Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu, huku ni kutafuta wadhamini au ni kampeni?

Hakuna siyejua thamani ya polisi, ila kwa siasa za Jiwe polisi force/service imekengeuka! TRA hakuna asiyejua thamani yake, ila kwa siasa za Jiwe, TRA imekengeuka , hakuna siyejua thamani ya mahakama, ila kwa siasa za Jiwe, Mahakama imekengeuka, hakuna siyejua thamani ya Bunge, ila kwa siasa za Jiwe, Bunge limekengeuka etc etc etc

Sio kweli, na naamini hata ww utampigia Rais wetu kura ifikapo Oct 2020, sbb maendeleo mnaona kwa macho sio kuhadithiwa tena. Ujue binadamu haridhiki hata umfanyie nn, tukiweka ukweli mbele na kuacha uongo, Mh. Magufuli kafanya makubwa sana hilo ukibisha ni sbb zako binafsi na chuki zako tu, ila ukweli unaonekana.

Hivyo namuombea kura kwako na naamini utampa ili aendelee kufanya makubwa ya maendeleo sio siasa za maneno matupu.. Hivi mna macho nyie kweli?
 
Sio kweli, na naamini hata ww utampigia Rais wetu kura ifikapo Oct 2020, sbb maendeleo mnaona kwa macho sio kuhadithiwa tena. Ujue binadamu haridhiki hata umfanyie nn, tukiweka ukweli mbele na kuacha uongo, Mh. Magufuli kafanya makubwa sana hilo ukibisha ni sbb zako binafsi na chuki zako tu, ila ukweli unaonekana.

Hivyo namuombea kura kwako na naamini utampa ili aendelee kufanya makubwa ya maendeleo sio siasa za maneno matupu.. Hivi mna macho nyie kweli?
as long as Jiwe utawala wake unahusishwa na mauaji, utekaji, kufungwa watu kwa hila, maiti za sandarusi coco beach, kubambikiwa watu kesi, kuminya uhur wa habari, kuminya haki za wafanyakazi.... etc etc etc, hata angeligawa mabilioni kwa kila mwananchi, SIWEZI KUMPA KURA.
NAHITAJI KUWA FREE... NAHITAJI UHURU WANGU! CRYING FOR FREEDOM

 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu
Na yule aliyepiga marufku mikutano ya ndani na nje ya vyama vya upinzani hakuvunja sheria na kanuni za uchaguzi?
Au ulikuwa umelala?
 
Dhaima ya Uzi wako ni kuchochoea Lissu akatwe na NEC.. Sasa umenoa
 
Tundulisu Hajateuliwa na NEC kugombea nafasi Urais, Hadi Sasa anaongea Kama mwwnanchi tu wa kawaida
 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu



Umeandika bila kutafakari, mbona kwa miaka 5 yote Rais Magufuli amekuwa akifanya kampeni!!!--- mtu wa kwanza kukatwa anapaswa awe Rais Magufuli.
 
View attachment 1540457View attachment 1540458
Na Mgombea wenu anavyopost hivi kwenye pages zake za Facebook anafanya nini? Sio kampeni hii?

CCM Mtaongea yote mwaka huu. Itoshe kusema kuwa hoja za Lissu ni zamoto sana kiasi kwamba hamuwezi kuzigusa au kuzijibu bali kuleta ulalamishi tu.

Nimemsikia hadi Majaliwa wenu analia mbele ya wafanyabiashara wenu wa dini mnaowaita viongozi wa dini leo Eti watu wanatafuta huruma.

Mwambie nae atuambie wapo wapi waliompiga risasi Lissu?
"Ameanza kampeni mapema"
 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu
Mwanasheria nguli yule anajua anachokifanya.
 
Nyie si mmeongea miaka 5, je mna jipya la kuwaeleza watanzania, wacheni na wenzenu waongee.... Kampeni zinaanza 26th stay turned... !
 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu

Aisee, tafakari ya mwenye hekima atang'amua kiongozi sahihi.
 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu

Mtahangaika sana. Hakuna kampeni hapo. Ni sawa tu na mgombea wa CCM anapowaambia watu wa Dumila kuwa tawajengea vibanda vya biashara! Kwa sasa muda wa kusema unafanya kampeni kabla ya muda haujafika kwa kuwa bado hawajapitishwa na NEC kuwa wagombea!
 
View attachment 1540457View attachment 1540458
Na Mgombea wenu anavyopost hivi kwenye pages zake za Facebook anafanya nini? Sio kampeni hii?

CCM Mtaongea yote mwaka huu. Itoshe kusema kuwa hoja za Lissu ni zamoto sana kiasi kwamba hamuwezi kuzigusa au kuzijibu bali kuleta ulalamishi tu.

Nimemsikia hadi Majaliwa wenu analia mbele ya wafanyabiashara wenu wa dini mnaowaita viongozi wa dini leo Eti watu wanatafuta huruma.

Mwambie nae atuambie wapo wapi waliompiga risasi Lissu?

Wanaita ngoma inogile.
 
Ndugu zangu,

Kipekee, napenda kumshukuru Mungu kwa kunipa uhai siku ya leo.

Mh. Tundu Lissu namfuatilia kwa umakini sana, tangia aanze kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini, ni kama vile anafanya kampeni tayari. Japo mimi siyo mwanasheria, ila kwa kumsikia tu, ndugu huyu anafanya kampeni tayari. Na kwa kadri siku zinavyooendelea ndiyo anazidi kujinadi kabisa.

Kwa mfano, alipokuwa Morogoro leo, ameahidi akiingia madarakani ataanzisha : ninamnukuu “a taxper’s bil of right, maana yake nini? Haki ya mlipa kodi”

().​


Kwa mwenendo huu, na tetesi tunazozisikia za ndugu huyu kukatwa kwa sababu ya kuanza kufanya kampeni kabla ya wakati, NEC itakuwa imekosea? Sambamba na hili, nimejiuliza maswali yafuatayo:
  • Kwanini wagombea wengine wanatafuta wadhamini kimya kimya?
  • Je, yawezekana kuna kipengele kinawafanya wagombea hawa watafute wadhamini kimya kimya, ila TL hakijui?
  • Au TL amejifanya much know, akawa na tafisri yake? Yaani mwanasheria nguli katoa boko?
  • Kwanini TL kwa kadri siku zinavyozidi kusongea ndiyo anafanya kampeni kabisa?
  • Au tayari ameshajua kuwa jina lake litakatwa, ndiyo maana ameamua kuanza kufanya kampeni kabisa, yaani, liwalo na liwe?
  • Je, akikatwa Chadema watasusia uchaguzi?
  • Kama wakisusia uchaguzi, vyama vingine navyo vitasusia
  • Kama navyo vitasusia, mwendo utakuwa kama ule wa uchaguzi wa serikali za mtaa?
Kwa tafisri yangu isiyokuwa rasimi, namalizia kwa kusema, kuna asilimia 95% Mh. TL atakatwa kwa sababu anatafuta wadhamini huku akifanya kampeni.

Asanteni,

Nawasilisha

Kejuu

Ndugu, tuungane ili kuutokomeza utawala huu wa MABAVU, utawala usio na uchungu wa maisha ya watu wake. Utawala ambao uko tayari kupoteza raia wema na kushambulia wengine kwa mvua za risasi tena mchana kweupe kwa tamaa na uroho wa madaraka..

Utawala ambao umewatelekeza vijana na kuwaacha wengi wao wakiwa MASIKINI WA KUTUPWA kwa ukosefu wa ajira, sera mbovu za kilimo, ufugaji na ujasiriamali..

Utawala amabao umewagawa Watanzania kwa itikadi za Vyama na kujenga chuki baina yao, kujenga matabaka ya WACHACHE KUFURAHIA MEMA NA KEKI YA TAIFA kama akina Bashite na wengineo..

MITANO YA UTAWALA WA MKONO WA CHUMA, INATOSHA....
 

Attachments

  • Makonda ajitangaza mla raha namba moja duniani..mp4
    857.8 KB
Back
Top Bottom