Mbangaizaji wa Taifa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 493
- 844
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ipi? Mumemtukana sana na kumdhalilisha sana mzee wenu Mbowe. Kisa madaraka tena ya chama sio nchi. Kama hakufanya kitu mbona sasa mnatumia jengo alionunua yeye?Tulia mnywe dawa hata kama hamtaki tutwanywesha kwa kuwafunga kamba za miguu.
Hata Mimi nashangaa kwanini asije kukabidhi Ofisi?Mbona hatumuoni Mbowe akimukabidhi
Lissu ametukanwa na Mangapi kutoka kwa kundi FAM , ?Dawa ipi? Mumemtukana sana na kumdhalilisha sana mzee wenu Mbowe. Kisa madaraka tena ya chama sio nchi. Kama hakufanya kitu mbona sasa mnatumia jengo alionunua yeye?
Shida sasa hivi ccmSema wanakuja kulalamika sio kuongea,maana walichotaka wamepata ila bado watalalamika.Shida ilikuwa Mbowe sasa hivi sijui shida itakuwa ni nani.
Hamia ACT wazalendo Mangi 😀ataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Maandamano Yako kule wanakomtupia mawe shetani 😂Maandamano lini
CCM wanajamba balaaNipo hapa Mikocheni opposite na CHADEMA HQ na ninashuhudia idadi kubwa ya Watu wakiwemo waandishi wa Habari ninaowafahamu wakiingia ofisi za Chadema
Wote wanasema wamekuja kupata Neno la Kwanza la Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Tundu Lissu na makamu wake Mh John Heche wakiwa rasmi ofisini
Ngoja tumsikie......
Natofautina na wewe,, miezi mitatu chama kitamshinda migogoro ya ndani itazalishwaKama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015, huu ni mwaka wa Tundu Lissu.
Kila anachogusa ni dhahabu!
Kumbe hunaga Akili UstaadhDawa ipi? Mumemtukana sana na kumdhalilisha sana mzee wenu Mbowe. Kisa madaraka tena ya chama sio nchi. Kama hakufanya kitu mbona sasa mnatumia jengo alionunua yeye?
Hayo sasa ndio tunayoyataka kutoka kwake, sio mambo ya mapendano sijui love bite!!.Lazima ataongea ya kuudhi tuu
Kanunua nani? Lissu?Kumbe hunaga Akili Ustaadh
Jengo kanunua Mbowe? 😀😀😀
Wachagga wote wameomba Kustaafu akina Mrema, Munisi nk Sasa migogoro ataleta nani?Natofautina na wewe,, miezi mitatu chama kitamshinda migogoro ya ndani itazalishwa
Kama unakumbuka alithibitisha kwamba hakuwa anagombea nafasi ya mwenyekiti awali , kwa sababu alichukua kabisa fomu ya kugombea umakamu mwenyekiti. Kwa hiyo alikuwa sahihi kusema hivyo.ataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Usinegueke kwa I'd nyengine ukanipiga banMaandamano Yako kule wanakomtupia mawe shetani 😂
Ruzuku na michango ya akina Upendo PenezaKanunua nani? Lissu?