
Mchungaji ameelezea jinsi safari ya kuwaondoa Wana wa Israel Utumwani Misri na kuwapeleka nchi ya Ahadi ilivyokuwa Ngumu

Mchungaji amesema wakiwa katikati ya safari Wana wa Israel wakamlalamikia Musa kwamba mbona wanakufa Njaa jangwani ? Bora awarudishe Misri kwa sababu kule hata wakifa kuna makaburi ya kuwafikia .

Niwatakie siku njema
 
Tangu lini Mwanamke akawa na vinasaba vya uongozi, apambane amalize mwaka wake mmoja na nusu uliobaki akapumzike Nungwi Zanzibari alee vitukuu.
Hukuwahi kuwasikia kina Angela Merkel, Margareth Thatcher, Golda Meir na wengineo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…