Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Hivi waliomshambulia Lissu kwa nini tu wasijitokeze kwenye TV na kukiri hadharani kuwa ndio walioshindwa kumuua Lissu,nina uhakika hawatachukuliwa hatua yoyote na yeyeyote maana kama IGP mwenyewe ndio huyo Sirro kichaa
 
Mtu anakwambia anafatiliwa wewe unapuuza

Walinzi wanaondolewa kwenye makazi yake alafu anapigwa risasi eneo ilo ilo..
1. Unazuia makanisa na misikiti wasimuombee

2. Unapiga marufuku watu wasivae tisheti zake zilizoandikwa pray for lissu.

3. Ananyimwa pesa ya matibabu bila sababu

4. Anazuiliwa pesa zake za ubunge

Sababu ya kwanza ndiyo iliyofanya muumba alingoe jiwe la kishetani.
Bado JOBO hana round.
 
nani alitaka kumuua huyo pimbi wenu? hakuwa na nguvu yoyote ya kuipa wasiwasi nchi hii alikuwa anaogopa kivuli chake tu anakimbia hov=yo
Aliyetaka kumuua funza zinamalizia pumbu ya mwisho! sehemu zingine amekuwa udongo!
 
Hataishi huko milele maana Tanzania ni nchi yake, na ana haki zote kama raia mwingine wowote.

Udhalimu lazima usemwe na uwekwe kwenye kumbukumbu za nchi yetu ili iwe fundisho kwetu na vizazi vijavyo.
Hivi yule dactari wake ameshampa ruhusa ya kutoka inje na uberigiji. Au ni kiki zake kama kawaida
 
mmoja ka
Bado hawajaanza malipo hapa duniani?
 
Jamaa anajua hatuwezi kupata ushahidi kuhusiana na hiyo simu aliyopigiwa hivyo anacheza na akili zetu tu.
Huo ushahidi wa kupigiwa simu na IGP ukihitajika TCRA wanaweza kutoa. IGP mwenyewe anafanya mzaha tu. Tukio kubwa hivi polisi wanatoa majibu mepesi kiasi hiki? Nchi hii imeharibikiwa sana. Bahati mbaya kuna watu wanajidanganya kuwa nchi ikiharibikiwa hivi wao wanafaidika! Wasubiri waone. Si tunakumbuka yule aliyekuwa mshauri wa Baba wa Taifa aliyeporwa 100m/= na vyombo vya usalama? Ni nani atakuwa salama nchi ikiharibikiwa? Polisi kama kweli walihitaji kumhoji Lissu wangetumia njia mbalimbali kumpelekea wito.; sms, barua, tangazo maalum, nk. Nadhani huu ukurasa ungefungwa tu hadi akili zitakapoturejea tena! Hawakutaka kwa sababu hakuna upelelezi unaofanyika.
 
Kwaiyo hawezi kumpanga katibu mkuu aliyeteua? Tukio lifanyike Dodoma si alikuwa anajua direct kuwa kuna kituo cha kwanza then chapili na cha tatu?

..kwa idadi ya marisasi waliyomtwanga walijua Lissu hatatoka salama.

..wao walipanga biashara imalizike palepale area D eneo walipomshambulia na walijua wamefanikiwa.

..nyumbu peke yao ndio walikuwa wakiomba na kuamini Lissu ata-survive. Si unajua akili za nyumbu zilivyo?
 
Awamu ya tano ilisheheni viongozi wenye iq ndogo sana kinara akiwa ni mwendakuzimu
 
Ngonjera hii ilishakinai!!!
 
Lisu anahangaika sana ..na ataendelea hangaika maisha yake yote

Tatizo ni ushujaa.anataka kuwa shujaa na bingwa kwenye kila kitu...sasa dunia hii haijawai kuwa na mtu kama huyo aka survive..kuna eneo laazima uufyate mkia ..
Sasa ye anapambanaaa tuu..maisha yake aliyochagua ni hayo...haya buana lisu
 
na ndio akili za lissu anapenda league kila sehemu,hapo anategemea kujibiwa .
ila haitawezekana.

mara kadhaa sirro amekiri wazi kumtafuta dereva kwa ajiri ya upelelezi lakini hatoi ushirikiano,ni ajabu kama angekuwa hakuwahi kiwasiliana na mhusika.
Umesoma vizuri maelezo ya Lissu? Pale kwa kamanda Mroto Dodoma, eneo ambalo pia ndio alikopigwa risasi sio police pale??? Ilishindikana nini kumuhoji mtu ambaye kajileta mwenyewe? Nadhani kuna mengine hata kama tunataka kutetea basi tukae kimya tu, ni aibu sana kwa mtu mzima kudanganya; jamani, kuna Mungu pia, tukumbuke hilo. Yuko wapi aliyeagiza jamaa asipewe pesa za matibabu? Yuko wapi mtu aliye agiza jamaa anyang'anywe ubunge? Yuko wapi.....!? Tumuogope Mungu, maisha tumepewa kama rehani tu, mwenyewe anaweza kuyataka muda wowote, tuache KIBURI.
 
Kama mnazipenda hizo ngonjera zake, mwambieni alejeee nchinii.
Jamani, hebu tuweni wakweli; kwani nani kaanzisha hizo story za Lissu? Angekaa kimya tungeamini kwamba yeye ndio hataki kuhojiwa police, kajibu baada ya kuchokozwa then tunamlaumu, mbona tuko wanafiki hivi? Khaa.

Tuwaambie hao watu, waachane na habari za Lissu then Lissu mwenyewe hatakua na cha kusema, ukimchokoza, yule jamaa kashindikana mahakani, kwenye vyombo vya habari utamuwezea wapi?
 
Sijawahi kuona aigipii mnafiki namna hii
Huyu angevua tu hayo magwanda yake aingie siasani
Hujawahi kuona IGP at all. Mie ningekuwa wewe ningejiukiza maswali kadhaa. Mosi, tundu alienda lunch, kawaida, kama siku zote. Iweje wauaji siku hiyo wajue kuwa CCTV inezimwa au walinzi hawapo?

Pili, kwa nini wabunge wengine (zaidi ya 200) hawakuenda lunch siku hiyo? I mean, si wa CCM peke yao, hata wa CHADEMA, mbona hawakuenda? Ile siku Mbowe alipovamiwa jwenye staircase kina Mchungaji Peter Msigwa walikuwspo, na Sugu, na Msukuma, na Lijulikali, na Devota. Mbona kwa tundu hawakuwapo, walijuaje?

La 3, tundu alikuwa kwenye gari ya kawaida LHD, yaani dereva hukaa kulia na abiria hukaa kushoto. Kikawaida, wauaji wangemfuata mtu wai uoabde wa kushoto, yaani apigwe risasai mkono wa kushoto mguu wa kushoti mbavu za kushoto. Iweje tundu aumie kulia? Na kama ni kulia, basi na dereva anaemia kidogo, au angetapakaa damu za tundu. Lakini hakuumia kabisa. Hilo linaingia akilini kwako, hata kama si IGP? Sasa hivi yuko wapi? Mie ningedhani CHADEMA wangemtetea Raisnteule wao tundu kwa kutoa ushirikiano na kumkamata aende polisi.

Nne, njemba anataka waende kumhoji Nairobi, why? Si ni Mtanzania utarudi si utajitolea statement? Dereva ni Mtanzania, hakuumia, aliwaona wauaji kwa macho. Hata tundu anadai anawajua wauwaji tangu St Peter's, na siku hiyo aliwaona wakimfuata tangu bungeni. Hii kesi ni rahisi mno, upelelezi na mfupi sana, kwa vile kuna watu wawili wenye akili timamu waliona mauaji, huitwa eyewitnesses. Huna sababu ya kwenda Nairobi kumfuata tundu, atahojiwa hapa hapa.

Kama hakuna ushirikiano, why waste police time?
 

uache kupambana na uhuni kisa unaogopa kifo!!kuna ambaye hatakufa!!!mbona unafikiri kivivu vivu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…