HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii koli ngoloHiyo ni NYUNDO YA MOTO
Huyu jamaa MUNGU ampe maisha marefu haswa, kwanini Rais asimteue kuwa Jaji Mkuu?Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Post Traumatic Stress Disorder/ Post Traumatic Stress Syndrome (PTSD/PTSS)Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Lissu ana akili Kuzidi CCM wote ndani na Nje ya nchiHivi wajuzi wa mambo nambieni ndani ya CCM kama kuna kiongozi mwenye IQ inayokaribiana na ya Lissu
Hana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?😂Hiyo ni NYUNDO YA MOTO
Lisu himself alone anaweza kuwa mpinzani nawatu wakanyea chupi. Hahitaji chama.
Lissu ana akili Kuzidi CCM wote ndani na Nje ya nchi
A bold man earthMakamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Taja uongo wake tufananishe na wa Samia bendera ya Kenya kule Dubai ama wa Majaliwa kuhusu afya ya Magu.Kwa ‘Tundu Lissu’ yeye kupewa kile anachoamini ni haki yake hiyo sio fadhila.
Usitegemee ukimpa kile alichokua anadai huku akiamini ni haki yake (either unaafiki au la) baada ya hapo ataanza kulamba miguu; hilo kwake halipo.
As a far as he is concerned that was his right in the first place only deprived by authorities.
Akishapata chake ni mipasho kama kawaida; shida yake ni mwanasiasa muongo sana anapokuwa jukwaani.
Unaandika kama umekalia chuma cha moto!Hana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?[emoji23]
Huyo jamaa amebeba siraha nzito mgongoni nilijua ni Sniper aliwekwana serikali kumlinda TL.
Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.🤣Unaandika kama umekalia chuma cha moto!...
Ndio lugha ambayo mnaweza kuelewa! Mko kama kenge ambaye hasikii kipigo hadi atoe damu masikioni.Mbowe ameshakufundisha lugha chafu. Nakuonea huruma tu.[emoji1787]
Ni kweliLissu ana akili Kuzidi CCM wote ndani na Nje ya nchi
Na wewe huna marindaHana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?[emoji23]