shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,487
- 2,394
Hamna wamejaa tope kwenye vichwa vyao, wazandiki na wachawiHivi wajuzi wa mambo nambieni ndani ya CCM kama kuna kiongozi mwenye IQ inayokaribiana na ya Lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna wamejaa tope kwenye vichwa vyao, wazandiki na wachawiHivi wajuzi wa mambo nambieni ndani ya CCM kama kuna kiongozi mwenye IQ inayokaribiana na ya Lissu
Ulitaka asemeje ili asiwe Mwezi mchanga?Mwezi mchanga huu. Muacheni tu aendelee kuongea
Hela zipi? Shilingi ngapi? Kumbe hii nchi wajinga wengi sanaDu! Hapa dawa ya madalali ni kurudisha tu hela za mwarabu hakuna namna
Matope matupuMama
Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.[emoji419][emoji375]Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Wameshagawana zoteDu! Hapa dawa ya madalali ni kurudisha tu hela za mwarabu hakuna namna
Punguza upuuzi JoYakimzidia anakimbilia Ubalozini [emoji1][emoji91]
Mtanikumbuka [emoji1][emoji1][emoji91][emoji3][emoji3][emoji91]
Zombi la DP world
Yuko sahihi ila kutukana na kupotosha haikubaliki, ashughulikiwe Kwa muktadha huo.Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu akiwa Mkoani Kagera, kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo, amemjibu Kinana aliyewatuhumu Viongozi waandamizi wa CHADEMA kukosa shukrani kwa Rais Samia Suluhu Hasani aliyewafutia kesi.
Lissu amesema, hawawezi kushukuru kwa kufutiwa kesi za uwongo ambazo Rais mwenyewe amewahi kukiri hadharani kuwa zilikuwa za uwongo.
"Nakufungulia kesi ya uwongo, nakutesa, nakuweka gerezani, Mwenyekiti amekaa gerezani miezi minane, ameachiwa bure mlitaka apige magoti kushukuru?.."
“Sisi ukitufunga bure TUTAKUSEMA, ukituachia baada ya kutufunga bure TUTAKUSEMA, ukiiba TUTAKUSEMA, ukigawa nchi yetu kwa wageni TUTAKUSEMA, na tutakusema mchana kweupe, sisi hatuhongeki, kama mlifikiri mnatuachia kama hongo, hiyo haipo..." Tundu Lissu.
Huyo ndiye Lissu ‘White is White, Black is Black’.
Tatizo ni kwamba walishatumia pia waliahidiwa kuwa endorsed kwenye coming general election 2025. Yaani watu wanajijali wao na si majority nzima ya watanzania. Inauma sanaDu! Hapa dawa ya madalali ni kurudisha tu hela za mwarabu hakuna namna
Aende kufanya nini, kwani maneno yasiyo ya staha ni kosa la jinai kwa kifungu kipi cha sheria.
Watazitapika tu
Za Mlungula,ni kweli nchi ina wajinga wengi sana chini ya utawala wa CCMHela zipi? Shilingi ngapi? Kumbe hii nchi wajinga wengi sana
Master wa utetezi upande wa mauzo ya bandari.
Kwani kina Mwambukusi mnaotaka kuwafutia uwakili wako wapi.Hili jamaa linaongea kama chizi tu sasa nani ameiba nini? Si waende mahakamani kama kuna mali imeibiwa?
Alienda Ubelgiji Kutibiwa baaya ya Jaribio la Kishamba na la Kioga lililo ratibiwa na Mwendakuzimu Jiwe la kutaka Kumuua Ku fail.Hana lolote huyo chiba; mbona alikimbilia ubelgiji?[emoji23]
Toa mifano ya mambo ya uongo aliyowahi kusema,usipotoshe watu.Kwa ‘Tundu Lissu’ yeye kupewa kile anachoamini ni haki yake hiyo sio fadhila.
Usitegemee ukimpa kile alichokua anadai huku akiamini ni haki yake (either unaafiki au la) baada ya hapo ataanza kulamba miguu; hilo kwake halipo.
As a far as he is concerned that was his right in the first place only deprived by authorities.
Akishapata chake ni mipasho kama kawaida; shida yake ni mwanasiasa muongo sana anapokuwa jukwaani.