Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
Ni Kinyume cha kutokuwa na akili, yaani Kinyume cha namna alivyokuwa MagufuliAkili ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kinyume cha kutokuwa na akili, yaani Kinyume cha namna alivyokuwa MagufuliAkili ni nini?
Kumbe zilifutwa!..........."Kuna mambo mengine nayaona Tanzania pekee"(Kinana-mzee wa ndovu)Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
CCM nzima wako mitaani kumjibu Lissu.Tundu Lissu kwa sasa ni mwanasiasa mwenye upepo zaidi nchini, aichange karata yake vizuri.
Oooh Lissu ameenda OPP! Mzee Kinana nimemfuatilia na Lissu nimemfuatilia sana. The issue is diction! Lissu hachugui maneno lugha yake kinachotoka mdomoni hata kama ni tusi kubwa twende! Hiki ndicho alichokisema Mzee Kinana. Lugha gani ya kutumia uhuru wa maoni? Lissu na Chadema hawakuambiwa wasiongee. 🙏🙏🙏Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Kama mama yako ni mwizi utanyamaza? au utaacha afunzwe na ulimwengu.Oooh Lissu ameenda OPP! Mzee Kinana nimemfuatilia na Lissu nimemfuatilia sana. The issue is diction! Lissu hachugui maneno lugha yake kinachotoka mdomoni hata kama ni tusi kubwa twende! Hiki ndicho alichokisema Mzee Kinana. Lugha gani ya kutumia uhuru wa maoni? Lissu na Chadema hawakuambiwa wasiongee. 🙏🙏🙏
Ndiyo maana hatuendi mbele tunarudi nyumaNchi hii wanaopewa vyeo ni wale wa ndio mzee. Lisu hawezi kupewa maana hafuati maagizo toka juu, bali huangalia sheria inataka nini.
Aanze na weweMungu amalize ugomvi wetu naye mapema.
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.Ndio lugha ambayo mnaweza kuelewa! Mko kama kenge ambaye hasikii kipigo hadi atoe damu masikioni.
Mbona alirudi na kufanya kampeni bila bugdha na akakakimbia baada ya hapo?Alienda Ubelgiji Kutibiwa baaya ya Jaribio la Kishamba na la Kioga lililo ratibiwa na Mwendakuzimu Jiwe la kutaka Kumuua Ku fail.
Mungu akamkingia Lissu Mkono dhidi ya Kifo, covid-19 ikaja Tanzania na Kutambaa na Yule Ibilisi Jiwe Mwendakuzimu
Anatafuta namna ya kukimbia tena halafu asingizie eti anawindwa🤣Amerudi sasa kuendelea kugawa dozi za moto.
Hapepesi maneno Huyu mwamba
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.Na wewe huna marinda
Kumuita kiongozi wa wengine Chiba sio lugha chafu?Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.![]()
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu....Mwehu wewe!
Unachukua mstari mmoja unautengenezea story, ndio unadhibitisha uhalisia wa wehu! Pole sana Mr mwehu!Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.![]()
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu....Pole sana Mr mwehu!
Siku hizi umekuwa mjinga mpaka nakuhurumia, na nilijua tu toka siku ile ulipojitangaza kumuunga mkono Samia, ukihamia huko lazima akili zako umkabidhi mwenyekiti, jione sasa ulivyo!
Debe tupu.
Ulikuwa ni Mpango wa Mungu wa Kumuweka hadharani Ibilisi Shetani Jiwe MwendakuzimuMbona alirudi na kufanya kampeni bila bugdha na akakakimbia baada ya hapo?
Upuuzi mtupu🤣😂Ulikuwa ni Mpango wa Mungu wa Kumuweka hadharani Ibilisi Shetani Jiwe Mwendakuzimu
Chizi Lissu katika ubora wakeMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.