Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

The Royal tour ya Rwanda
Rent $2.99 Buy $9.99

Ya Tanzania
Rent $5.99 Buy $19.99

Hivi nchi yetu, kwanini lakini?
 
Li
Tumeshapigwa
Lisu sasa anatakiwa kupuuzwa tumeambiwa mama kajitoa ilituonekane ndiolengo lake faida kubwa kwetu niutalii sasa Huyu lisu nilikuwa namueshimu kweli alitaka tuendelee kujichimbia chumbani tutapaje pesa?kanuni ya kupata jitoe uwekeze ndipo uingize pesa mada zingine zitafanya aonekane zuzu mama piga kazi sapoti ipokubwa
 
Kwa akili hii nchi hii kamwe haiwezi kuendelea.
Bora wafu kuliko mpumbavu wa namna hii kuishi.
Nyie wahuni wa chadema hampendi uhuru wa maoni? Sasa mnataka katiba mpya ya nini? Jinga kabisa
 
Mbona Hangaya alisema aliamua kushiriki hili, kwa hiyo pesa yao sisi tukaomba iwe ya kwetu?.ndio maana hadi leo tarehe 20/04/2022 sijaona zaidi ya vipande pande vya dk zisizozidi 5..
 
Kila kitu unageuza siasa, watu wanaongelea jambo serious wewe unaongea upupu.
Shubamit
Jambo serious ndio jambo gani hilo.
Jambo serious ni kutangaza utalii sio mapato ya matangazo
Au wewe hujui kuwa ukitaka kutangaza biashara yako unalipia.

Tumeweka tangazo Simba kwenye jezi "Visit Tanzania" faida yetu kubwa ni kuona Simba inaenda mbali tangazo letu lionekane na wengi zaidi... ikitokea simba imetwaa ubingwa tusema alaa kumbe ligi ina mamilioni hivi na sisi tulitangaza kwa kutoa hela hebu tuone tunapata bei gani??

Tunachoomba kwenye filamu ile ni
Iangaliwe na watu wengi zaidi tupate watalii zaidi ndio lengo kuu

Mengine ni makubaliano ya ziada
 
Bro tulia tujadili kwanza hili Mbona unatutoa relini?,Hayo ya Chadema Achana nayo watajijua wenyewe,sisi tujadili hii ishu inayogusa Watanzania wote, maana ni keki ya Taifa.
 
Serikali walitumia mabilioni ya hela (Kodi za wananchi) kutengeneza hiyo Tanzania Royal tour.
Usiongee kama huna taarifa sahihi
 
Bro tulia tujadili kwanza hili Mbona unatutoa relini?,Hayo ya Chadema Achana nayo watajijua wenyewe,sisi tujadili hii ishu inayogusa Watanzania wote, maana ni keki ya Taifa.
Hata Chadema ni chama Cha wananchi, wamesajikiwa, wanavuta ruzuku sometimes, na Sasa wanatuchangusha, hivyo kwa kuwa wanajitambulisha kupitia umma, wanakaguliwa na CAG, wao pia lazima tuwajadili
 
Lisu haulizii gharama .... anauliza sisi kama nchi tutapata nini kwenye mauzo ya hiyo filamu ... tumetoa actor, scenes, location etc .... hebu jibuni swali

sisi tunapata watalii na branding kupitia hiyo movie, target hiyo kadili inavyotazamwa na watu duniani ndio kadili wanavyoijua Tanzania na vivutio vyake..
 
sioni ugumu wa hili suala na ugumu wa hilo swali...maana jibu lake liko wazi kabisa..
 
Mkuu si ujibu swali la Lissu kuliko kuongea vitu visivyoeleweka
Lissu ana maswali ya kijinga. Ukiwa jobless ughaibuni na akili inafubaa. Arudi nchini tu aje tumpe shughuli za kufanya. Otherwise amekuwa IRRELEVANT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…