Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Lisu mtata sana.

Chadema wameishiwa hoja!
Lissu ana hoja usimbeze! Kama CD inakodishwa Kwa elfu kumi na tatu na kuuzwa Kwa elfu thelathini na saba huoni tofauti ya elfu ishini na nne? Hiyo pesa anayeichukua ni nani kati ya mkodishaji na mweñye filamu yake? Serikali au wizara husika wajibu juu ya pesa hizi ili zijulikane zinakokwenda!
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepangwa katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
Kwenye vitu vya msingi unaongea ujinga hivi. Wewe utakuwa umeharibiwa maumbile
 
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter

Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?

Tundu Lissu na WAPINZANI wa Rais Samia wamekuwa kama pakashume. Paka shume akikosa chakula anakwenda kila jalala anapekua kutafuta chakula.

Samia aliposema anacheza film ya kutangaza utalii mlibeza sana. Kisha mkasema anatumia vibaya fedha za Nchi. Serikali iliwajibu kuwa anayegharamia ni wafadhili mbalimbali.

Hatimaye mzigo umeteremka uko intact na unasoma vibaya huko majuu. Choyo kimewashika, Lissu anauliza haki ni za nani?

Hata kama haki by 100 za wanaonunua hiyo film kama akina Netflix au Histoy Channel au National Geographic, as long as itatuletea watalii, sisi kwetu hiyo ndiyo DIVIDEND yetu, Period!!

Hizo fedha za kuuza film ni peanut
 
Serikali haikutoa hata senti moja. Wamesema ni fedha za wadau wengine.
Serikali ndio ilizikusanya hizo pesa kutoka kwa wadau wengine ili kuzitumia kwa maslahi ya umma wa watanzania Na ndio kazi ya serikali ya siku zote. Muongozaji wa hiyo movie hakutoa hata senti tano.

Sasa swali linakuja, pesa za mauzo ya hiyo filamu atalipwa nani?
Watalipwa waandaji?
Italipwa serikali ya Tanzania?
Watalipwa wadau waliochangia?
 
Serikali ndio ilizikusanya hizo pesa kutoka kwa wadau wengine ili kuzitumia kwa maslahi ya umma wa watanzania Na ndio kazi ya serikali ya siku zote. Muongozaji wa hiyo movie hakutoa hata senti tano.

Sasa swali linakuja, pesa za mauzo ya hiyo filamu atalipwa nani?
Watalipwa waandaji?
Italipwa serikali ya Tanzania?
Watalipwa wadau waliochangia?

Fedha za kukodi mfumo wa IT wa Tanesco analipwa nani? Na fikiri maarifa ni hayohayo yaliyo yafanya haya yote.
 
Serikali ndio ilizikusanya hizo pesa kutoka kwa wadau wengine ili kuzitumia kwa maslahi ya umma wa watanzania Na ndio kazi ya serikali ya siku zote. Muongozaji wa hiyo movie hakutoa hata senti tano.

Sasa swali linakuja, pesa za mauzo ya hiyo filamu atalipwa nani?
Watalipwa waandaji?
Italipwa serikali ya Tanzania?
Watalipwa wadau waliochangia?
Inategemea hayo makundi uliyoyataja yalikubalianaje
 
That's pety buss
Muhimu kwetu ni multiplier effect yake kwa sector utalii, na uchumi wetu kwa ujumla
Duuuh! watu hawajui kua kichwa chako ni chakubebea meno tu.Wewe bila shaka unajua watanzania tulishaacha kulipa hata kodi,na Rais ametoa pesa zake akishirikiana na CCM kuitengeneza hiyo filamu.Unajua Rais ni tajiri sana,hivyo CHADEMA na wale wasiokua na vyama hawajachangia chochote kwenye pesa zilizotumika kutengeneza filamu.Pole sana.
 
Tundu Lissu na WAPINZANI wa Rais Samia wamekuwa kama pakashume. Paka shume akikosa chakula anakwenda kila jalala anapekua kutafuta chakula.

Samia aliposema anacheza film ya kutangaza utalii mlibeza sana. Kisha mkasema anatumia vibaya fedha za Nchi. Serikali iliwajibu kuwa anayegharamia ni wafadhili mbalimbali.

Hatimaye mzigo umeteremka uko intact na unasoma vibaya huko majuu. Choyo kimewashika, Lissu anauliza haki ni za nani?

Hata kama haki by 100 za wanaonunua hiyo film kama akina Netflix au Histoy Channel au National Geographic, as long as itatuletea watalii, sisi kwetu hiyo ndiyo DIVIDEND yetu, Period!!

Hizo fedha za kuuza film ni peanut
Pesa zikishaingia serikalini huwa ni mali ya umma, mali ya serikali, haijarishi ni nani alizitoa.
Kikubwa sote tunakubaliana kuwa serikali ndio ilizikusanya kutoka kwa wadau mbali mbali (na sio muongozaji wa filamu alizitoa mfukoni mwake), tuna haki kujua pesa za mauzo ya filamu zitakwenda mfukoni kwa nani?

Hoja hujibiwa kwa hoja, na uwazi kwenye mikataba ya kipesa ni jambo la msingi sana.
 
Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu? https://t.co/NAal61q4EQ
View attachment 2194439
Ulisema kitndo cha marehemu JPM kuzuia makinikia Taifa litashitakiwa na kufilisiwa. Huo mpango wa kulifilisi Taifa letu bado upo?
 
Back
Top Bottom