Zanzibar 2020 Tundu Lissu: Hatuna maslahi na Urais Zanzibar, tutatangaza rasmi kumuunga mkono Maalim Seif

Zanzibar 2020 Tundu Lissu: Hatuna maslahi na Urais Zanzibar, tutatangaza rasmi kumuunga mkono Maalim Seif

Wewe unayejua timing mbona hukuchukua fomu ya CCM vyombo ya usalama vikuunge mkono.
May be alikuwa na nia ila fomu waliprint moja tu, sasa kwa wanavyo muogopa Meko angewezaje kumuomba atoe copy?
 
Lowassa 'aliposhindwa' kwny uchaguzi mkuu then 2016 aliamua siku hio kwenda Geita kuwashukuru wapiga kura wake aisee alivurumishiwa mabomu ya machozi mpk leo hajarudia ubishi tena.
Hata Jiwe kunasiku atapigwa mabomu
 
Huyu jamaa ashashindikana, wasubiri siku ya kumtangaza rasmi tu.
 
Deep down ukisikiliza vizuri sera za CCM na Chadema kutoka kwa wagombea wake, Chadema wamejitahidi sana kuonesha ni jinsi gani watatibu majeraha mawili.
1. Muungano wa JMT
2. Katiba
 
Lissu kama mashabiki wa utopolo anatoa stress zake za kupigwa risasi na wasiojulikana ila mwisho wa mchezo rais atajulikana
 
Kila jambo na wakati wake,hawajachelewa hata sasa mabadiliko yanapoenda kutimia ni suala la muda muafaka.Hakikisha Mh.Lissu anapata kura yako,rafiki,familia na jamaa wote walio katika ushawishi wako ili Mh.Lissu apate ushindi wa kimbunga.Yangu na wanaonizunguka anayo tunasubiri siku ifike tufanye yetu.
 
“Sisi CHADEMA tumetangaza rasmi kumuunga Mkono Maalim Seif kama ilivyo kwa Cheyo na Mrema kumuunga mkono Magufuli na hili tutatangaza rasmi muda si mrefu"- Tundu Lissu.

"Kama ilivyosahihi kwa Mrema na cheyo kumuunga mkono Magufuli, ni sahihi kwa Maalim Seif na ACT kuniunga mkono na ni sahihi kwa Tundu Lissu na CHADEMA kumuunga mkono Maalim Seif na ACT." Mhe. @TunduALissu.

“Nikichaguliwa kuwa Rais nitaunda Serikali ya Chadema kwasababu ya Katiba inavyosema. Kama kutakuwa na uhitaji itabidi tubadilishe Katiba kwanza, na moja ya maazimio ya Chadema ikishinda Uchaguzi Mkuu ndani ya siku 100 tutaanzisha mchakato wa Katiba mpya.”Tundu Lissu

“Bob Amsterdam ni Mawakili wangu, wanashughulika na maswala yangu yote yakisheria ya ndani na nje ya Nchi. Kama Tume imeandikiwa barua basi Mawakili wangu wamekuwa wakitimiza wajibu wao, Kama nilivyosema uchaguzi mkuu hatutaki mchezo" Tundu Lissu

===
LISSU: HATUNA MASLAHI NA URAIS ZANZIBAR, NDIO MAANA TUNAMUUNGA MKONO MAALIM SEIF

Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema CHADEMA kumuunga mkono Mgombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo sio ushirikiano

Amesema wao hawatatangaza ‘coalition’ ya vyama vyao bali wataungana mkono kwenye maeneo ambayo hawana maslahi nayo. Amesema hawana maslahi na Zanzibar ndio maana wamemuunga mkono Maalim Seif Shariff Hamad

Amesema wamefanya hivyo kama ambavyo Lyatonga Mrema wa TLP na John Cheyo wa UDP walivyomuunga mkono mgombea wa Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. John Magufuli

Amesema hiyo haikatazwi na sheria. Amesema ni muungano wa vyama ndio unatakiwa kisheria kupeleka barua kwa msajili na wao hawana muungano
Ngoja ninogeshe hapa, Mutungi akipita hapa ajione alivyo mjinga "In Lisu voice".
JamiiForums1417619489.jpg
 
Hao wengine Mrema na Cheyo matamko yao yaidhinishwa na kamati kuu zao na mikutano mikuu yao

CHADEMA hilo halipo ni Lissu kujiropokea mwenyewe kwenda mbele
Hahahahahaha, mavi debe, na bado Lisu siyo Lowasa
FB_IMG_1601448321430.jpg
 
Tundu Lissu kaleta na kuonyesha vitu tofauti. Atleast kawafundisha watu kusoma word to word sheria na kanuni zetu ili kuepuka maonevu

1. Kathibitisha kwamba hakunaga kitu kinachoitwa ni “kosa kikanuni kufanya mikutano na kuhutubia” wakati wa kukusanya sahihi za wadhamini wa form za urais

2. Huwezi kumuita mtu kizembe tu kwa kutangaza kwenye media. Lazima umkabidhi barua mkononi na mpange nae ratiba ya kukutana na sio kumuharibia ratiba zake

3. Umuhimu wa kutumia reference kwenye mambo muhimu. “If Mgombea huyu alifanya hivi na kuachwa, then na sisi tutafanya hivyo na kuachwa pia”[emoji4]

Dr. Mahera inabidi ujipange aisee. Tumia PhD yako vizuri. Wasomi wote hutafiti kabla ya kuact. Usitegemee kupokea ushauri wa maana kutoka kwa Polepole et al. Utapata taabu saana after Nov 2020
Kuna baadhi ya Watanzania wenzetu kwa ulevi tu wa madaraka wanadhani ile Mahakama ya The hugue ni pambo tu, wawaulize wenzao Kwanza.
 
Hayo magadget waliyomuwekea ni hatari kwa usalama wa taifa akiwa popote iwe ikulu au kituo cha jeshi au ofisi ya usalama wa taifa yanapiga picha na kubeba taarifa za ofisi alipo na kuzipeleka nje kupitia computer ya Amsterdam jasusi LA kimataifa

MTU ana mi gadget ya kijasusi ya mabeberu mwili mzima hafai u amiri jeshi mkuu

Umefikia hatua mbaya sana na ugonjwa wa akili. Kuamini unachowaza. Kawaida mtu huamini au kutoamini kinachosemwa na mwingine. Akili yako mwenyewe haiwezi kuwa chanzo cha wazo na kuamini au kutoamini pia!!

Hebu tuzungumzie sera, nia na hamu au maono ya hawa wagombea. Sio habari ulizojitungia. Na kama zimesemwa kwako, toa taarifa hizo kwa vyombo husika na Lissu awajibishwe!!

Do not stoop this low, man!!
 
NEC mbumbumbu wa sheria, ZEC ndiyo inayosimamia uchaguzi Zanzibar siyo NEC. Kazi ya Msajili wa vyama ni kusajili na kuvilea sio kusimamoa uchaguzi Zanzibar wala Bara. Hivi hawa ndugu elimu zao walizipatia vyuo gani?
 
Back
Top Bottom