goodluck mwakipokile
JF-Expert Member
- Nov 11, 2015
- 250
- 250
MkuuNaomba hii iwe angalizo kwa wote wanaodhani wanaweza kumnyamazisha Tundu Lissu. Ukifuatilia tangu awamu ya 3 huyu mtu alikuwa mwiba halisi kwa uanika ukweli kuhusu wachimbaji waliozikwa kibabe huko kanda ya ziwa ili kupisha mwekezaji, Mh. Lyatonga Mrema na IGP Mahita wanalifahamu hili vizuri sana.
Pamoja na vitisho vyote Lissu hakuwahi kumpigia magoti mtu yeyote na mwisho wa siku ukweli ulikuja kubainika, Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wahanga wale, Amina.
Awamu ya nne ya Mh Profesa Kikwete makali ya Lissu ya kusimamia ukweli wote mnayafahamu, kuna wakati Dk Kikwete alinukuliwa akisema " NI HERI DR SLAA AENDE IKULU KULIKO TUNDU LISSU AINGIE BUNGENI " Dr slaa hakwenda ikulu lakini Tundu Lissu aliingia bungeni kwa kishindo.
Huyu mtu hanyamazishwi na wanadamu, atanyamaza pale tu Mungu atakapomtwaa kwa hiyari yake lakini si kwa hila za wanadamu wenye mwili na nyama.
Unataka tuanze kurithisha watoto kama wafanyavyo ccm ?Mkuu
umejaza sifa nyingi sana ambazo kimsingi sioni jipya kwani zama za kuongea sana zimeshapitwa na wakati.
tunataka kuchapa kazi. maneno maneno ndiyo yametufikisha hapa.
ushauri wangu kwako ni kumshauri mzee Lissu atembee kwenye hoja zake. aandae viongozi wa kesho maana hana zao katika siasa za Tanzania
Lakini moto wake unaunguza hata kesho .kumbe ni zilipendwa hii
Ungekuwa unatafakari kidooogo kabla ya kurukia kujibu ungeelewa mantiki ya post yangu.Unataka tuanze kurithisha watoto kama wafanyavyo ccm ?
Sasa kama wewe unajua haki yako ni kula ugali na mbilimbi sheria utaijulia wapi?Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
Napinga vibaya sana ! Hakuna idadi ya wanaccm inayoweza kufanana na Mh Tundu Lissu .LISU MMOJA NI SAWA NA WABUNGE 10000 wa CCM na mkuu wa kaya akiwemo
Anayeshabikia Chadema ya Lowasa na kuacha ccm ya Magufuli akapimwe akili.
Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake
uko kwao akiri mbovu ndyo Mali, ndyo maana haoni haya kuropoka kama hv
Kama mnapenda kunyamazishwa, mnafanya nini hapa jf? nyie mnapenda kuw uhuru wa kusema ya mioyoni mwenu, lakini wenzenu hamtaki waseme. What principles do you stand for?Sasa atanyamazishwa tu!!!
Ww nenda kapike tuMihemko tu hana lolote smart politicians in Tanzania ni Maalimu n Dk Jakaya Kikwete na itabakia hivyo mpaka watokee wengine kuonekana.
Kibaya ni kufa na hata ukifa kwa sababu ya kitu fulani basi ni bora pia. Mh. Lijuakali atamaliza miezi sita na atarudi hapa akiwa na furaha wakati kuna watu wengi 'untouchable' waliotufikisha hapa furaha yao haifikii hata 20%!Mwaka huu atapigia kelele zake ukonga kwa wafungwa wenzie ila wafungwa watafaidika atakuwa anawaandikia rufaa wafungwa wenzake