Tundu Lissu hana mgogoro na utawala, ana mgogoro na chama chake. Hata akirudi hajui atafanya nini

Tundu Lissu hana mgogoro na utawala, ana mgogoro na chama chake. Hata akirudi hajui atafanya nini

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Huku centre boulevards of Brussels bila shaka hii ni mitaa maarufu ambako Lissu anapendelea zaidi kutembelea!

Au Kama yupo nje na Brussels huko Antwerp au Le ROI centre hawezi kukumbuka tena kurudi kwenye siasa za Tanzania. Miezi michache nyuma kilio Cha tundu Lissu ilikuwa ni kulipwa stahiki zake. Mama Samia kaona isiwe nongwa kamlipa.

Kaahidi kurudi nyumbani ila ahakikishiwe usalama wake. Nilimsikia waziri akimtaka kurejea Kwani nchi Iko shwari. Nini kinamkwamisha Lissu? Ni aina ya siasa za ajabu ajabu ambazo chadema wamekuwa nazo Kwa miongo kadhaa.

Siasa za Chadema Kwa siku za karibuni tofauti na wakati ule kulikuwa na ajenda tunayosimama nayo. Miaka ya sasa chadema hawaeleweki Wana ajenda ipi.

Kwa mfano Leo hata matawini kupo kimya! Mbowe yupo kimya! Mnyika yupo kimya! Nchi nzima kimya! Lissu akija Leo atakuwa na shughuli gani?

Mimi naona aendelee kubaki Ubelgiji Chadema aliyoipigania hata kuweka maisha yake rehani haipo tena Lissu endelea kula mishikaki hapo centre boulevards na ukitamani mtindi njoo huku Antwerp Kuna mtindi safi kabisa na mkate wa kuoka.

Hudumia familia Yako achana na siasa uchwara.
 
Lisu huwenda akawa mhamiaji wa maisha huko Brazos! Na pengine tayari ana ulaia wa huko!

Na ili aje huku, Chadema wananjia moja tu ya kumfanya aje!

Ni kumruhusu agombee nafasi ya Urais, na hili lijulikane pia, akishiriki kugombea nafasi hiyo, ikitokea ameshindwa! Hawezi ishi nchini kamwe!

Na huo ndio uchaguzi wake Kwa sasa!

Tusitaniane bajameni, Ulaya ni Ulaya tuu, Africa itabaki kuwa Africa tu

Ole wa mtu mweusi aonje maisha ya ulaya tena Kwa kibali cha huko, na akapata walau ajira!!! Hawezi kumbuka home!

Waulizeni wazenji, wako tayari familia wauze nyumba na viwanja ili tu mmoja kati yao wa familia hiyo, azamie ulaya, na akizamia, atahakikisha anatuma pesa nyumbani ili kuijenga tena familia hiyo!

Na Zanzibar inajengwa Kwa njia hiyo, na wahamiaji wa ulaya Zanzibar huenda Kwa nia hiyo!

Nani anayebeza maisha ya Ulaya?

Na ndiyo maana hata marais wa nchi za Ki Africa, huwekeza huko ulaya, na wanaishi tu huku Kwa shingo upande ila mioyo yao, iko ulaya

Africa itajengwa na watu wa kawaida saana, wenye kudharauliwa saana na kubezwa na watu weupe na siyo wanaosifiwa na wazungu,

Kwa sababu wote wansosifiwa na wazungu, kuna mawili, either wameuza utu wao, na labda mzungu ana miadi na nchi yake!

Tanzania nakupenda!
 
Itakuwa vyema akawa mwalimu wa sheria katika moja ya vyuo vya elimu ya juu

aachane na siasa
 
Kama Tanzania hawakuacha chanxo cha mapato kutokana na kukosa kwao ubunge 2020, sioni tatizo wakiendelea kukaa Ulaya na Marekani, tena chama chao hata ruzuku siku hizi hakina, unataka wakirudi wakale polisi?
 
Ngoja kikosi kazi kimalize kazi yake ndo tutajua anarudi au harudi kwani kumbuka chama chao kimesema majadiliano yanaendelea kuwa mwisho ni November.

Kwa hiyo tutarajie Lisu atakuja kuliamsha kuanzia Airport
 
Izo alizolipwa Kama stahiki zake ni zipi? Lissu mpaka Sasa amelipwa tsh Ml 70 na pointi, ambapo sehem kubwa ya Iyo pesa ililipwa benki alipokua anadaiwa, na kiasi kilichobaki hakikuweza mfikia tokana na account zake kuwa na shida hata haizi ml 15, Sasa ipi nyingine kalipwa?

Lakin hata kalipwa si ni haki yake, punguza kumsema sema Rais wako ajae.
 
Huku centre boulevards of Brussels bila shaka hii ni mitaa maarufu ambako Lissu anapendelea zaidi kutembelea!.

Au Kama yupo nje na Brussels huko Antwerp au Le ROI centre hawezi kukumbuka tena kurudi kwenye siasa za Tanzania!. Miezi michache nyuma kilio Cha tundu Lissu ilikuwa ni kulipwa stahiki zake! Mama Samia kaona isiwe nongwa kamlipa!!

Kaahidi kurudi nyumbani ila ahakikishiwe usalama wake ! Nilimsikia waziri akimtaka kurejea Kwani nchi Iko shwari ! Nini kinamkwamisha Lissu? Ni aina ya siasa za ajabu ajabu ambazo chadema wamekuwa nazo Kwa miongo kadhaa.

Siasa za chadema Kwa siku za karibuni tofauti na wakati ule kulikuwa na ajenda tunayosimama nayo. Miaka ya sasa chadema hawaeleweki Wana ajenda ipi!

Kwa mfano Leo hata matawini kupo kimya! Mbowe yupo kimya! Mnyika yupo kimya! Nchi nzima kimya! Lissu akija Leo atakuwa na shughuli gani?

Mimi naona aendelee kubaki Ubelgiji chadema aliyoipigania hata kuweka maisha yake rehani haipo tena Lissu endelea kula mishikaki hapo centre boulevards na ukitamani mtindi njoo huku Antwerp Kuna mtindi safi kabisa na mkate wa kuoka !!

Hudumia familia Yako achana na siasa uchwara !!
Kunamtu kasema tanzania 99.999999999999999999999999999% hawana akili, wajinga, wapumbavu. You are one of them!
 
Kunamtu kasema tanzania 99.999999999999999999999999999% hawana akili, wajinga, wapumbavu. You are one of them!
Hiyo ndio freedom of expression tunayoipigania. Jaribu kuwa mvumilivu kwa wenye mawazo usiyoyapenda.
 
Ubishi wake ulimponza kwani gwajima alimtonya mapema akakaidi kaidi wakudumu amekaidi Hadi kifo
 
I was quoting someone who posted that figure
I have nothing against you quoting someone.

My concern is when you refer your qoute to someone for what I feel like having different opinions from yours, hence my advice that you should try to tolerate those with opposing views.
 
Lisu huwenda akawa mhamiaji wa maisha huko Brazos! Na pengine tayari ana ulaia wa huko!

Na ili aje huku, Chadema wananjia moja tu ya kumfanya aje!

Ni kumruhusu agombee nafasi ya Urais, na hili lijulikane pia, akishiriki kugombea nafasi hiyo, ikitokea ameshindwa! Hawezi ishi nchini kamwe!

Na huo ndio uchaguzi wake Kwa sasa!

Tusitaniane bajameni, Ulaya ni Ulaya tuu, Africa itabaki kuwa Africa tu

Ole wa mtu mweusi aonje maisha ya ulaya tena Kwa kibali cha huko, na akapata walau ajira!!! Hawezi kumbuka home!

Waulizeni wazenji, wako tayari familia wauze nyumba na viwanja ili tu mmoja kati yao wa familia hiyo, azamie ulaya, na akizamia, atahakikisha anatuma pesa nyumbani ili kuijenga tena familia hiyo!

Na Zanzibar inajengwa Kwa njia hiyo, na wahamiaji wa ulaya Zanzibar huenda Kwa nia hiyo!

Nani anayebeza maisha ya Ulaya?

Na ndiyo maana hata marais wa nchi za Ki Africa, huwekeza huko ulaya, na wanaishi tu huku Kwa shingo upande ila mioyo yao, iko ulaya

Africa itajengwa na watu wa kawaida saana, wenye kudharauliwa saana na kubezwa na watu weupe na siyo wanaosifiwa na wazungu,

Kwa sababu wote wansosifiwa na wazungu, kuna mawili, either wameuza utu wao, na labda mzungu ana miadi na nchi yake!

Tanzania nakupenda!
Nilipomsikia akisema "tutashtakiwa MIGA", "Tanzania inawahitaji wazungu kuliko wazungu wanavyoihitaji Tanzania" nkajua sasa basi. Hivi huyu jamaa aliwaza angepata urais kwa kauli kama hizo? Watu wanamoverrate sana Lissu lakini siyo smart kisiasa.
 
Nilipomsikia akisema "tutashtakiwa MIGA", "Tanzania inawahitaji wazungu kuliko wazungu wanavyoihitaji Tanzania" nkajua sasa basi. Hivi huyu jamaa aliwaza angepata urais kwa kauli kama hizo? Watu wanamoverrate sana Lissu lakini siyo smart kisiasa.
Mkuu, kwa idadi ya wajinga nchini anaweza kupata. Umewahi kujiuliza kwanini mtu wa ovyo kama lowasa alipata mamilioni ya kura?!

Tunayo mamilioni ya raia wasioweza kufikiri, wanasubiri viongozi wao watoe matamko wao watekeleze.
 
Lisu aache kuwaogopa nyie mliompiga risasi hamsini, aende kuwaogopa watu ambao wamekua upande wake muda wote akipigania uhai wake?

Zamani Lumumba kulikua na vijana wajanja, wanaojua kutengeneza uongo wenye mantiki na propaganda zenye mashiko.

Siku hizi Lumumba pamejaa viazi na mapapai, ambayo hayawezi kufikiria mbali zaidi ya buku saba wanazolipwa. Pathetic!
 
Huku centre boulevards of Brussels bila shaka hii ni mitaa maarufu ambako Lissu anapendelea zaidi kutembelea!.

Au Kama yupo nje na Brussels huko Antwerp au Le ROI centre hawezi kukumbuka tena kurudi kwenye siasa za Tanzania!. Miezi michache nyuma kilio Cha tundu Lissu ilikuwa ni kulipwa stahiki zake! Mama Samia kaona isiwe nongwa kamlipa!!

Kaahidi kurudi nyumbani ila ahakikishiwe usalama wake ! Nilimsikia waziri akimtaka kurejea Kwani nchi Iko shwari ! Nini kinamkwamisha Lissu? Ni aina ya siasa za ajabu ajabu ambazo chadema wamekuwa nazo Kwa miongo kadhaa.

Siasa za chadema Kwa siku za karibuni tofauti na wakati ule kulikuwa na ajenda tunayosimama nayo. Miaka ya sasa chadema hawaeleweki Wana ajenda ipi!

Kwa mfano Leo hata matawini kupo kimya! Mbowe yupo kimya! Mnyika yupo kimya! Nchi nzima kimya! Lissu akija Leo atakuwa na shughuli gani?

Mimi naona aendelee kubaki Ubelgiji chadema aliyoipigania hata kuweka maisha yake rehani haipo tena Lissu endelea kula mishikaki hapo centre boulevards na ukitamani mtindi njoo huku Antwerp Kuna mtindi safi kabisa na mkate wa kuoka !!

Hudumia familia Yako achana na siasa uchwara !!
Ulitakaaje wewe?? Waeleweke ili ubebe agenda ukaanike huko Lumumba au!?
 
I have nothing against you quoting someone.

My concern is when you refer your qoute to someone for what I feel like having different opinions from yours, hence my advice that you should try to tolerate those with opposing views.
If opposing views are rubbish, then they should be responded to accordingly!
 
Mkuu, kwa idadi ya wajinga nchini anaweza kupata. Umewahi kujiuliza kwanini mtu wa ovyo kama lowasa alipata mamilioni ya kura?!

Tunayo mamilioni ya raia wasioweza kufikiri, wanasubiri viongozi wao watoe matamko wao watekeleze.
Kwanini unamuita Lowassa mtu wa hovyo?
 
Back
Top Bottom