Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Tundu Lissu: Kama mlifikiri kutufutia kesi ni hongo tunyamaze siku mkituibia, hiyo haipo

Hili jamaa linaongea kama chizi tu sasa nani ameiba nini? Si waende mahakamani kama kuna mali imeibiwa?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.

Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.

"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."

“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.

Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Yuko sahihi ila kutukana na kupotosha haikubaliki, ashughulikiwe Kwa muktadha huo.
 
Du! Hapa dawa ya madalali ni kurudisha tu hela za mwarabu hakuna namna
Tatizo ni kwamba walishatumia pia waliahidiwa kuwa endorsed kwenye coming general election 2025. Yaani watu wanajijali wao na si majority nzima ya watanzania. Inauma sana
 
Mungu aendelee kumlinda Tundu Lisu na amuepishe na mabalaa ya kutengenezwa na serikali ya CCM.
 
Hana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?[emoji23]
Alienda Ubelgiji Kutibiwa baaya ya Jaribio la Kishamba na la Kioga lililo ratibiwa na Mwendakuzimu Jiwe la kutaka Kumuua Ku fail.
Mungu akamkingia Lissu Mkono dhidi ya Kifo, covid-19 ikaja Tanzania na Kutambaa na Yule Ibilisi Jiwe Mwendakuzimu
 
Kwa ‘Tundu Lissu’ yeye kupewa kile anachoamini ni haki yake hiyo sio fadhila.

Usitegemee ukimpa kile alichokua anadai huku akiamini ni haki yake (either unaafiki au la) baada ya hapo ataanza kulamba miguu; hilo kwake halipo.

As a far as he is concerned that was his right in the first place only deprived by authorities.

Akishapata chake ni mipasho kama kawaida; shida yake ni mwanasiasa muongo sana anapokuwa jukwaani.
Toa mifano ya mambo ya uongo aliyowahi kusema,usipotoshe watu.
 
Back
Top Bottom