Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

We mwache abwabwanje tu, mbona atapoteana yule
 
Magufuli anaahidi kila siku kufanya hili na lile hilo nalo walionaje ? naomba nikutoe wasiwasi , hakuna mtu yeyote anayeweza kuthubutu kumkata Lissu , ondoa shaka
Mkuu, atalimwa yule ujue? Wiki ijayo siyo mbali
 
umeingia jf may 2020 , heshimu wakubwa wako , mimi nakufahamu hata kablabya hapa , be careful
It doesn't matter whatever the case, and be careful on what you respond on others. Do you know what they say, you get the treatment of your medicine. FYI, don't look on my registration date, and start bucking at me. When you respect others, you get respected too, my friend.
 
Mtazame na kumsikiliza Rais wako hapo 👇 😳👇👇👇. Achana na kuwaza mambo ambayo ni "impossible".

Huu ni uchaguzi mambo ya kuenguana by any reasons hayana maana.

Kwanini mnamuogopa sana huyu bwana? Mgombea wetu ametengeneza zahanati, SGR Dar - Mwanza; Dar - Kigoma na anaekekea kuingia Rwanda, kwanini ana hofu? Ameua au?

Anaongoza kwa point 3 na goli 3 lakini Magu bado ni mwoga tu? Kwanini hajiamini? Mwongo? Ameiba? Ameua au?

 
Alienda Zanzbar akapokelewa Mwinyi kwanini hakwenda kimya kimya?
 
Kisheria kampeni inaanza pale tu tume inapo kutangaza mgombea. Kuanzia tarehe 25 kwenda mbele ndiyo kampeni. Hiyo ndiyo sheria labda kama unajua sheria kuliko Lissu. Hiyo ndiyo sheria hakuna hata mwanasheria mmoja kasema kavunja sheria!!
 
Kejuu,

Huyu ndo Lissu kama Lissu!!! Umesikia hoja hizo zilivyo zamoto? Mtamwezea wapi?

Lazima mvue nguo mwaka huu. Eti Lissu hana hoja, akitema madini mnakimbilia kaanza kampeni. Na bado CCM mtaongea lugha zote mwaka huu! 😀😀😀😀
Waliyataka wenyewe,agenda zote wamempa wenyewe.Mteke watu,mfunge wengine jela kwa kuwasingizia/kuwaonea,mnashambulia kwa risasi na mapanga halafu mkiambiwa mnadai kaanza kampeni?

Mbona CCM imefanyiwa Tamasha,Imezindua nyimbo za kampeni,kongamano la wenye Dini zao ambazo zimeruhusiwa kuchanganyikana na siasa za CCM Mpya hamwezi kuona kuna tatizo ila kwa Mh.Lissu mnachonga midomo.Mnatishia kumkata,kateni muone kitakachofuatia.
 
Waliyataka wenyewe,agenda zote wamempa wenyewe.Mteke watu,mfunge wengine jela kwa kuwasingizia/kuwaonea,mnashambulia kwa risasi na mapanga halafu mkiambiwa mnadai kaanza kampeni? Mbona CCM imefanyiwa Tamasha,Imezindua nyimbo za kampeni,kongamano la wenye Dini zao ambazo zimeruhusiwa kuchanganyikana na siasa za CCM Mpya hamwezi kuona kuna tatizo ila kwa Mh.Lissu mnachonga midomo.Mnatishia kumkata,kateni muone kitakachofuatia.
Wamechanganyikiwa hawa ndugu. Hawana hali kwa kweli 😂😂
 
Back
Top Bottom