Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

Tundu Lissu, hana mapenzi mema na Watanzania

Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
Kwa maisha ambayo Meko amefanya tuishi baada ya kuharibu uchumi kweli tumekuwa vichaa. Lakini huna haki ya kuingilia furaha yetu, kufa kwake ni UHURU wa pili wa Tanzania. Yule ana roho ya Adolph Hitler. Tusipofurahi anapoteseka tutakuwa wanafiki
 
Mnazo CCTV footage au ulikuwa nae wakati anajishindilia risasi? kwa haya wala haishangazi kwa TL kuwachukia ninyi na genge lenu. Awapende kwa kipi? Hata hivyo ana uhuru wa kumpenda na kutompenda yeyote.
 
ni muhimu zile nyimbo za mchakachaka shulen zirudishwe tuazne kufundisha watoto.tuwaimbe wasaliti ,
 
Nyie mbwa mnaosifia kila ujinga inawezekana kabisa sio raia wa nchi hii....

Achana na akili kubwa na wazelendo km Tundu Lissu na mbowe huwezi kuwapata kirahisi....
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
Lazima ujiulize kwanza kwanini tumefikia hapa?!!lisu inawezekana ana mapungufu yake, lakini nijuavyo mimi rais ndio mlinzi wa nchi na raia wake wote, inapotokea raia akatendewa ndio sivyo, hasa kama kiongozi kama lisu kwa yaliyomkuta, lakini hakuwa na mtetezi??unategemea nini?!!kipindi cha jk, wale wafanya biashara wa madini walipouawa akaunda tume ya jaji KIPENKA, na ukweli ulijulikana!!lakini awamu hii kwanini , hayo mambo hayapo?!!licha ya kila siku matukio ya ajabu ajabu yanatokea?
Jingine unaposema kuwa anaungana na watu waliotutesa miaka na miaka, je ni miaka 60, toka wametuachia uhuru, lakini mateso tunayofanyiana sisi kwa sisi yanatofauti gani na wazungu?ni mbinu tu ndio zimeboreshwa lakini mateso yako pale pale!!kama leo serikali inaweza taifisha ng'ombe zako 500!!na huna pa kwenda?!!
 
Tundu lisu ni mdogo sana kwenye siasa kubwa hiz ............mwaache apige kelele atachoka tu
 
Kwa maisha ambayo Meko amefanya tuishi baada ya kuharibu uchumi kweli tumekuwa vichaa. Lakini huna haki ya kuingilia furaha yetu, kufa kwake ni UHURU wa pili wa Tanzania. Yule ana roho ya Adolph Hitler. Tusipofurahi anapoteseka tutakuwa wanafiki
[emoji40][emoji102]. Umetema nyongo mkuu.
 
Lazima ujiulize kwanza kwanini tumefikia hapa?!!lisu inawezekana ana mapungufu yake, lakini nijuavyo mimi rais ndio mlinzi wa nchi na raia wake wote, inapotokea raia akatendewa ndio sivyo, hasa kama kiongozi kama lisu kwa yaliyomkuta, lakini hakuwa na mtetezi??unategemea nini?!!kipindi cha jk, wale wafanya biashara wa madini walipouawa akaunda tume ya jaji KIPENKA, na ukweli ulijulikana!!lakini awamu hii kwanini , hayo mambo hayapo?!!licha ya kila siku matukio ya ajabu ajabu yanatokea?
Jingine unaposema kuwa anaungana na watu waliotutesa miaka na miaka, je ni miaka 60, toka wametuachia uhuru, lakini mateso tunayofanyiana sisi kwa sisi yanatofauti gani na wazungu?ni mbinu tu ndio zimeboreshwa lakini mateso yako pale pale!!kama leo serikali inaweza taifisha ng'ombe zako 500!!na huna pa kwenda?!!
Umenigusa sana. Nakumbuka ng'ombe toka pori la biharamulo .
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢
Chuki walianzisha waliompiga risasi
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuki kwa pig kwa binadam mchungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah nchi yangu Tanzania ujinga umeshika hatamu,yawezekana alieanzisha mada ni msomi wa vyeti na amefaulu vizuri tuu.Sisi kama taifa tuna safari ndefu sana.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn😢

Hakuna mwenye mapenzi na kiongozi yoyote jizi la kura.
 
Achana na huyo Balozi wa Mashoga wa Afrika ya Kusini. Ameteuliwa hivi karibuni na urais wa Tanzania atausikia tu kwenye Redio na TV

Eti urais wa Tanzania, kwani Tanzania ni US mpaka uone ni bonge la cheo?
 
Habari wana JF, huwa sipendelei sana kuiongelea siasa wala hata kutembelea huku upande wa siasa lakini dah Tandu Lissu leo kanileta huku.

Tundu Lissu hana mapenzi mema na nchi yake wala wananchi wa nchi yetu Tanzania. Kwa haya yafuatayo

• Hamtakii mema Rais anaye waongoza wananchi ambao na yeye anahitaji badae kuwaongoza. Kwa maana nyingine kumtakiwa mabaya Rais na kutamani labda kutokupona ni kukubali kuyahatarisha maisha ya watanzania na yeye haweZi kujari kwasababu haishi Tanzania.

• Hana mapenzi mema na Watanzania kwasababu kaonesha chuki binafsi, mwanzo nilijua ni siasa tu hampendi magufuri kisa uongozi lakini imedhihilika wazi kuwa hampendi personal.

• Kwanini asingizie usalama wake na kwenda kuishi Ulaya. Hivi kuna mwananchi gani mjinga atakaye kubali kumchagua mtu asiye yaishi maisha yake. Yani ukaishi ulaya uje kuniomba nikuchague hivi ninawazimu kichwani.

• Kitendo cha kwenda kuishi na kuungana kutafta msaada kwa wazungu walio mtesa mwafrika maelfu ya miaka nyuma ni unyama na maandalizi ya hatari kwa mtanzania.

Kama kweli Tundu Lissu angekuwa anaipenda Tanzania angemuombea mema Rais kwasababu ni matter what happened lakini ishakuwa ndiye Rais haiwezi kubadilika tena kuwa ndiye kiongozi kwahiyo anapo hitaji Rais kutokuwa katika hali nzuri hana mapenzi mema na wananchi wa Tanzania na ni uthibithisho tosha kuwa yeye ni sumu kwa Watanzania wote.

Kwa mfano imedhihirika kuwa hampendi Magufuli sio kisa tu uongozi hadi personal KWANINI, huenda wanachama wote nje ya chadema hatupendi na hawezi kuwa mwema kwa wananchi walio vyama tofauti na chadema.

Mimi namtaka akafute tweet zake zote Twitter zinazo mhusu Magufuli kwasababu ni za chuki na mwanzo mimi nilikuwa namuona mwema kwakuwa anaihubiri amani ila leo anahitaji watu walie damn[emoji22]
Sidhani kama ungemaliziwa magazine ya smg mwilini ungeongea huu ujinga wako, shut up! Kakojoe ukalale
 
Back
Top Bottom