Tundu Lissu hana mgogoro na utawala, ana mgogoro na chama chake. Hata akirudi hajui atafanya nini

Tundu Lissu hana mgogoro na utawala, ana mgogoro na chama chake. Hata akirudi hajui atafanya nini

Kwanini unamuita Lowassa mtu wa hovyo?
Kwangu mimi lowasa ni miongoni mwa watanzania wa ovyo.

Amewahi kuchunguzwa na serious fraud office ya Uingereza kuhusiana na jumba alilonunua London, akakingiwa kifua na wahujumu wenzake ndani ya CCM.

Wewe unamuona mtu wa maana?!
 
Nilipomsikia akisema "tutashtakiwa MIGA", "Tanzania inawahitaji wazungu kuliko wazungu wanavyoihitaji Tanzania" nkajua sasa basi. Hivi huyu jamaa aliwaza angepata urais kwa kauli kama hizo? Watu wanamoverrate sana Lissu lakini siyo smart kisiasa.

..kwani hatuwahitaji wazungu?

..tungekuwa hatuwahitaji tungesamehe trillion 350++ na kuchukua kishika uchumba toka kwa barrick?

..na unaishi dunia gani kiasi kwamba hujui kuwa acacia walitupeleka mahakamani? Au ulikuwa unasubiri Magufuli na Polepole wakutaarifu?
 
If opposing views are rubbish, then they should be responded to accordingly!
Always remember that your trash is another man's treasure. The views you cherish might as well be rubbish to other people.
 
Huku centre boulevards of Brussels bila shaka hii ni mitaa maarufu ambako Lissu anapendelea zaidi kutembelea!.

Au Kama yupo nje na Brussels huko Antwerp au Le ROI centre hawezi kukumbuka tena kurudi kwenye siasa za Tanzania!. Miezi michache nyuma kilio Cha tundu Lissu ilikuwa ni kulipwa stahiki zake! Mama Samia kaona isiwe nongwa kamlipa!!

Kaahidi kurudi nyumbani ila ahakikishiwe usalama wake ! Nilimsikia waziri akimtaka kurejea Kwani nchi Iko shwari ! Nini kinamkwamisha Lissu? Ni aina ya siasa za ajabu ajabu ambazo chadema wamekuwa nazo Kwa miongo kadhaa.

Siasa za chadema Kwa siku za karibuni tofauti na wakati ule kulikuwa na ajenda tunayosimama nayo. Miaka ya sasa chadema hawaeleweki Wana ajenda ipi!

Kwa mfano Leo hata matawini kupo kimya! Mbowe yupo kimya! Mnyika yupo kimya! Nchi nzima kimya! Lissu akija Leo atakuwa na shughuli gani?

Mimi naona aendelee kubaki Ubelgiji chadema aliyoipigania hata kuweka maisha yake rehani haipo tena Lissu endelea kula mishikaki hapo centre boulevards na ukitamani mtindi njoo huku Antwerp Kuna mtindi safi kabisa na mkate wa kuoka !!

Hudumia familia Yako achana na siasa uchwara !!
MATAGA MNAHANGAIKA NA CHADEMA KULIKO WANACHADEMA WENYEWE Mwendazake alihangaika nayo akawanunua Wabunge na Madiwani akawabambikizia KESI za Mauaji UHUJUMU UCHUMI na UGAIDI lakini Chadema haikufa akafa yeye
 
..kwani hatuwahitaji wazungu?

..tungekuwa hatuwahitaji tungesamehe trillion 350++ na kuchukua kishika uchumba toka kwa barrick?

..na unaishi dunia gani kiasi kwamba hujui kuwa acacia walitupeleka mahakamani? Au ulikuwa unasubiri Magufuli na Polepole wakutaarifu?
Acacia kutupeleka mahakamani ni maamuzi yao, walikuwa wakitetea maslahi yao. Hilo halishangazi. Kinachonishangaza ni huyu mtu aliyekuwa akijiita mwakilishi wa wananchi kusimama upande wa mabeberu kinyume na maslahi ya nchi. Na msilete arcadabra mnazotumia kumtetea Lissu kuhusu hili. It was clear kwa mtanzania wa kawaida kwamba Magufuli was trying to do something positive kwenye inshu ya madini, na Lissu alikuwa kinyume. Sasa weka na kauli zake zingine za kijinga zilizozidi kumuexpose jinsi alivo kibaraka. Halafu etu huyu ndiye mlimweka agombee urais.

Kuhusu hilo la Tanzania kuihitaji mzungu kuliko mzungu anavyoihitaji Tanzania njooni na slogan hiyo tena 2025. Afu tutatalk later baada ya matokeo ya kura.
 
Ualimu vyuo vikuu una vigezo vyake
Vigezo my foot!

Hao wenye vigezo wamefanya nn cha maana zaidi kunywa pombe, ngono na upuuzi mwingine?

Wana tija gani ktk taifa hili? Vigezo uchwara!
 
Acacia kutupeleka mahakamani ni maamuzi yao, walikuwa wakitetea maslahi yao. Hilo halishangazi. Kinachonishangaza ni huyu mtu aliyekuwa akijiita mwakilishi wa wananchi kusimama upande wa mabeberu kinyume na maslahi ya nchi. Na msilete arcadabra mnazotumia kumtetea Lissu kuhusu hili. It was clear kwa mtanzania wa kawaida kwamba Magufuli was trying to do something positive kwenye inshu ya madini, na Lissu alikuwa kinyume. Sasa weka na kauli zake zingine za kijinga zilizozidi kumuexpose jinsi alivo kibaraka. Halafu etu huyu ndiye mlimweka agombee urais.

Kuhusu hilo la Tanzania kuihitaji mzungu kuliko mzungu anavyoihitaji Tanzania njooni na slogan hiyo tena 2025. Afu tutatalk later baada ya matokeo ya kura.

..nadhani una tatizo la uelewa.

..njia alizotumia Magufuli hazikuwa sahihi.

..nia njema inatoka wapi ikiwa tuliandaa ripoti za uchunguzi za hovyo-hovyo ambazo hatuwezi kuzitumia popote kudai HAKI yetu?
 
Unaonekana una njaa sana, kila issue muhimu inapoongelewa unawaza kula tu.
Kama Tanzania hawakuacha chanxo cha mapato kutokana na kukosa kwao ubunge 2020, sioni tatizo wakiendelea kukaa Ulaya na Marekani, tena chama chao hata ruzuku siku hizi hakina, unataka wakirudi wakale polisi?
 
Always remember that your trash is another man's treasure. The views you cherish might as well be rubbish to other people.
1+1=2, hakuna ubishi hapo! unless ni matrimonial mathematics. Arguments zingine ziko hivyo, mathematically calculated
 
Lisu huwenda akawa mhamiaji wa maisha huko Brazos! Na pengine tayari ana ulaia wa huko!

Na ili aje huku, Chadema wananjia moja tu ya kumfanya aje!

Ni kumruhusu agombee nafasi ya Urais, na hili lijulikane pia, akishiriki kugombea nafasi hiyo, ikitokea ameshindwa! Hawezi ishi nchini kamwe!

Na huo ndio uchaguzi wake Kwa sasa!

Tusitaniane bajameni, Ulaya ni Ulaya tuu, Africa itabaki kuwa Africa tu

Ole wa mtu mweusi aonje maisha ya ulaya tena Kwa kibali cha huko, na akapata walau ajira!!! Hawezi kumbuka home!

Waulizeni wazenji, wako tayari familia wauze nyumba na viwanja ili tu mmoja kati yao wa familia hiyo, azamie ulaya, na akizamia, atahakikisha anatuma pesa nyumbani ili kuijenga tena familia hiyo!

Na Zanzibar inajengwa Kwa njia hiyo, na wahamiaji wa ulaya Zanzibar huenda Kwa nia hiyo!

Nani anayebeza maisha ya Ulaya?

Na ndiyo maana hata marais wa nchi za Ki Africa, huwekeza huko ulaya, na wanaishi tu huku Kwa shingo upande ila mioyo yao, iko ulaya

Africa itajengwa na watu wa kawaida saana, wenye kudharauliwa saana na kubezwa na watu weupe na siyo wanaosifiwa na wazungu,

Kwa sababu wote wansosifiwa na wazungu, kuna mawili, either wameuza utu wao, na labda mzungu ana miadi na nchi yake!

Tanzania nakupenda!
Tatizo Lisu kwa sasa hajielewi. Siasa za bongo zimebadilika lakini yeye bado kabakia enzi za awamu ya tano.
 
Haya ndio madhara ya kushindana na mtu badala ya kudeal na issues.

Lisu alimfanya Magufuli kama ndio mtaji wake kisiasa.

Yaani Magufuli ndio alikua political agenda yake na njia ya kujipatia umaarufu. Akimtukana basi anajiona bonge la mwanasiasa.

Sasa hayupo he is no longer relevant.
 
Lisu huwenda akawa mhamiaji wa maisha huko Brazos! Na pengine tayari ana ulaia wa huko!

Na ili aje huku, Chadema wananjia moja tu ya kumfanya aje!

Ni kumruhusu agombee nafasi ya Urais, na hili lijulikane pia, akishiriki kugombea nafasi hiyo, ikitokea ameshindwa! Hawezi ishi nchini kamwe!

Na huo ndio uchaguzi wake Kwa sasa!

Tusitaniane bajameni, Ulaya ni Ulaya tuu, Africa itabaki kuwa Africa tu

Ole wa mtu mweusi aonje maisha ya ulaya tena Kwa kibali cha huko, na akapata walau ajira!!! Hawezi kumbuka home!

Waulizeni wazenji, wako tayari familia wauze nyumba na viwanja ili tu mmoja kati yao wa familia hiyo, azamie ulaya, na akizamia, atahakikisha anatuma pesa nyumbani ili kuijenga tena familia hiyo!

Na Zanzibar inajengwa Kwa njia hiyo, na wahamiaji wa ulaya Zanzibar huenda Kwa nia hiyo!

Nani anayebeza maisha ya Ulaya?

Na ndiyo maana hata marais wa nchi za Ki Africa, huwekeza huko ulaya, na wanaishi tu huku Kwa shingo upande ila mioyo yao, iko ulaya

Africa itajengwa na watu wa kawaida saana, wenye kudharauliwa saana na kubezwa na watu weupe na siyo wanaosifiwa na wazungu,

Kwa sababu wote wansosifiwa na wazungu, kuna mawili, either wameuza utu wao, na labda mzungu ana miadi na nchi yake!

Tanzania nakupenda!
Yani umenipiga na kitu kizito cha 'ulaia', nikaona isiwe taabu... wacha nihame uzi kabisaaa.
 
..nadhani una tatizo la uelewa.

..njia alizotumia Magufuli hazikuwa sahihi.

..nia njema inatoka wapi ikiwa tuliandaa ripoti za uchunguzi za hovyo-hovyo ambazo hatuwezi kuzitumia popote kudai HAKI yetu?
Magufuli kwa nafasi aliyokuwa nayo kama Rais (akipokea reports kutoka kwa washauri mbali mbali chini yake), na kwa uzoefu wake akiwa mjumbe wa baraza la mawaziri kwa miaka 20, alikuwa na data za kutosha kuhusu hili na kujua njia gani sahihi ya kutumia. Ulitaka tumsikilize Lissu kuliko amiri jeshi mkuu wa nchi?

Na hata kama njia iliyotumika haikuwa sahihi ndivyo mapambano yalivyo. Hakuna njia moja itakayokuwa effective aslimia 100. Cha muhimu hapa ilikuwa nia, uthubutu, na mwanzo (initiative) katika kuwaonyesha mabeberu kwamba tunahitaji mabadiliko. Na vyovyote vile utakavyolitazama huwezi kuunderestimate impact ya hizo initiatives za Magufuli kwenye madini.

Kinyume chake impact za tantalila za Lissu zipo wazi kabisa kisiasa kwake na kwa chama chake. Jamaa alijiexpose jinsi asivyokuwa reliable (na by extension chama chake) kusimama kwa ajili ya maslahi ya nchi.
 
Magufuli kwa nafasi aliyokuwa nayo kama Rais (akipokea reports kutoka kwa washauri mbali mbali chini yake), na kwa uzoefu wake akiwa mjumbe wa baraza la mawaziri kwa miaka 20, alikuwa na data za kutosha kuhusu hili na kujua njia gani sahihi ya kutumia. Ulitaka tumsikilize Lissu kuliko amiri jeshi mkuu wa nchi?

Na hata kama njia iliyotumika haikuwa sahihi ndivyo mapambano yalivyo. Hakuna njia moja itakayokuwa effective aslimia 100. Cha muhimu hapa ilikuwa nia, uthubutu, na mwanzo (initiative) katika kuwaonyesha mabeberu kwamba tunahitaji mabadiliko. Na vyovyote vile utakavyolitazama huwezi kuunderestimate impact ya hizo initiatives za Magufuli kwenye madini.

Kinyume chake impact za tantalila za Lissu zipo wazi kabisa kisiasa kwake na kwa chama chake. Jamaa alijiexpose jinsi asivyokuwa reliable (na by extension chama chake) kusimama kwa ajili ya maslahi ya nchi.

..hakutumia njia sahihi ndio maana Prof.Kabudi amejitokeza na kukiri kwamba madai dhidi ya acacia yalikuwa sio sahihi/ uongo, na wengine wameita kanyaboya.

..kwa msingi huo huwezi kusema Magufuli alikuwa anatetea maslahi ya nchi. Huwezi kumuita mzalendo kwasababu nchi haitetewi kwa njia za uongo, hila, na ulaghai.

..Lissu ni Mtanzania wa kwanza aliyekuwa na ujasiri wa kusema ukweli kuhusu ripoti na madai ya Magufuli. Prof.Kabudi amepata ujasiri wa kutubu na kusema ukweli 5 yrs later.

..sakata zima la makinikia lilikuwa na lengo la kuwalaghai wananchi na kujiongezea umaarufu wa kisiasa.

..Kama Magufuli alikuwa serious na mwenye uchungu kuhusu rasilimali zetu angechukua hatua kali dhidi ya vigogo waliotumia madaraka yao vibaya kuliingiza taifa ktk mikataba ilitusababishia hasara.

..Vilevile asingemteua Deo Mwanyika, ambaye aliwahi kuwa Mtendaji Mkuu wa Acacia hapa nchini kuwa mgombea ubunge wa Ccm.
 
Tanzania itajengwa na Mwenye Enzi Mungu mwenyewe!
Kama alisimamisha kuta za Israel sembuse Tanzania [emoji1241]!
Usiangalie 1+1=2 angalia kwa jicho la tatu ambalo 1+1=8
Unajiuliza kwa vipi!
Njia za Mwenye Enzi Mungu sio za binadamu!
AMINI
 
..sakata zima la makinikia lilikuwa na lengo la kuwalaghai wananchi na kujiongezea umaarufu wa kisiasa.
Kuna USD 300m+ ambayo kuna pahala umeiita kishika uchumba, nayo tulilaghaiwa? Kwamba hakuna ahadi kama hiyo iliyotolewa na acacia?

Kama ahadi ilitolewa, kwanini kampuni kubwa kama acacia itoe ahadi ya kulipa kiasi hicho kikubwa cha pesa kwenye madai ya kilaghai/kitapeli?!
 
Back
Top Bottom