Naamini sasa nilichoambiwa ni kweli kwamba BAVICHA ni weupe sana na hawawezi kuvumilia kwenye mijadalaSuala hili tuliache kama lilivyoachwa na bunge kama wabunge wenyewe hawakulijadili licha ya kuundiwa kamati sisi ni nani hata tulijadili????!
Huwezi ziona kama ujazitafutaSijaziona na mfumo hajaonyeha kuwepo kwa mada yoyote sawa na hii yangu.
Mwenyekiti Mbowe ili:-Sawa tumemsikia eeh baada ya kufika hospital na gari la rehema nani alimpeleka Nairobi? Hiyo ndege ni maelekezo ya nani?
Wajumbe tuendelee kuanzia hapo!
Anzisha huo uzi tutachangia mkuuLakini mkuu unataka kusema Lissu alijipiga risasi mwenyewe? Mwenzetu kashapata ulemavu wa kudumu bila hatia sio sahihi kumjibu jibu kisiasa. Hata Mama Samia alikuwa ni miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa kwenda kumtembelea hospitalini Nairobi. Nadhani tujikite kuhoji wale waliokuwa wanazuia hata maombi ya kumwombea Lissu walikuwa wana roho ya aina gani. Mtu kama Musiba alikuwa binadamu wa aina gani? Kuna Gambo aliyekuwa na roho mbaya kiasi cha kukamata watu waliokuwa wamejichanga wakatoe rambirambi kwenye msiba wa wanafunzi wa Lucky Vicent. Halafu kama Rais Samia majuzi kafichua vitendo vya watu kubambikizana kesi unadhani kwa wakati ule angejitokeza dereva wa Lissu nini kingempata? Tuwe na ubinadamu bhana.
Tumpinge tu Lissu kwa mambo yake ya kutetea ushoga kwa kudai ni mambo ya faragha. Kuhusu uonevu aliofanyiwa nasimama na Lissu.
Haya Tundu Lisu hakupigwa lisasi, anajisingizia tu! Umefurahi ndg, unajua kuna mambo mengine kuna ushahabiki unapitiliza, mwenzako kawa kilema lakini wewe unapingana na uhalisia kwamba hakupigwa lisasiNimeweza:
1. Kuonyesha kuwa Lissu siyo mkweli
2. Nimweza kuwaibua nyinyi mashuhuda a uongo wa Lissu
3. Sasa dunia inaelewa kuna kitu hakiko sawa
Tunaposema "Lissu ni muujiza unaoishi" unaelewa nini!!???Mie ninaamini tukio la tundu lissu limejaa usanii mwingi sana,lkn ninaamini kuna siku ukweli utajitenga na uongo, Smg!? Risasi 16?,
Nadhani hili si la vijana wa BAVICHA Wala CCM, hili ni la Polisi Tanzania.Naamini sasa nilichoambiwa ni kweli kwamba BAVICHA ni weupe sana na hawawezi kuvumilia kwenye mijadala
Wewe mpumbavu hakuna mwanaCCM mwenye akili timamu anayefurahia binadamu mwingine kupigwa risasi hadharani. Sio sera za CCM hizo. Wale Sukuma Gang ndo walitaka kutuletea hayo mambo ila Mungu akazuia. Nitajie mwanasiasa mmoja tu nguli wa CCM aliyewahi kutoa kauli ya kipumbavu kuhusu kupigwa risasi Lissu?Anzisha huo uzi tutachangia mkuu
Uzuri Tanzania sio ki Nchi Cha hovyo kama S Sudan, au Burundi kwa mfano. Tanzania ya Nyerere ni Nchi kubwa. Haiwezi kiyumbishwa kirahisi. Kikubwa tusema 'Never Again'!Sasa kama hayo yanajulikana tatizo lipo wapi?
Where is the Disconnect? Kukosa Dhamira?
Nani anayesema Ukweli? Mh. Tundu Lissu au Serikali?
Tumechanganyikiwa Wananchi.
...Je haya yaliyozuliwa katika mada...
'...tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana'
Tufunge mjadala, kwakuwa majibu yapo ila Serikali haina Dhamira?
Unafikiri Tundu Lissu anaafiki na hayo?
Kosa dogo huwa linaleta maana tofauti kabisa! Elewa hivyo jombaaToo trivial- wewe jadili mada achana na mambo madogo madogo
Tafuta ile CCTV video. Kila kitu kipo waziMaelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?
Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Ungetumia akili kidogo ungeelewa kuwa tunachojadili si nani aliafanya nini ila maelezonyokanyoka ya Lissu kuhusu alivyoshambuliwaMaswali ya kipumbavu hayo nenda ukamuulize mama yako mzazi...ameshamtaja aliyewatuma wamshambulie ni nani..
Mataga hujadili watu, not issue. Hasara sana.Tumjadili Tundu Lissu au tujadili tukio?
Haihitajiki tume kufanya uchunguzi. Ni uchunguzi wa jinai, ambayo ni kazi ya Police na DPPNimekupata.
Niseme tu, Sitakubaliana na uanzishwaji wa Tume. Sidhani kama nitapenda kuona hadaa nyingine....ni maoni yangu.
Inaonekana una taarifa nyingi na Nyeti, au kwa lugha nyingine ni kuwa Ushahidi wa kutosha upo. Kwanini Mh. Tundu Lissu asiwafungulie Polisi au Serikali kesi na kudai amenyimwa haki...au hilo nalo linahitaji Katiba mpya?