Mtu anakwambia anafatiliwa wewe unapuuza
Walinzi wanaondolewa kwenye makazi yake alafu anapigwa risasi eneo ilo ilo.
Baada ya tukio CCTV zinaondolewa kwenye eneo la tukio
Badae baadhi ya wema serikalini waungwana wanamshauri Mbowe wampeleke nje
Unazuia makanisa na misikiti wasimuombee
Unapiga marufuku watu wasivae tisheti zake zilizoandikwa pray for lissu.
Ananyimwa pesa ya matibabu bila sababu
Anazuiliwa pesa zake za ubunge
Anavuliwa ubunge kinyume cha sheria
Anarudi kugombea urais anaibiwa kura na anataka kuuwawa tena baadhi ya vigogo serikalini wanamshauri kuondoka nchini!
Huyu mtu utasema hataki uchunguzi wa shambulio lake?
Kwanini uchunguzi usianzie kwenye walioondoa walinzi na CCTV?
Magufuli, Ndungai na Siro mtalipa huu uhuni!!