Tundu Lissu hebu tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana

Tundu Lissu hebu tueleze vizuri tukio la kupigwa risasi lilivyotokea haya uliyotoa yanaacha maswali mengi sana

sio kweli umekosea maelezo ya dereva nanukuu anasema dereva alifyatua kiti cha bosi wake na kukilaza ndo maana alipigwa miguuni tu na kwenye mapaja tu derefa akafungua mlango wake adodoka akaingia uvvunguni mwa gari gari yao au yajirani sijui
Sijui kama maelezo yako kama ni sahihi. Siwezi kukubishia sana maana yawezekana wewe au mimi, mmojawapo akawa ama hakusikia sawasawa ila mimi kwa kumbukumbu yangu kutoka kwenye video clip niliyoisikiliza, ndivyo kumbukumbu yangu inavyonituma.

Vyovyote iwavyo, kama Serikali ingekuwa na nia ya kuchunguza tukio hilo, yangepatikana maelezo sahihi ya wahusika waku. Tungesikia maelezo ya dereva pamoja na ya watuhumiwa (Bashite, Kisandku, Kalmani, Zero, n.k.) mbele ya jaji, waandishi wa habari, wananchi na mawakili.

Jambo lililo jema, jinai haifi, kama si leo au kesho au keshokutwa, lakini vyovyote iwavyo, kuna siku habari nzima na ukweli wote namna mipango ilivyopangwa, ilivyotekelezwa, na hata baada ya tukio, tutayafahamu kwa uwazi. Lililo kuu na la kushukuriwa sana, ni kwamba Lisu pamoja na mateso yote, yupo hai. Hatakufa kwa risasi alizopanga muuaji, bali atakufa kwa mapenzi ya Mungu, siku atakayomwita.
 
Wewe mpumbavu hakuna mwanaCCM mwenye akili timamu anayefurahia binadamu mwingine kupigwa risasi hadharani. Sio sera za CCM hizo. Wale Sukuma Gang ndo walitaka kutuletea hayo mambo ila Mungu akazuia. Nitajie mwanasiasa mmoja tu nguli wa CCM aliyewahi kutoa kauli ya kipumbavu kuhusu kupigwa risasi Lissu?
Naungana na wewe. Katika kila chama kuna watu wema, wenye hekima na utu. Lakini kuna wahuni, wajinga na wengine wendawazimu wanaotaka kuifanya CCM ionekane imejaza majambazi na maharamia. Halafu haya majitu yenye roho mbaya ambayo yapo CCM yanakuwa na kimbelembele kama vile yenyewe ndiyo CCM.

Sijawahi kumsikia hata mwanaCCM mmoja mwenye busara akifurahia au kukejeli kushambulia kwa Lisu, zaidi ya hawa hayawani waliopo humu JF, Twiter na Fb.

Rais Samia, hata kabla hajawa Rais, akiwa makamu wa Rais, hakuwahi kukejeli badala yake alienda kumjulia hali Lisu bila ya kujali muuaji atamfanya nini. Hata wanaCCM high profiles ambao hawakwenda, hawakuwahi kukejeli, waliugulia ndani kwa ndani na kushangaa kiongozi wao mkuu wa chama alipofikia.
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?Shabiki wa ushetani na shetani mwenyewe hutakiwi kujibiwa unastahili kukemewa na kufukuzwa ukawaingie nguruwe
Shetani na wakwe zake huwa hawajibiwi! Hukemewa na kufukuzwa wakawaingie manguruwe.
tunasemaga...
I command you to leave in Jesus name!!!
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Ficha upumbavu wako mbele za watu penda kukaa kimya kuwa msikilizaji na msomaji , akili yako haiwezi nyambua hata namna umepatikana utawezaje mambo makubwa Kama hayo
 
Unafanya makosa makubwa sana kudhani kila aliyeko humu ni kijana- mie siyo kijana
Akili yako ipo sawa sawa kweli? Unajua kusoma na kuelewa kilichoandikwa ? Em tuliza akili Soma Tena,
Ni wapi kaandika kuwa nchi nzima Ni vijana ?
 
Anazeeka vibaya
Haya basi, tufanye hivi. Kuna wazee wanadharauliwa kwa ujumla lakini kumbe anapaswa kudharauliwa mmoja tu. Jikite kwenye ushauri - fanya mambo ya maana maishani mwako, achana na vitu vidogo vidogo ambavyo havikuongezei afya wala kipato.

Wewe sio mtaalamu wa uchunguzi katika jambo hili. Lissu huyu hapa, badala ya kuuliza humu - fanya taratibu akamatwe akajibu haya unayouliza Polisi au Mahakamani. Kwa kuwa sio kijana, utaona busara katika ushauri huu.
Nl
 
Ficha upumbavu wako mbele za watu penda kukaa kimya kuwa msikilizaji na msomaji , akili yako haiwezi nyambua hata namna umepatikana utawezaje mambo makubwa Kama hayo
“Be a free thinker and don’t accept everything you hear as truth. Be critical and evaluate what you believe in.”
— Aristotle
 
Mpaka ujuwe huu mchezo lazima kwanza uelewe nani alimteka mo? Achana na watendaji wa kazi nani alitoa amri akasingiziwa mwingine eti ndo kamtuma fulani? Nyiee nyamazeni tu kama hujui hujui.

Unajua mtu anakuumiza na msaada anatoa ili kupoteza ushahidi?

Tatizo humu wenye high thinking capacity ni wachache. Ila wamo wanao elewa hzi drama.
Mwenyekiti Mbowe ili:-
1. kuficha ushahidi
2. kula hela za michango ya matibabu
3. kuichafua serikali kwamba imekataa kumtibia Lissu huku wakijua utaratibu wa matibabu ulikuwa umekiukwa
Bado hujataja nilichokitegemea hapo hakuna jibu nadhani, anyway........
 
Muuji alikuwa na hofu kuwa labda sala kwaajili ya Lisu zingemaanisha hukumu dhidi yake.

Marehemu alitapatapa sana baada ya lile tukio. Mwiglu aliamua kuzima simu yake. Akaamua kumpigia Mahga RIP, akaongea na Mwiglu kupitia simu ya Mahga. Akamwambia Mwiglu aitishe vyombo vya habari, aseme kuwa Sirikali haihusiki na hilo shambulio. Mwiglu akashauriana na Mahga, wakaamua wakae kimya. Na hiyo ndiyo ikawa sababu ya Mwiglu, baada ya muda mfupi Mwiglu kufutwa kazi.

Marehemu pamoja na ubabe na ukatili wake, baada ya tukio lile, na reaction ya wananchi na jamii ya kimatifa, alibakia amechanganyikiwa. Na hiyo ndiyo sababu ya yeye wakati wote kukaa kimya kabisa, na kutoongelea tukio hilo wala kulitaja jina la Lisu. Adhabu aliyoipata, ya kisaikolojia, hakuna anayeijua isipokuwa yeye binafsi na watu wake wa karibu.

Watu wa karibu wanadai kuwa marehemu, baadaye alifikia kuwachukia waliotekeleza shambulio kwa madai kwamba kushindwa kwao kumwua kumekuwa chanzo cha matatizo mengi hasa kwenye siasa za kimataifa.

Marehemu hayupo. Hakuna kinaweza kufanyika dhidi yake. Lakini akina Bashite, Ksanduku, Kalemni, bado wapo. Lazima hatua zichukuliwe.
Usimsahau na Mambosasa, baada ya tukio hili akapanda kuwa Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar kama malipo
 
Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao

Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu

MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake?

2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo?

Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.

3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
ivi mtu binafsi anaweza kumzuia mtu mwingine asitoe maelezo yake polisi tena kwenye kesi ya jinai?
ivi pakiwa na kesi nani huwa wakwanza kuchukuliwa maelezo? anakuwa shahidi kweli? mbona lisu mwenyewe yupo na hajachukuliwa hayo maelezo?
acheni unafiki nyie watu
 
Unafanya makosa makubwa sana kudhani kila aliyeko humu ni kijana- mie siyo kijana
Kamuulize kalimani akupe cctv zilizo ktk nyumba yake utaona Kama gari lilikua nyumba au ubavuni, shame on you.
 
Mie siyo wewe; wewe na yeye mko na akili moja ya kuchafua na kuendelea kuchafua watu
Ni nani anaechafuliwa labda hawezi kueleza,katuma chawa/kunguni wake wamsemee.
 
Watz hatuna desturi ya kuchunguza Mambo but Mimi naamini ukikaa na wakulungwa vizuri watakueleza kila kilichotokea by my side naamini uchunguzi ulishafanywa na wahusika wote wanajulikana ila viko makabatini kulinda maslai
Maslahi ya nani?
 
Miaka 7 imetimia...Ni moja ya miujiza iliyowahi kutokea duniani....Kupigwa risasi zaidi ya 38 na ku-survive.
 
Back
Top Bottom