- Thread starter
- #101
Kwahiyo hata kupigwa risasi alisingizia.Anatafuta namna ya kukimbia tena halafu asingizie eti anawindwa🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hata kupigwa risasi alisingizia.Anatafuta namna ya kukimbia tena halafu asingizie eti anawindwa🤣
Kwani wewe unaonaje?Kwahiyo hata kupigwa risasi alisingizia.
Tunajua Kinana na Wasira ndivyo wanavyowafundisha kutukana, lkn mkijibiwa utawasikia wanavyolalamia mara tumieni maneno ya staha mara umemtukana rais.Chizi Lissu katika ubora wake
Chizi Lissu katika ubora wakeMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Tutaendaje mbele kama marais wenyewe ndiyo wako mstari wa mbele kuhujumu taifa lao?Ndiyo maana hatuendi mbele tunarudi nyuma
Mungu fundi hachelewi wala hawahi. Lissu hana jeshi hana polisi hana magereza lkn ana Mungu wake, Magu alijaribu Mungu akajibu mapigo.Mh rais Samia na wewe sasa jitetee dhidi ya huyu jamaa asiye kuwa na shukran na adabu. Una jeshi, polisi, magereza na usalama wa taifa.
Tuma vijana wamtoe meno matatu kwa nyundo, atanyamaza siku kazaa. Akipona ataendela, anatolewa teno magego mawili.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Aibu kubwa snTutaendaje mbele kama marais wenyewe ndiyo wako mstari wa mbele kuhujumu taifa lao?
Tundu Lissu: Tumekuwa na Marais Wezi
Katiba mpya ni lazima Kweli KATIBA mpya ni lazima, Bt Kwa maoni yangu Binafsi, Rais apunguziwe mamlaka ktk mengi mfano, aondolewe Kinga ya kutoshtakiwa, Bt ARDHI iachwe Kwa Rais Ili iwe salama!!!www.jamiiforums.com
Wapelekee Mombasa mzigo wao huwezi kuwa mgawa jicho halafu umwelewe LissuMwezi mchanga huu. Muacheni tu aendelee kuongea
Mpuuzi ni Wewe Mfuasi wa Shetani MwendakuzimuUpuuzi mtupu[emoji1787][emoji23]
Yaan daah!Du! Hapa dawa ya madalali ni kurudisha tu hela za mwarabu hakuna namna
Upuuzi mtupu.Mpuuzi ni Wewe Mfuasi wa Shetani Mwendakuzimu
[emoji23][emoji23][emoji23]Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Huyu ni moja kati ya waliolambishwa asaliUna mtindio wa ubongo ww. Nyie ndio wale wa ndio ndio