Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

Atanyamazishwa!
 
Jf inapaswa kutoa tuzo kwa baadhi ya waandishi watabiri , wanaoandika mada zenye maono ya mbele sana kama mwandishi wa makala hii .
 
Kwa nanma ulivoandika hapa ni dhahiri kwako wanasiasa makini ni akina Musukuma na Kibabaji. Huna lolote.
 
Nashauri asipelekwe magerezani,atatuharibia wafungwa,pia atapata agenda Mpya ya kuzunguka nayo.Atatuumbua zaidi.
 
How! Ukweli huwa hamuutaki lakini ipo siku utawanyoosha tu.
Wewe ni mtu mdogo sana ! sisi tunapambana miaka na miaka na tumewashinda viongozi wako , angalia tarehe ya uzi huu halafu kumbuka ukikokuwa wakati huo
 
Wewe ni mtu mdogo sana ! sisi tunapambana miaka na miaka na tumewashinda viongozi wako , angalia tarehe ya uzi huu halafu kumbuka ukikokuwa wakati huo
Wewe unapambana au unatumiwa kama toilet paper? Wakuangalia tarehe ni wewe umejinga lini 2012 na mimi Je? Huna lolote wewe, unachojua ni uwongo ambao hauna mbele wala nyuma. Without people like me you wouldn't have been here with that privilege, na pumba zako pamoja na propaganda. Find another loser like yourself.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…