Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wao walienda na mishahara wakapata.
Wanataka dada wa watu asiende kuwawakilisha wananchi wake.
Dunia ina mambo hii[emoji1787]

Ila huyo dada anajua kujiongeza,kwa namna yoyote aende bungeni akale mahela yake hayo.

Ni wabinafsi mno, hawa hata wakija kushika dola watakuwa Kama CCM tu!

Wajanja sana,
Mbowe tar 26 allikuwa anapiga hesabu saa kuwa PM
Ingetokea yeye na Lisu wameshinda na Aida na wengine wote wameshindwa..angeuachia kweli huo uwaziri mkuu aliokuwa anaweweseka nao ?[emoji1787]
 
Walichojadili bungeni ndio kiliwafanya watu wachague ccm, wakati wale wazee wa akili kubwa wakitoka bungeni na kususia vikao ndipo wenzao wakapitisha budget.

1/3 ndio walipiga kura, jiulize kwanini 2/3 hawakujitokeza kupiga. Na hiyo 1/3 imefika kutokana na kura za wizi na idadi ya kupika. Fuatilia vizuri kura za ubunge hazitally na za uraisi, wakati watu wanapiga kura tatu. Ule haukuwa uchaguzi, bali uhayawani kama uhayawani mwingine wowote. Hiyo ndio sababu hata ccm wanaona aibu kushangilia ushindi wa vyombo vya dola na tume ya ubaguzi.
 
Kura kuiba maana yake unajiongezea kura ... sio kupunguza sasa assume hajaibiwa ... inamana Tundu lissu angekua rais kwa kura mil 1
 
Yaani mtu apate kazi tena mshahara mnono asusie? Hampo serious nyie watu

Wewe unaefikiria kwa kutumia tumbo ndo hauko serious. Kama sio chadema kumpa dhamana hio kazi unayodai angeitoa wapi?
 
Sasa si atahatarisha uhai wake? Au wajerumani watamsindikiza?
Tundu buana😀😀
Aaah aliyemuokoa na risasi atamuokoa,pia kifo ni sehemu ya maisha kuuwa mwenzako sababu ya tumbo sio Kinga ya nae kutokufa.
Usimkomboe masikini unahatarisha maisha yako,awaache masikini wapambane na Hali zao.
 
Naona kama unawazidi sana Chinua Achebe na William Shakespare kwa kuweka uwazi ndani ya jamii kwa kutumia lugha rahisi sana.
 
Unajiskiaje unamfanyia Mchongo demu apate kazi ofisin kwenu halafu wahuni wanampa Kazi hiyo halafu wanakufanyia figisu wanakutema wewe,

unamshauri Demu wako aache hiyo kazi anakataa

Ndio kinachowauma 'Kamati kuu' ya jamaa flan
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Upuuzi mtupu, wanajiona wao ndo kila kitu
 
Ila Magufuli kiboko..yani Lisu ndio kawa mpole hivyo?
Ushabiki unatia watu upofu japo akili wanazo ila hawataki kutumia. unajiuliza kwa nini Magufuli anazungukwa na jeshi na silaha nzito za moto?hofu ya kudhuliwa aliyonayo Magufuli ndio aliyonayo Lissu
 
Ila Magufuli kiboko..yani Lisu ndio kawa mpole hivyo?
Yani kiboko kabisa,sio Lissu tu,Mbowe,Zitto wote milenda tu saa hii,JPM kagonga palepale wasipotegemea warudi mtaani huku kwanza tucheze wote sebene lake.
 
Maisha mafupi jamani, wamuache dada wa watu na yeye nae ale mema ya nchi.
Sasa mema ya nchi ale pekeyake maana wananchi wake hawatapewa maendeleo hawamu hii.

Mkiniletea mtu wa chama kingine sileti maendeleo
 
Sasa hivi wanaolia-lia ni wapinzani.

Hilo siyo jambo jema katika taifa.

..siyo jambo ambalo chama tawala kinatakiwa kujivunia.

..kwani kuna shida gani kuunda tume ya uchaguzi itakayokidhi matakwa ya wadau wengi zaidi wa siasa?
Mbona unazidi kulialia huku

Pilipilpil ya shamba yakuwashia nini
 
Lakini mbunge hawezi kufanya kazi za kibunge kule bungeni bila kusaidiwa na chama, akienda peke yake atakuwa ana hudhuria tu kuokea posho siyo vinginevyo.
Chama ni muhimu sana.
 
Ajira zenyewe hakuna,mwacheni dada wa watu akijitafutie maisha huko,asipoenda mtakuwa mnamuonea tu
 
Wanasiasa wa binafsi Sana binafsi sionagi tofauti ya ccm na CDM maana wako ka mamba Ila kwenye mito tofauti ya maji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…