Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena waliotaka kumtanguliza atashuhudia waliotangulia wao,kama Lowasa alivyoshuhudia waliomtangulia.Unamtuhumu TAL bure kabisa !!. Akiwa mahututi hajitambui kitandani baada ya jaribio la mauaji dhidi yake. Wabunge wenzie wasio wa chama chake walizuiliwa hata kumjulia hali. Wananchi walipojaribu kumfanyia ibada walisambaratishwa. Hata fulana za kumtakia heri zilikuwa jinai !!
Na mpaka leo hakuna uchunguzi ulioendelea . Mtu kama huyu unamlaumu kwa lipi ?! Mwache atapike nyongo. Dunia hii ndivyo ilivyo
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.
Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo
• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.
• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.
• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.
• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.
Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.
Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.
Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
MKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGUHabari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.
Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo
• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.
• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.
• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.
• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.
Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.
Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.
Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
Hakuna Siri chini ya juaHiyo haijawahi kujulikana nani aliye husika katika tukio lile. Au wewe unamjua?
Yaani katika watu wacheshi na wapole na wenye roho nzuri naamini Lissu ni Mmoja wao. Yaani baada ya kumiminiwa yale marisasi yote yale, kutiwa kilema, kulala hospital kwa zaidi ya mwaka na kunyang'anywa kazi yake ya Ubunge kikatili bado jamaa alikuwa alitoka na tabasamu na amekuwa anaonyesha ni mtu mwenye furaha kila siku. Watu wacheche sana wanaweza kuwa hivi!!
..Tundu Lissu hana mapenzi mema na kikundi kidogo cha Watanzania waliopanga na kuteleza shambulizi la mauwaji dhidi yake. kama wewe hauko ktk kundi hilo huna haja ya kumuogopa Tundu Lissu. Huyu jamaa ni mtu mcheshi, na mwenye msaada kwa watu wengi, haswa wanyonge.
Anapambania ndugu zake .....kwani hizo barabara hazikuwako ....UTU NI JAMBO LA MUHIMU SANA ..TUMUOMBEE MUNGU APONE AWEZE KUJIREKEBISHAWatanganyika hadi mbebwe mgongoni ndo mjue JP anawapambania
Huyo jiwe wako ambae ubinadamu hana kammininia risasi kama yuko vitani,acha kua utopolo hata wewe nafsi yako haimpendi jiwe ni shida tu zimekufanya uandike uharoHabari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.
Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo
• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.
• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.
• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.
• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.
Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.
Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.
Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
Isitoshe kusema tu kuwa wewe ni MJINGAHabari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.
Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo
• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.
• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.
• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.
• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.
Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.
Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.
Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
Walitaka kukatisha maisha ya TL,mashetani wakubwa hao.TL anashuka goti kwa JP
umebaki wewe tuh mtungua madafu usiye na habari
Wanataka kulazimisha huzuni yao iwe yetu.Kila mtu abakie na huzuni yakeMKUKI KWA NGURUWE KWA BINADAMU MCHUNGU
HIZI CHUKI ZILIANZIA WAPI??
WAKATI WATU WANAZUIWA HATA KUWAOMBEA WAGONJWA ?
WAKATI WATU WANAZUIWA KUCHAGUA VIONGOZI WAO MITAANI
WAKATI WATU WANAZUIWA KUTANGAZIWA HATA WABUNGE WAO WALIOSHINDA
WAKATI VIONGOZI WANANUNULIWA KAMA NJUGU ...WALIOKUFA KUTETEA WACHAGULIWE ROHO ZAO ZILIJISIKIAJE
WAKATI HATA VIONGOZI WA DINI WANATUKANWA KWA KUSEMA WATU WAVAE BARAKOA ?
Huwezi umiza watu unaowapenda kwa kuwasomesha namba ili wakuabuduKwa mapenzi ya JPM kwa watanzania wote akiwemo Tundu Lissu hili unalosema ni hakika kabisa.
Tundu Lissu anamchukia mtu anayewapenda Watanzania wote pamoja na yeye.
Hakika umenena!
Tatizo hata watu baadhi wa karibu wameteseka ndio wakaanza kumuabudu ..na ndio wengi wanaotoa siri zake kwenye mitandao ......Huwezi umiza watu unaowapenda kwa kuwasomesha namba ili wakuabudu