Tundu Lissu: IGP Sirro ni Jeshi la Polisi, hawajawahi kunipigia simu wala kunihoji, Waliagizwa wanipoteze baada ya Uchaguzi

 

Attachments

  • twitter_20220120_101600.mp4
    77.2 KB
Nimesoma comments zote nilichokiona ni:-

1. Sirro tumuweke mbele za mungu afe ili Tundu lissu arudi nyumbani. Uwepo was Sirro ni kikwazo Kwa watanzania, amwagiwe maji ya upako afe

Naimani atakufa mwaka huu hamalizi 2022

2. Walitumwa kumuua lissu wanajulikana kisasi kinaweza lipwa individually

3. Kule police wajulikane waliokuwa wamejivika kumpigania dictator uchwala magu

Haya mambo ni makubwa lakini tutashinda
 
Amen [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Risasi zilipigwa upande wa kushoto zikaumiza upande wa kulia,hii ni zaidi ya sanaaa

..wewe utakuwa mjinga sana.

..jambo rahisi namna hiyo you can not figure out?

..halafu inawezekana wewe ni polisi uko idara ya uchunguzi lakini uelewa wako ni mdogo namna hii.
 
HUYU SIRRO MZEE MUOVU SANA. JPM MUNGU ASINGEMUONDOA MAPEMA, TANZANIA INGEKUWA KAMA UGANDA WAKATI WA IDDI AMINI KUNUKA DAMU ZA WANADAMU. LAKINI MUNGU NI FUNDI PEKEE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…