Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kufa huku jamii ina kuheshimu na siyo jamii ifurahieKifo ni kifo mkuu!
Kuna watu wamefariki vifo vya hovyo na hawajawahi kuua hata mende.!
Kifo kizuri ni kipi mkuu?
Siasa inahalibu Nchi .kweli akae kimya kuliko kuongea kubwabwaja.Hii issue Sirro anaijua na anajifanya kama haijui, ni kheri akae kimya maana ataumbuka.
Hakuna cha viatu wala katambuga . Huyu jamaa yenu kupiga domo kunamponzaVaa viatu Vya lissu na tafakari ungekuwa ni wewe umetendewa aliyotendewa!!!!! Ungefanya nini?
Jinai kubwa kama ile iliyofanyika in public tena inayohusisha silaha, Jeshi la polisi huwa halingoji taarifa kuwa jinai ilitokea wakati linajua jinai ilitokea na lilifika eneo la tukio, huwa linaingia lenyewe front na kuanza upelelezi. Hapa inaonyesha wazi Jeshi la Polisi chini ya Sirro linalinda wauaji na kubariki kitendo cha jaribio la mauaji. Shame on Sirro!Huyo mwanaharakati aache kugeuza tukio Lake kuwa mtaji wa kisiasa, mtu yoyote akitendewa kinyume na sheria hasa kijinai anajukumu la kutoa taarifa kituo cha polisi cha jirani yake na pia ana jukumu la kutoa ushirikiano wa kutosha kuwezesha upelelezi na kumpata aliyemtendea uhalifu huo.
Pamoja na kuwa alikuwa akijiuguza huko nchi jirani baadae Ulaya lakini baada kupata nafuu hakurudi nyumbani kutoa ushirikiano na polisi lakini akawa anapiga misele kwenye vyombo mbali mbali vya habari akihubili kuhusu kupigwa risasi ili aonewe huruma na aje kugombea uraisi na uchaguzi ulipo karibia alirudi na hakwenda kulipoti polisi akafanya kampeni na baada ya kushindwa uchaguzi alisingizia anatishiwa
bila kwenda kutoa taarifa kituo cha polisi na wala hakusema anatishiwa na nani na kwanini na matokeo yake alikwenda kutunga uwongo kwenye ubalozi wa nchi fulani ya ulaya akasafirishwa kwenda huko alipo na wakati alifanya kampeni takribani miezi mitatu huku akikorofishana na polisi mara nyingi.
Unaambiwa mtu mwenyewe alikuwa kichaa na faili lake Milembe lakini bado Kuna kiwango cha kutosha cha Watanzania walikuwa na bado wanamuelewa.Hili jinga limalopoka uongo kila kukicha... Na kuna mandezi wanamshangilia kwa nguvu zote.
Stroke:Sawa wewe ni CCM lakini kubali ukweli na Hali halisi Wala acha kukejeli watu waliopata matatizo .chukulia ni wewe ndo umepata hayo matatzo halfu watu wakukejeli vipi utajiskiaje? Kuwa na roho ya utu na hapa tupo duniani Ivo tupendaneJamaa anajua hatuwezi kupata ushahidi kuhusiana na hiyo simu aliyopigiwa hivyo anacheza na akili zetu tu.
Udikteta wa Hitler unazungumzwa mpaka leo. Na hata huu udikteta wa marehemu, utaendelea kusimliwa vizazi vingi vijavyo.Hii movie ya jamaa ikikaribia kuisha anaitafutia muendelezo.
Tafadhali wahusika naomba msimpe jamaa gia ya kufufua jambo lake Kila mara.
Hataishi huko milele maana Tanzania ni nchi yake, na ana haki zote kama raia mwingine wowote.Sasa si akaishi huko huko? Ngonjera na kiki zake tumezichoka
Unasema, asingeweza kuagiza kuwa auawe (for what), mara ya kwanza (wakati wa shambulio la risasi 16) alitaka auawe for what?Mkuu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tz. Usipoteze muda wako. Na wala sio sababu ya Polisi wala Nini. Wananchi nje ya wewe hawawezi kumchagua huyo. Kuongoza nchi sio kufanya debate ya maneno.
Sasa wewe kwa akili yako unaweza amini ujinga huo: eti nilipata habari Rais anataka kuniua. For what. It’s too much ujinga mpaka nashangaa.
Magufuli alikuwa muuwaji Hilo halina ubishi.Mkuu Lissu hawezi kuwa Rais wa Tz. Usipoteze muda wako. Na wala sio sababu ya Polisi wala Nini. Wananchi nje ya wewe hawawezi kumchagua huyo. Kuongoza nchi sio kufanya debate ya maneno.
Sasa wewe kwa akili yako unaweza amini ujinga huo: eti nilipata habari Rais anataka kuniua. For what. It’s too much ujinga mpaka nashangaa.
Mkuu Bams achana naye uyo uwezo wake wa kufikili ni mdogo sanaUnasema, asingeweza kuagiza kuwa auawe (for what), mara ya kwanza (wakati wa shambulio la risasi 16) alitaka auawe for what?
Amedhulumu sana roho za watu.Magufuli alikuwa muuwaji Hilo halina ubishi.