Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Kama producer ndio allipa nchi, how comes inchi imetumia 11B kuandaa same film?
 
Hizo pesa zitaperekwa kizimkazi Zenj,zitaenda kujenga flyovers na kuongeza terminals pale Zenj airport.
 
Wewe kama nani kwenye hiyo filamu hata uwe na mgao wako?


bona filamu nyingi sana zinazohusiana na mbuga za wayama na utalii zimeshafanywa Tanzania haujanyanyua mdomo kuuliza?

Au mmeshaona donge kuwa Mama kaonesha umahiri mpaka kwenye kuigiza teality show?

Ujinga huo.

Tanzania ina ada na kanuni na hata ilibidi yenyewe ndio ilipie ghaama za kufanyiwa filamu na kutagaziwa utalii. Faida zake ni kubwa sana na endelevu.


Ni mtu mjinga tu ataeulizia mgao wa hiyo filamu. Pengine walioitengeneza wasirudishe hata gharama zake.

Mtu ambae kidogo zinachaji atafikiria kuitumia fursa zitazopatikana kutokana na filamu hiyo. Walioitengeza na kuicheza hiyo filamu ndio wa kuwawachia mafao ya filamu wagawane wao kwa faida kubwa, ikiwepo.

Ni ujuha kuanza kufikiria mapato ya kukodisha na kuuza filamu wakati unafursa ya kuuza utalii kwa watalii watakaokuja kujionea lie waliyoyaona kwenye filamu.


Hivi huyu Mnyiramba kumbe ni poyoyo wa kiwango hicho. Pambaf kabisa.
 
Kama producer ndio allipa nchi, how comes inchi imetumia 11B kuandaa same film?
Tena kidogo sana hizo kwa filamu ya kuitangaza nchi kuvutia watalii. Fikiria ni matrilioni mangapi nchi itapata faida kwa kuvutia na kuongeza idadi ya watalii?
 

Kwa hiyo Rais na msafara wake nani ameulipia? Kukaa ulaya muda wote nani analipa gharama? Hizo billion saba zilitolewa na akina nani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza kukuta huyu ni msomi na anafamilia Watu wanamtegemea.
 
Shida umejibu kimpasho na huwenda ukawa na hoja ila uwasilishaji wako umefanya uonekana mwehu hebu rudia na uone ulivyoandika

Lisu kama mtanzania ana haki ya kuuliza na anawakilisha wengi ambao wamataka kujua hili.

Ila kwasababu una chuki moyoni mwako umeandika kama mwimba taarabu za mipasho
 
Hawawezi jibu wataruka rula kama bisi kwenye oven
 
Naona watu wanasahau nini hasa sababu au dhamira kuu ya kutengeneza hiyo filamu.

Raisi wetu sio muigizaji, na hakutengeneza hiyo filamu ili kupata kipato kutoka kwenye mauzo yake.

Tunatakiwa kujua kuwa hiyo filamu ni kama tangazo. Sasa ulishaona wapi tangazo linamlipa aneyetangaza kwa kuliuza hilo tangazo? Yeye ndio anayelipia kwanza ili tangazo lake litangazwe.

Tunatakiwa tufurahi kuona hiyo filamu ipo huko amazon, sijui youtube na kwingine na viewers ni wengi maana kadri inavyosambaa ndivyo Tanzania inakua imejitangaza na ndivyo tutakavyozidi kupata watalii.

Maana ndio lengo kuu, KUITANGAZA TANZANIA KIMATAIFA NA KUKUZA UTALII. Sio kuiuza hiyo filamu.

Kazi nzuri mama, ipo siku Watanzania tutanufaika sana kutokana na hizi jitihada.
 
Kweli ndugu unaona hapo kwenye picha ya Background wameondoa mlima wetu pendwa kilimanjaro wameweka mbuyu na passport ya kusafiria ya Director wa Filam
 
Kazi ipo hawa ndiyo ma think tank wa chama
 
Unaweza kukuta huyu ni msomi na anafamilia Watu wanamtegemea.
Ulitaka tufanane mawazo? Kwa hiyo mnapigania katiba mpya ili watanzania wote wawe na mawazo au maoni kama ya Chadema, wakienda tofauti mtawakamata? Jinga kabisa
 
Swali la Lissu ndo lipo hapo sasa, hiyo faida ya 50% inakwenda wapi?
 
Ulitaka tufanane mawazo? Kwa hiyo mnapigania katiba mpya ili watanzania wote wawe na mawazo au maoni kama ya Chadema, wakienda tofauti mtawakamata? Jinga kabisa
Ulanzi huu
 
Mbona mlikuwa mnamwamini yule kenge wakati ule alipokuwa akidanganya kwamba miradi yote ilikuwa ikitekelezwa kwa fedha za ndani kumbe nyuma ya pazia alikuwa kwapukwapu na mikopo juu.

Alikwapua kufanya miradi, ndege zipo, road zipo, miradi inaonekana, kama hufaidi ww basi ni ndugu yako

Hiyo movie mpaka sasa hata kuiona umeiona ndugu? Au unashabikia Tu kufata mkumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…