Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Kumbe zilifutwa!..........."Kuna mambo mengine nayaona Tanzania pekee"(Kinana-mzee wa ndovu)
 
Tundu Lissu kwa sasa ni mwanasiasa mwenye upepo zaidi nchini, aichange karata yake vizuri.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Oooh Lissu ameenda OPP! Mzee Kinana nimemfuatilia na Lissu nimemfuatilia sana. The issue is diction! Lissu hachugui maneno lugha yake kinachotoka mdomoni hata kama ni tusi kubwa twende! Hiki ndicho alichokisema Mzee Kinana. Lugha gani ya kutumia uhuru wa maoni? Lissu na Chadema hawakuambiwa wasiongee. 🙏🙏🙏
 
Oooh Lissu ameenda OPP! Mzee Kinana nimemfuatilia na Lissu nimemfuatilia sana. The issue is diction! Lissu hachugui maneno lugha yake kinachotoka mdomoni hata kama ni tusi kubwa twende! Hiki ndicho alichokisema Mzee Kinana. Lugha gani ya kutumia uhuru wa maoni? Lissu na Chadema hawakuambiwa wasiongee. 🙏🙏🙏
Kama mama yako ni mwizi utanyamaza? au utaacha afunzwe na ulimwengu.
 
Ndio lugha ambayo mnaweza kuelewa! Mko kama kenge ambaye hasikii kipigo hadi atoe damu masikioni.
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.
emoji1787.png
 
Alienda Ubelgiji Kutibiwa baaya ya Jaribio la Kishamba na la Kioga lililo ratibiwa na Mwendakuzimu Jiwe la kutaka Kumuua Ku fail.
Mungu akamkingia Lissu Mkono dhidi ya Kifo, covid-19 ikaja Tanzania na Kutambaa na Yule Ibilisi Jiwe Mwendakuzimu
Mbona alirudi na kufanya kampeni bila bugdha na akakakimbia baada ya hapo?
 
Siku hizi umekuwa mjinga mpaka nakuhurumia, na nilijua tu toka siku ile ulipojitangaza kumuunga mkono Samia, ukihamia huko lazima akili zako umkabidhi mwenyekiti, jione sasa ulivyo!

Debe tupu.

Ngumi 70 sehemu ileile
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Chizi Lissu katika ubora wake
 
Back
Top Bottom