Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Kamati Kuu itakaa kutoa msimamo rasmi juu ya Mbunge wa Nkasi, Aida Khenan

Watashiriki na kipigo kipo pale pale, hata wakisusa kipigo kipo pale pale
We nguchiro kama unadhani kipigo kitaishia kwa upinzani tu basi unajidanganya. Nchi inapoingia kwenye mkwamo wa kisiasa wanaoumia sio viongozi bali wananchi wa kawaida
 
Jakaya alitaka aunde hiyo Tume kabla hajamaliza muda wake watu wakasusia Mchakato wa kuunda hiyo Tume wakamwambia asituzingue aende zake Rais ajae atamalizia, so tuvute subra Rais 'ajae' wa Katiba Mpya yupo njian kwenye foleni
Lijalo litatufurahisha
 
We nguchiro kama unadhani kipigo kitaishia kwa upinzani tu basi unajidanganya. Nchi inapoingia kwenye mkwamo wa kisiasa wanaoumia sio viongozi bali wananchi wa kawaida
Huo ndio ukweli, hata kama ni mchungu na mgumu kumeza. Angalia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 wapinzani walisusa, wakapigwa. Uchaguzi mkuu 2020, wameshiriki wakapigwa.

Na hakuna cha tofauti kilichofanyika an unataka tudanganyane kwa kauli za kutupa moyo eti uchaguzi ujao kuna jambo jipya Waikato refa ni yule yule na taratibu ni zile zile?
 
Dhambi kubwa mi chadeama unataka kumfanyia dada wa watu mlitaka ashinde mbowe

Kwani kuna uchaguzi upi kwenye chaguzi za nyuma wapinzani waliwahi kukiri ni uhuru na haki?
Lakini mbona waliingia bungeni chaguzi zote za nyuma ambazo pia hazikuwa huru na haki kama kawaida yao wanavyodai marazote.
Ilitakiwa lau Mbowe na lema ndo washinde huyu dada anadharau sana
 
Ok lakini haya pia mlilalamikia 2010,2015 mkasema mnaenda kushtaki The Hague inatofauti gani na huyu dada?
 
CHADEMA muacheni huyu Dada aliyechaguliwa na Wananchi wake akawatumikie. Kumuwekea vikwazo litakuwa jambo la ajabu na hovyo sana na itaonesha chuki ya wazi kabisa, na hiyo itakuwa hatua ya awali kabisa kuonesha kwamba CHADEMA hampo kwa ajili ya Wananchi bali kwa maslahi ya watu wachache ndani ya Chama.
 
Kwanini mpambane na huyo dada tuu mbona madiwani walio shinda mmewaacha au wao uchaguzi ulikuwa haki.
 
Yaani wakishindwa mnasema wameibiwa,walishinda

Wakishinda mnasema tena hawajashinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uyo dada hajamsinda kesy najua siasa za huko ni mchezo tu umetenegnezwa unajifanya kujitoa akili na kuposti upumbavu wako.
 
Huyu mdada hakuchaguliwa na wananchi ila ni kwamba ametangazwa za msimamizi kwamba ameshinda.
Kwenye uchauzi huu watangaza matokeo walikuwa na maelekezo maalumu
 
Nawashauri Hawa jamaa Kama wataamua kukubaliana na Maalim Seif aukwae umakamu wa Rais basi na wabunge na wadiwani wote wa upinzani waende kuwafanyia kazi wananchi..wasiwe bias...naona Maalim Seif kawatega ACT, eti wataamua wakati anajua rohoni mwake kabisa kuwa anautaka umakamu..hahahah
 
Hivi angekuwa amepita Mbowe, Lema,Sugu ama Msigwa nani angesusia ubunge...Chadema waache siasa za Kijinga.

Kwanza wanasisa wengi wapo kimaslahi tu, acha mama wa watu akawatumikie wananchi wake.
 
Mbunge pekee angekuwa Lema ama Mbowe mngemnyima nafasi hiyo ya kwenda kuwawakilisha wananchi waliomchagua?

Unaambiwa kwenye jimbo hilo kuna madiwani 10 wa chadema,kwa nn muwanyime watu haki yao ya kuwakilishwa?

Ukiacha uwakilishi kwa watu wake bado ubunge ni ajira,kwa nn anyimwe ajira aliyopewa na wapiga kura wake?

Naona ubinafsi mkubwa kwa viongozi wa chadema Taifa.
Vyama vya siasa navyo ni vidikteta fulani hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…