Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Sasa alitegemea itangazwe wapi?
Kwenye kumbi za sinema bongo ama?

Kiuhakika Amazon Prime wanalipa royalty na wanalipa 50% ya faida yote wanazopata
Pia inategemea na gharama ulizoingiza kama ni nyingi utalipwa zaidi

Mwanasheria halafu anashindwa hata kujiridhisha kwanza kwenye Google?
 
Kama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
Kwenye Royal Tour Serikali haijatoa hata senti moja. Program nzima iligharamiwa na kampuni za tours hapa nchini mwanzo mwisho kupitia Wizara ya Utalii. This is the fact, kama hamtaki mnaacha. Mwakani mtumeni CAG wenu aje na audit report ya Umoja Party kama hamtakuwa na imani na Kichere.
 
Tukidai hela tutashitakiwa MIGA waanze kukamata ndege zetu🐒
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
huna akili.
 
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter

Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?

Tunashukuru kwa kutugutua
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Kum*******mayo
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Eli ya mjinga anaye jifunza kuliko wewe mjanja unae jikweza
 
Kuna umuhimu wakutambua Mambo mawili muhimu sio kuishia serikali haijatoa pesa nakwann huo usili uwe mkubwa

1---- mkataba mkuu(main contact

2___offsettings (makubaliano madogo ndani yamktaba mkuu

Vinasemaje sio serikali kuja na maelekezo ya jumla Mana wanyama wetu ardhi yetu ...
 

Kama umesikiliza msigwa aliposema inaonyeshwa WTTW huko USA tayari unapata clue ya wapi pa kuanzia kuhusu ukweli wa hiki kipindi na future promotion plans zake.

‘Royal Tour’ documentaries ni franchise za PBS America ndio wamiliki wa vipindi.

Sometimes kupata sio lazima iwe loyalties.

Imagine serikali ingekuwa inalipia advertisement za kutangaza mbuga kwa mbinu nyingine si nchi ingeingia gharama zaidi.

PBS America watatumia nguvu kwenye promotional, hela zao ku push hiyo programme kuangaliwa na watu wengi na wanaweza kuirusha kwenye media zao; huko ni kuitangaza nchi bure kwa upande wetu ata kama wao wana financial gain.

Vinginevyo ingekuwa ni programme yetu kuirusha tu kwenye hiyo WTTW channel during ‘peak viewing hours’ utaambiwa $2 million dollars each time (tena hapo ndio umeurumiwa si ajabu).

Mambo mengine ni kukubali tu kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake PBS wapate hela zao, na sisi tunatangaza nchi.

Upuuzi wao ni kun’gan’gania kumuongelea huyo Peter mtengeneza kipindi as if yeye pekee anazo hizo financial muscles ya kukipeleka kipindi mbali, badala ya kusema PBS ndio wenye kipindi.

Ukishaambiwa PBS ndio muhusika mkuu no doubt millions of people will watch that programme world wide.

Ata huko Amazon sijui Apple TV sio tu kuna makato kila mtu anapita Gali, ata kuiweka tu programme picha kwenye web page watu wajue ipo kwa siku ni million kadhaa.

Wasemaji wa serikali wasio na exposure wala akili ya propaganda; it’s beyond me watu wa ovyo ovyo wanafika vipo nafasi za juu Tanzania.
 
Hizi mbuga zinawapa watu maisha aisee. Ilianza na wasanii na yule Dr wa pori, sasa tuko bongo movie.
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Kwa akili kama hizi, kama taifa bado tuna changamoto kubwa sana.
 
Msigwa si alisema hii movie serikali haijatoa hata senti..waache waandaaji warudishe Chao...nyie subirini wataliii tu
Yaani watu waje waandalie movie hotelini kwako, halafu wewe ubaki kusubiri wateja tu?
 
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter

Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?

Sidhani kuwa maswali yako yatapata jibu hapa JF, lakini pengine ni njia nzuri ya kuelimisha watu wasiojua haya mambo.
Bendera ya nchi inapamba jengo refu zaidi duniani, watu wanaambiwa hakuna pesa yoyote iliyotumika hapo; mambo yanaishia hapo, hakuna wa kudadisi zaidi.

Kwa kifupi: nyakati hizi ni "kila mtu kula kwa urefu wa kamba yake", kama wewe huna kamba, usile!

Katika hii miaka minne hii, sijui ni vi-'oligarchy' vingapi atakavyokuwa amevitengeneza huyu mama!

Na kapania kweli kweli kuifanya kazi hii.
 
Boresheni huduma kwa wageni na chenu mtakikuta mahotelini na tours company
 
Back
Top Bottom