Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Kwa ‘Tundu Lissu’ yeye kupewa kile anachoamini ni haki yake hiyo sio fadhila.

Usitegemee ukimpa kile alichokua anadai huku akiamini ni haki yake (either unaafiki au la) baada ya hapo ataanza kulamba miguu; hilo kwake halipo.

As a far as he is concerned that was his right in the first place only deprived by authorities.

Akishapata chake ni mipasho kama kawaida; shida yake ni mwanasiasa muongo sana anapokuwa jukwaani.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Huyu jamaa MUNGU ampe maisha marefu haswa, kwanini Rais asimteue kuwa Jaji Mkuu?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Post Traumatic Stress Disorder/ Post Traumatic Stress Syndrome (PTSD/PTSS)
 
Lisu himself alone anaweza kuwa mpinzani nawatu wakanyea chupi. Hahitaji chama.
JamiiForums1327454580.jpg
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
A bold man earth
 
Kwa ‘Tundu Lissu’ yeye kupewa kile anachoamini ni haki yake hiyo sio fadhila.

Usitegemee ukimpa kile alichokua anadai huku akiamini ni haki yake (either unaafiki au la) baada ya hapo ataanza kulamba miguu; hilo kwake halipo.

As a far as he is concerned that was his right in the first place only deprived by authorities.

Akishapata chake ni mipasho kama kawaida; shida yake ni mwanasiasa muongo sana anapokuwa jukwaani.
Taja uongo wake tufananishe na wa Samia bendera ya Kenya kule Dubai ama wa Majaliwa kuhusu afya ya Magu.
 
Hana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?[emoji23]
Unaandika kama umekalia chuma cha moto!
Chama kizima mnachojinadi mko sijui milioni 5 lakini wote mnamshindwa na kuziogopa hoja zake.
Hivi unajua kuwa Lissu mfano amwambie Samia nataka kuja CCM sherehe hiyo itakuwa mapumziko ya kitaifa? Nakuambia ataulizwa tukupe kazi gani!
 
Back
Top Bottom