fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Hakika umenena Nifah.Kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015, huu ni mwaka wa Tundu Lissu.
Kila anachogusa ni dhahabu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika umenena Nifah.Kama ilivyokuwa kwa Lowassa 2015, huu ni mwaka wa Tundu Lissu.
Kila anachogusa ni dhahabu!
Lissu huu ndio muda wa busara zake za kiuongozi kuonekana (kama anazo).Natofautina na wewe,, miezi mitatu chama kitamshinda migogoro ya ndani itazalishwa
Nipo hapa Mikocheni opposite na CHADEMA HQ na ninashuhudia idadi kubwa ya Watu wakiwemo waandishi wa Habari ninaowafahamu wakiingia ofisi za Chadema
Wote wanasema wamekuja kupata Neno la Kwanza la Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Tundu Lissu na makamu wake Mh John Heche wakiwa rasmi ofisini
Ngoja tumsikie.
Fuatilia live hapa
View: https://www.youtube.com/watch?v=J254F4V0YWE
Kwa hivyo mazuri yote aliofanya mbowe yamefanywa na chama. Mapungufu ya chama ni ya Mbowe. Lissu haraka haraka tunataka amsha amsha. Maaandamano mpaka tupate tume huru ya uchaguzi. Usiwe kama mboweRuzuku na michango ya akina Upendo Peneza
Kununua Jengo la Chama siyo kama kununua Jengo la msikiti kama alivyonunua mchungaji Mtikila 🐼
muda wowote mama chura akizingua tu tunaliamshaMaandamano lini
Mbowe ni Mfanyabiashara hakunaga jambo kalifanya Chadema Kwa hasara 😂😂Kwa hivyo mazuri yote aliofanya mbowe yamefanywa na chama. Mapungufu ya chama ni ya Mbowe. Lissu haraka haraka tunataka amsha amsha. Maaandamano mpaka tupate tume huru ya uchaguzi. Usiwe kama mbowe
hapo ndipo atakapo feli hakuna mtanzania mjinga wa kumuingiza kwenye maandamano atakuwa anaandamana pekeyake kama mboweKwa hivyo mazuri yote aliofanya mbowe yamefanywa na chama. Mapungufu ya chama ni ya Mbowe. Lissu haraka haraka tunataka amsha amsha. Maaandamano mpaka tupate tume huru ya uchaguzi. Usiwe kama mbowe
Woga kama kunguru. Mumeweza kumtukana na kumdhalilisha mbowe hamuwezi tena kwa wenginemuda wowote mama chura akizingua tu tunaliamsha
I can smell a lot of hate from this post, shida ni nini?ataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
kama mbowe tumemweza basi saa100 ni kama nyoya tuWoga kama kunguru. Mumeweza kumtukana na kumdhalilisha mbowe hamuwezi tena kwa wengine
Punguza chuki wewe hater. Utakufa kwa chukiataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Enyi team Mbowe ni lini mtaamini Lisu ni Mwenyekiti mpya?ataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Una usungo wewe.eti jengo alilonunua yeye..una malaria kweli kumbeDawa ipi? Mumemtukana sana na kumdhalilisha sana mzee wenu Mbowe. Kisa madaraka tena ya chama sio nchi. Kama hakufanya kitu mbona sasa mnatumia jengo alionunua yeye?
Kanunua Lissu?Una usungo wewe.eti jengo alilonunua yeye..una malaria kweli kumbe
Baada ya kufanya maandamano makubwa ya kuzuia uchaguzi 2025 kama alivyosemaEnyi team Mbowe ni lini mtaamini Lisu ni Mwenyekiti mpya?
Hapo wewe ndo unaroppka sasa kama mwehuataropoka tu kama kawaida yake. Mpuuzi mkubwa
sikiliza clip hiyo.....halafu umwamini mtu kama huyo...if you are a sensible man, you can no longer trust that person! kama Idd Amin!
Kanunua Shehe Ponda 😂😂Kanunua Lissu?
Andamana mwenyewe chumbani kwako leo usikuMaandamano lini
PumbaBaada ya kufanya maandamano makubwa ya kuzuia uchaguzi 2025 kama alivyosema