Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wapo chadema huko huko, mnatekana halafu mnaiwakia serikali. Unamjua huyu?View attachment 1540457View attachment 1540458
Na Mgombea wenu anavyopost hivi kwenye pages zake za Facebook anafanya nini? Sio kampeni hii?
CCM Mtaongea yote mwaka huu. Itoshe kusema kuwa hoja za Lissu ni zamoto sana kiasi kwamba hamuwezi kuzigusa au kuzijibu bali kuleta ulalamishi tu.
Nimemsikia hadi Majaliwa wenu analia mbele ya wafanyabiashara wenu wa dini mnaowaita viongozi wa dini leo Eti watu wanatafuta huruma.
Mwambie nae atuambie wapo wapi waliompiga risasi Lissu?
Utajua mwenyewe kama alikuwa anafanya au la?Akikupa jibu sahihi niambie!!
😂😂😂 Polee mataga. Huyo ndo Lissu. Naona hadi unaumwa!!Utajua mwenyewe kama alikuwa anafanya au la?
Analimwa yule😂😂😂 Polee mataga. Huyo ndo Lissu. Naona hadi unaumwa!!
Mbona wapo chadema huko huko, mnatekana halafu mnaiwakia serikali. Unamjua huyu?
Polee mwana Lumumba! Jikaze tu kisabuni, huyo ndo Lissu. Hoja zake lazima mpoteane. Jikaze tu kasema hatorudisha kisasi akichukua nchi hapo October mwaka huu😀😀😀Analimwa yule
Hakiwezi kunuka mkuu, watu wenyewe waogaaa, kelele tu nyuma ya keyboardMkateni kinuke. Mbona Jiwe miaka 5 kafanya kampeni peke yake? Mpaka na matamasha kabisa ya kumnadi. Afterall bado Lissu hajapitishwa kuwa mgombea wa Urais hivyo hiyo sio kampeni usihofu.
Kunauwezekano kuna mahali atakuwa ameingia kingi yule, so why wengine hawafanyi hivyo?NEC Hawakuweka muongozo wa namna gani mgombea atakutana na watu wa kumdhamini.Kwahiyo LISU yuko sawa mno.
Kuchukua nchi yule? Acha basi kuchekesha mkuuPolee mwana Lumumba! Jikaze tu kisabuni, huyo ndo Lissu. Hoja zake lazima mpoteane. Jikaze tu kasema hatorudisha kisasi akichukua nchi hapo October mwaka huu😀😀😀
Wee hii Tanzania bana, watu hawawezi kufuata ujinga kama ule, kayakoroga mwenyewe, acha ayanyweHakiwezi kunuka mkuu, watu wenyewe waogaaa, kelele tu nyuma ya keyboard
Utayakumbuka baadae siku akikatwaUmeongea mashudu tupu
NEC imeandaa bonge la knife, lenye makali pande zoteAnatafuta wadhamini kampeni bado.