Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Alimwambia nani kua anafuatiliwa? Alitoa taarifa kwa nani? Hayo ndio maswali ya Sirro.
 
Kwani hawezi! Yule mwendazake alikuwa absolute leader, there is argue against other wise waliona cha mtema kuni
 
Sawa tumesikia Kwahiyo tukusaidieje


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hii movie ya jamaa ikikaribia kuisha anaitafutia muendelezo.

Tafadhali wahusika naomba msimpe jamaa gia ya kufufua jambo lake Kila mara.
Mwenyezi Mungu ALIMLIPA Mwendazake IPASAVYO, kama angeendelea kuvuta pumzi HAKIKA sote tungemalizika. Huyo hakuwa binadamu wa kawaida aisee.
 
Mzee wa "tutashtakiwa MIGA" anatumia nguvu kubwa sana kubaki kwenye air waves.
 
Kwani Lissu bado anaishi?
 
Hii movie ya jamaa ikikaribia kuisha anaitafutia muendelezo.

Tafadhali wahusika naomba msimpe jamaa gia ya kufufua jambo lake Kila mara.
Na ndiyo maana tunataka katiba mpya mahakama iwe huru awapeleke huko mahakamani. Mtatajana tuu.
 
Legacy ya Mwendawazimu mnampenda Kichaa na matendo yake ya hovyo , lakini hamtaki yasemwe. Pumbavu kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…