binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Elimu ya magufuli ni bure, ni vyema ukaenda kujifunza kuandika kabla hujajadili chochote kinachohusiana na TL.We sindio mshauri wake na jama yenu mlakonyagi mzee wa kuvaa gloves za kuzibua choo
Tumewashitukia tumewacha tuuh vyama vichanga tunavilea sana hamjui tuh
Na wewe pia.GET WELL SOON 🙏🏾🙏🏾
OOh basi usilaumu watu, hata hivyo hakuna aliyeleta korona. Kuna mmoja alilazwa kwa kupigwa risasi na mwingine kwa kupata korona, yote ni mazila hakuna wa kulaumiwa.Hiyo haijawahi kujulikana nani aliye husika katika tukio lile. Au wewe unamjua?
Binti usinilazimishe nikupe kashifa usizo zitarajiaElimu ya magufuli ni bure, ni vyema ukaenda kujifunza kabla hujajadili chochote kinachohusiana na TL.
Una uhakikaOOh basi usilaumu watu, hata hivyo hakuna aliyeleta korona. Kuna mmoja alilazwa kwa kupigwa risasi na mwingine kwa kupata korona, yote ni mazila hakuna wa kulaumiwa.
Unafiki upo wapi?Wewe ni MNAFKI TU.
Watanganyika hadi mbebwe mgongoni ndo mjue JP anawapambaniaKama anavyojiuguza chatu wa chatto ili apate huruma ya watz.
Sina hizo kashifa, hata ukinipa unadhani itanipunguzia nini? Kashfa kutoka kwa mtu nyuma ya keyboard!Binti usinilazimishe nikupe kashifa usizo zitarajia
Lissu ndo alikuwa anatupambania kwa dhati na sio huyo chatu wa chatto!!Watanganyika hadi mbebwe mgongoni ndo mjue JP anawapambania
Aliye sema alijipiga ni nani? Au kuna muda huwa hauelewi vizuriUjuaji mwingi,mwisho wake hua ni aibu sana! Kwa hiyo Lissu alijipiga risasi??