Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

Kwani unawajua hao mnaowaita walimumiminia
Kwani wewe huwajui? Au siyo mtanzania. Kungekuwa na utawala wa sheria mbona asubuhi tu wangekamatwa. Wewe unafikiri ni nani anayeweza kuingia kwenye makazi ya wabunge na viongozi wa serikali, angóe CCTV mchana kweupe na kisha aanze kummiminia binadamu mwenzake risasi kama mnyama? Kwa hiyo mpaka hapo utasema hujui ni nani?
 
Tutajie mmoja tu aliyepitia magumu ya kupigwa risasi zote zile kwenye makazi ya serikali na wabunge kukiwa na ulinzi wa jeshi la polisi na CCTV kungólewa kama ilivyotokea kwa Lissu na bado yupo salama nchini. Mtaje tafadhali, tunatamani kumjua.
 
Mbona huwataji sasaa??? Kama unawafaham na uliwaona?? Achakuzunguka zunguka watajeee.
 
Nadhani kwenye issues za jinai hujui sheria inavotaka, ndio maana humsikii kamanda Sirro akimlaumu Lissu kutokwenda kufungua jarada, anasema alimuita na hakutokea; wewe endelea ushabiki na chuki, wengine tumejikita kwenye UKWELI.
 
Kitendo cha CDM kumficha dereva sina imani na CDM.nahisi ni wenyewe walitumana kufanya la kufanya.
 
Nadhani kwenye issues za jinai hujui sheria inavotaka, ndio maana humsikii kamanda Sirro akimlaumu Lissu kutokwenda kufungua jarada, anasema alimuita na hakutokea; wewe endelea ushabiki na chuki, wengine tumejikita kwenye UKWELI.
yaani wewe ndiyo sifuri kabisa unaushabiki wa kisenge tu yaani mtu hajaenda kushitaki nani anakazi ya kumfuata mtu akamhoji badara ya mwenye shida ndiyo aende akatoe maelezo kwanza dreva wake kamficha wa nini yule ndyo anajuwa kila kitu washamba nyie
 
Hizo sifa za unazozisema mwambie mama yako, kama huwezi kuchangia kistaarabu, nenda kaongee na wenzio wenye sifa mnazo fanana. Kwani wale waliofungwaga kwa makosa ya mtandao ni nani alishtaki? Jinai inabaki hata kama aliyefanyiwa jinai hajashtaki, rudi shule kasome upya, acha kutukana watu. Sijui kwanini watu wenye simple minds hua mnajificha kwenye matusi, anyway, ni sifa zenu so mnadhani wote ni was**nge kama nyie
 
mamaangu anafuata nini hapa nenda kamsaidie lissu kuliwa naona unawashwa nenda na wewe kaliwe huna hoja ya kuongea mbele za wanaume wewe demu tu
 
Ndio ujue Tundu Lissu ni mtu mbinafsi mroho wa madaraka na mlaku. Kutokana na sifa hizo ndio unakuta amekua kibaraka amekumbatiwa na mabwana hadi anatetea ushoga.

Wakati magufuli alikua tayari kuyatoa maisha yake akiongoza nchi ili watu wake wapate maendeleo ya kiuchumi bila kuwaogopa maadui wenye nguvu kama makampuni ya nchi za kibeberu Tundu lissu amekua akikimbia nchi eti kuhofia maisha yake huku akionyesha uoga kama ule wa kunguru.

Nikuulize wewe unayemhusudu tundu lissu. Hivi mtu muoga kama tundu lissu anaweza kuongoza mapambano yoyote ya kisiasa na kiuchumi kutetea umma? Tangu akoswekoswe kuuliwa na watu wasiojulikana sera yake imekua kulalamika kuhusu usalama wake binafsi wala sio shida za wananchi.
Tundu lissu is a running dog and puppet of imperialists. He is just a lame duck.
 
Kwa AIGIPII Siro siyo ajabu kuna siku atasema ''Lisu hakupigwa risasi''
Mama Samia mtumbue huyu jamaa atakuharibia.
 
Jeshi la Polisi lijikite kwenye misingi ya utendaji wake na wasijiingize kwenye siasa
 
Haya mambo magumu saaana.

SIrro aache Ligi na Lissu,, kama wanataka kuhamisha upepo ili watu wasidai katiba mpya hii inakuwa imekula kwao.
 
Mbona huwataji sasaa??? Kama unawafaham na uliwaona?? Achakuzunguka zunguka watajeee.
Kwa hiyo nikikwambiwe "wewe mwenye kofia nyeusi njoo hapa" unakuwa hujitambui kuwa ni wewe hadi nikutaje jina wakati mwenye kofia nyeusi upo peke yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…