Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

Mkuki kwa nguruwe kumchoma ili age ni sawa,lakini mkuki huohuo ukigeuziwa wewe ukuuwe utasema hapana tutaelewana tu.
 
Unamtuhumu TAL bure kabisa !!. Akiwa mahututi hajitambui kitandani baada ya jaribio la mauaji dhidi yake. Wabunge wenzie wasio wa chama chake walizuiliwa hata kumjulia hali. Wananchi walipojaribu kumfanyia ibada walisambaratishwa. Hata fulana za kumtakia heri zilikuwa jinai !!

Na mpaka leo hakuna uchunguzi ulioendelea . Mtu kama huyu unamlaumu kwa lipi ?! Mwache atapike nyongo. Dunia hii ndivyo ilivyo
Tena waliotaka kumtanguliza atashuhudia waliotangulia wao,kama Lowasa alivyoshuhudia waliomtangulia.
 
UPUMBAVU MTUPU!
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
 
Hakika wote walioshiriki kupanga kuhujumu kufanikisha shambulio la Lisu wataondoka wao kabla yake Ili unabii utimie auwae kwa upanga atakufa kwa upanga.Mungu wetu asinzii wala alali.
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU
HIZI CHUKI ZILIANZIA WAPI??
WAKATI WATU WANAZUIWA HATA KUWAOMBEA WAGONJWA ?
WAKATI WATU WANAZUIWA KUCHAGUA VIONGOZI WAO MITAANI
WAKATI WATU WANAZUIWA KUTANGAZIWA HATA WABUNGE WAO WALIOSHINDA
WAKATI VIONGOZI WANANUNULIWA KAMA NJUGU ...WALIOKUFA KUTETEA WACHAGULIWE ROHO ZAO ZILIJISIKIAJE
WAKATI HATA VIONGOZI WA DINI WANATUKANWA KWA KUSEMA WATU WAVAE BARAKOA ?
 
Yaani katika watu wacheshi na wapole na wenye roho nzuri naamini Lissu ni Mmoja wao. Yaani baada ya kumiminiwa yale marisasi yote yale, kutiwa kilema, kulala hospital kwa zaidi ya mwaka na kunyang'anywa kazi yake ya Ubunge kikatili bado jamaa alikuwa alitoka na tabasamu na amekuwa anaonyesha ni mtu mwenye furaha kila siku. Watu wacheche sana wanaweza kuwa hivi!!

Ile plan ilisukwa na faru john hakuna asiejua
 
..Tundu Lissu hana mapenzi mema na kikundi kidogo cha Watanzania waliopanga na kuteleza shambulizi la mauwaji dhidi yake. kama wewe hauko ktk kundi hilo huna haja ya kumuogopa Tundu Lissu. Huyu jamaa ni mtu mcheshi, na mwenye msaada kwa watu wengi, haswa wanyonge.

msaada upi? kuweka sanctions kwa tanzania au unamaanisha kutaifisha madini?
 
Utakuwaje na mapenzi na hili liserikali la ccm
 
Watanganyika hadi mbebwe mgongoni ndo mjue JP anawapambania
Anapambania ndugu zake .....kwani hizo barabara hazikuwako ....UTU NI JAMBO LA MUHIMU SANA ..TUMUOMBEE MUNGU APONE AWEZE KUJIREKEBISHA
mana utawala huu kuna watu binafsi ,makabila ,hadi kanda zimenyanyasika sana , watu hata kuomba kazi wanaogopa kuandika wanatokea wapi , na wanaotoboa hizo siri ni hao hao anaodhani ni kabila lake , hii nchi tumeoleana saana , unakuta mtu anamuonea "shemeji" yake huruma anamuambia kabisa "utawala huu wala usihangaike kuomba hiyo kazi hutapata ,kwani hujui huyu hawataki ..."
mfano kuna kamishna mmoja wa Mamlaka moja alipewa kazi ya kuondoa watu wa eneo na dini fulani kwenye nafasi muhimu ..wakati yeye ameoa huko na marafiki anaoshinda nao siku zote ni wa dini fulani ....alijikuta siku kwa bahati mbaya karopoka .....na kuonyesha masikitiko yake ..kuna mambo mengi ya kibaguzi yataibuka ..

Haiwezekani unabuni mradi mkubwa ambalo ni jambo jema na kuanzia Mkurugenzi [kabila lako mmeoa pamoja ], mameneja hadi wakuu wa vitengo wote ni watu wa sehemu moja ....huo utaifa uko wapi??? hii ni kutowatakia mema hata unaowapa hizo nafasi kwenye ustawi wao mbeleni
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
Huyo jiwe wako ambae ubinadamu hana kammininia risasi kama yuko vitani,acha kua utopolo hata wewe nafsi yako haimpendi jiwe ni shida tu zimekufanya uandike uharo
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
Isitoshe kusema tu kuwa wewe ni MJINGA
 
Hivi usalama.wa taifa wameshindwa kwenda kumuulia hukohuko uswizi
 
MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU
HIZI CHUKI ZILIANZIA WAPI??
WAKATI WATU WANAZUIWA HATA KUWAOMBEA WAGONJWA ?
WAKATI WATU WANAZUIWA KUCHAGUA VIONGOZI WAO MITAANI
WAKATI WATU WANAZUIWA KUTANGAZIWA HATA WABUNGE WAO WALIOSHINDA
WAKATI VIONGOZI WANANUNULIWA KAMA NJUGU ...WALIOKUFA KUTETEA WACHAGULIWE ROHO ZAO ZILIJISIKIAJE
WAKATI HATA VIONGOZI WA DINI WANATUKANWA KWA KUSEMA WATU WAVAE BARAKOA ?
Wanataka kulazimisha huzuni yao iwe yetu.Kila mtu abakie na huzuni yake
 
Huwezi umiza watu unaowapenda kwa kuwasomesha namba ili wakuabudu
Tatizo hata watu baadhi wa karibu wameteseka ndio wakaanza kumuabudu ..na ndio wengi wanaotoa siri zake kwenye mitandao ......


Hii hali ilivyo anything comes kuna watu wata confess sana , kuna watu wameteswa , wametishwa na wengine wamebakwa na kutishiwa picha kusambazwa kaama hawatamuunga mkono ..

Ndio maana niwashauri hata wapinzania waje wakae waongee na watu wao waliolazimishwa kuunga mkono juhudi baada ya kupitia mateso na vitisho , ili ikibidi wayaamalize ...hata hawa "convid19" , ukiwaangalia kabisa wana siri kubwa moyoni na wanaumia sana kwenye hili lililowakuta , pengine wengi pale wako bila ridhaa yao ....kimoyo moyo wanatamani ije siku wawe huru kusema
 
Back
Top Bottom