Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi


..wako raia ambao walitishiwa, hawakushambuliwa kama Lissu, lakini serikali iliwapa ulinzi.

..tutangulize ubinadamu. Tusichukue maamuzi kwa nia ya kumkomoa mtu.
 
Hujitambui
 
Mwanasiasa machachari wa Tanzania anayeishi mamtoni baaada ya kufanyiwa unyama amekanusha taarifa na kauli ya Igp Sirro kuwa alipigiwa simu na jeshi la polisi ili ahojiwe juu ya madhila yaliyompata....
Kwa haya majibu hii inaitwa Niguse ninukeπŸ˜…πŸ˜…
 
Hujawahi kuona IGP at all. Mie ningekuwa wewe ningejiukiza maswali kadhaa. Mosi, tundu alienda lunch, kawaida, kama siku zote. Iweje wauaji siku hiyo wajue kuwa CCTV inezimwa au walinzi hawapo?..
Mkuu
Ni nani aliekudanganya kua siku hio cctv camera zilikua zimezima?

 
Hebu tutajie waliopitia magumu kama yeye bado wapo nchini walau mmoja tu
 
Hebu tutajie waliopitia magumu kama yeye bado wapo nchini walau mmoja tu
Wapo waliouwawa kwa risasi na wapo walichomwa moto na kuzikwa kabisa
Huwa hupitii habari? Au hao wao sio watanzania?
 
IGP alivuka hadhi ya nafasi yake. Angeishia kusema alimpigia Lissu simu hakwenda wenye akili wangemwelewa lakini alipoongeza kwamba Lissu anafurahia/anatumia hali aliyonayo kujipatia fedha, hata wasio na akili wakaona IGP ni ndugu yao.
Nilisikiliza majibu yake nikapa shaka. Alimnanga badala kuzungumza kitaaluma.
 
Fara ndiyo jina lako wewe mbwa koko usije kulishangaa tena
 
Wapo waliouwawa kwa risasi na wapo walichomwa moto na kuzikwa kabisa
Huwa hupitii habari? Au hao wao sio watanzania?
Hata Siro nilimshangaa kama ninavyokushangaa wewe!

Alisema Lissu ni mwanasiasa maarufu, lakini kwa upande mwingine akimlinganisha na wananchi wengine wa kawaida pale alipoulizwa kuhusu umuhimu wa ulinzi wake.
 
Lisu ni debe tupu!

Alisema haogopi chochote na yupo tayari kurusha chopa yake toka KIA to Dar bila kibali!
.
Huyu ikawaje akaogopa kitisho cha kwenye simu?
Debe tupu lililochukua shaba 16, na kubaki limesimama!
 
Viongozi WETU , lazima kujua tz ya Sasa sio ile ya mwalim , wengine tumezeeka ,tuna wajukuu, ipo siku wajukuu watatuuliza maswali tutashindwa wajibu , let be smart ,KAZI zapita tu ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…