Te Te Te Te Te vip ulijisikiaje jana alipoachiwa? Mahakama MPKA saa mbil usikuMwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo dikteta aliwahi kushinda , fanya utafiti .
ujinga mtupu, mbona jana katoka kimyakimya?Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa uanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Hata Lowassa kamnyamazisha. Akaenda kimyakimya kwenye mtandao kufuta ule ukweli aliousimamia kwa muda mrefu.ujinga mtupu, mbona jana katoka kimyakimya?
Soma zaidi ya mistari unayoiona .ujinga mtupu, mbona jana katoka kimyakimya?
Lisu anayaburuza magamba .Te Te Te Te Te vip ulijisikiaje jana alipoachiwa? Mahakama MPKA saa mbil usiku
Naomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa uanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Kumbukumbu ni muhimu na kama huna ndio maana wengine hufanya 'research' ili wapate uhalali wa kuongea.Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
kweli, hawa wacheza malimba wa nzega, hawajaenda kuwaona wahanga wa moto kule monduli halafu wanajazana mahakamani wauze sura kwenye magazeti.Bado sija amini kama watatokea wapinzani wakweli kama hamisi kalage na richadi kilango na mbonge munanga na kasela bantu lakini hawa akina shibuda na choyo hawa ni sawa na mpiga marimba anacheza na makalio tukubali matokeo
mwambieni aondee sasa, mbona kaenda nyumbani kimyakimya,Hata risasi haiwezi kumnyamazisha?
Utakufa weweLissu ni mfa maji...
Aaaaaa kumbe ni wauwaji siyo?Hata risasi haiwezi kumnyamazisha?
Tena kiuchwara.Umeandika kizembe sana !
Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo dikteta aliwahi kushinda , fanya utafiti .
[emoji5] [emoji5] [emoji12]Kweli ni historia, mshitakiwa yeye, wakili yeye na dhamana katoa yeye, hao mawakili wa jamhuri wakaguliwe vyeti
Umekosa cha kuandika, ungeenda kulala.Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake