Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

Anakusanya watu na kuelezea sera zake kwa kisingizio cha kwamba anatafuta wadhamini. Angefanya Magufuli si ingekuwa kelele dunia nzima ingejua.

Tuseme basi inaruhusiwa kufanya afanyacho unapotafuta wadhamini. Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi wadhamini wanatakiwa kutoka mikoa 10 nchi nzima, ikijumuisha miwili ya zanzibar, sasa mbona huku bara kashaenda zaidi ya 10 kama sio kampeni ni nini?

Nafikiri kwa jinsi anavyopiga kelele kuhusu sheria, yeye kama mtaaluma wa sheria angekuwa wa kwanza kutii na kufuata taratibu na sheria.
 
Lissu kwa sasa anatafuta wadhamini, na huwezi kupata wadhamini wakutosha kama hujafika kwa wananchi wakuone na kukusikiliza kile kinachokufanya utake kugombea.

Kuhusu watu wengi kukusanyika wakati akitafuta wadhamini, nadhani hilo swali waulizwe watu wenyewe.
 
Anakusanya watu na kuelezea sera zake kwa kisingizio cha kwamba a natafuta wadhamini. Angefanya Magufuli si ingekuwa kelele dunia nzima ingejua.
Tuseme basi inaruhusiwa kufanya afanyacho unapotafuta wadhamini. Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi wadhamini wanatakiwa kutoka mikoa 10 nchi nzima, ikijumuisha miwili ya zanzibar, sasa mbona huku bara kashaenda zaidi ya 10 kama sio kampeni ni nini?
Nafikiri kwa jinsi anavyopiga kelele kuhusu sheria, yeye kama mtaaluma wa sheria angekuwa wa kwanza kutii na kufuata taratibu na sheria.
Hajaanza kwani mmeshachoka tayari mapema hii?

Zisubirini siku sabini na moja za kampeni.

mtakufa kwa presha
 
Ameanza kampeni period.

Ajiandae kushuhudia wenzake wakifanya kampeni wakati yeye akienguliwa
 
Anakusanya watu na kuelezea sera zake kwa kisingizio cha kwamba a natafuta wadhamini. Angefanya Magufuli si ingekuwa kelele dunia nzima ingejua.
Tuseme basi inaruhusiwa kufanya afanyacho unapotafuta wadhamini. Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi wadhamini wanatakiwa kutoka mikoa 10 nchi nzima, ikijumuisha miwili ya zanzibar, sasa mbona huku bara kashaenda zaidi ya 10 kama sio kampeni ni nini?
Nafikiri kwa jinsi anavyopiga kelele kuhusu sheria, yeye kama mtaaluma wa sheria angekuwa wa kwanza kutii na kufuata taratibu na sheria.
Ili mtu aweze kukubali kukudhamini ni lazima umshawishi kwa hoja na kumpa assurance ya udhamini wake
Sasa huwezi kuingia kaya 2000 kila mkoa kila mlango hivyo utaratibu unatoa taarifa kisha wananchi wanafika eneo la wazi wanakusikiliza maneno yako....wale watakaokubaliana nawe ndio wanakudhamini
 
Kampeni zinaanza tarehe 26/8/2020 kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
 
Lissu kwa sasa anatafuta wadhamini, na huwezi kupata wadhamini wakutosha kama hujafika kwa wananchi wakuone na kukusikiliza kile kinachokufanya utake kugombea.

Kuhusu watu wengi kukusanyika wakati akitafuta wadhamini, nadhani hilo swali waulizwe watu wenyewe.


Hivi Magufuli yeye kura zake zilikuwa tayari ama?Ila niliona fomu katuma watu kumtafutia wadhamini yeye hawezi ama anatafuta pumzi y akuzunguka kipindi cha kampeni au kampeni watampigia akina Mwigulu kama wanavyozunguka na fomu ?
 
Anakusanya watu na kuelezea sera zake kwa kisingizio cha kwamba anatafuta wadhamini. Angefanya Magufuli si ingekuwa kelele dunia nzima ingejua.

Tuseme basi inaruhusiwa kufanya afanyacho unapotafuta wadhamini. Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi wadhamini wanatakiwa kutoka mikoa 10 nchi nzima, ikijumuisha miwili ya zanzibar, sasa mbona huku bara kashaenda zaidi ya 10 kama sio kampeni ni nini?

Nafikiri kwa jinsi anavyopiga kelele kuhusu sheria, yeye kama mtaaluma wa sheria angekuwa wa kwanza kutii na kufuata taratibu na sheria.
Tatizo la hawa jamaa ni makelele, aking'olewa na NEC aje kulia lia hapa JF
 
sio mikoa 10 bara na 2 znz bali ni mikoa isiyopungua 10 bara na 2 znz, zingatia isiyopungua
 
Tundu Lissu ni mwanasheria na ameshaichambua hio sentesi ya kusema ni kampeni. Kampeni bado hazijaanza unawewaje kusema ni kusema ni kampeni? Labda hawajui tofauti ya Kampeni na kutafuta wadhamini.
Naunga mkono akatwe fasta. maana kumkata Tundu Lissu ndo salama yetu. Bila hivyo CCM hatutoboi!
 
Ul
Nyie si mmefanya tamasha pale uwanja wa mkapa, tena na leo wale watoza sadaka waliitisha kongamano la kumpongeza mgombea wenu au?

Mbona mnawashwawashwa sana na Lissu?
Ulimuona mgombea pale akinadi sera jukwaani?
 
Back
Top Bottom