Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mngemfungulia kesi Mahakamani kuliko kumpiga risasi.Huyu lis hela za wazungu zitamuua tu, yeye alijifanya mwamba kula hela ya accacia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mngemfungulia kesi Mahakamani kuliko kumpiga risasi.Huyu lis hela za wazungu zitamuua tu, yeye alijifanya mwamba kula hela ya accacia.
sasa kama serikali ndo iliyoondoa CCTV kwenye eneo lile je kuna swali tena juu ya nani aliyemshambulia Lissu?Kitendo cha Serekali kuondoa Walinzi na CCTV camera ndani ya eneo lilipo tokea shambulio, kiukweli Serekali iliziguwa, au kugomba kuchunguza kupotea kwa Ben saanane.
I see mtakatifu Yohana on judgement, it's a matter of time.Did anyone stop or barred him from returning back to his motherland?
Moreover, his self imposed exile should not be a reason to instill fear for his life.
None is interested in harming him at all.
This game of political brinkmanship using words like 'Oh! I know who blah blah{....}should stop.
Mkuu yangekukuta yaliyomkuta lisu sidhani kama ungeandika lugha gongana,pole sanaNamhurumia sana Tundu Lisu washauri wake si wazuri mwenzao ni mgonjwa wanamshauri vibaya sana.
Anasahau kwamba Tanzania ni nchi huru yenye watu millioni 60+ anasahau kwamba Tanzania ina utawala wa Sheria, kuna mahakama ambayo ndiyo inashughulikia jinai binafsi namhurumia sana angekuwa ndugu yangu wa Karibu ningemuangukia miguuni nikimsihi arudi Tanzania aachane na Mambo ambayo kimsingi Mungu ndiye hupanga.
kwa mfano kuwa Rais wa nchi huwa ni mipango ya mwenyezi Mungu Tundu Lisu ni masikini asiye na cha kuwaachia watoto wake hata baada ya mauti kumkuta kitu pekee ambacho angeweza kuwaachia watoto wake ni Elimu bora na maadili ya kutii mamlaka za Duniani anayoyafanya Lissu kwa kweli yanasikitisha sana nadhani ashukuru tu kwamba anafanya haya kwenye nchi yenye Rais wenye huruma.
Sidhani kama kuna kiongozi yeyote Duniani anaweza kubali nchi yake kuchezewa kiasi hiki
Lissu Hadi Leo kua mzima wa afya pamoja Na kumiminiwa risasi za kutosha..Kuna kitu Kinaenda kutokea katika Nchi Yetu, Muda Utaongea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Go **** yourselfNdio mnachokijua
Eti IPU Ok haya,kwaiyo IPU watakurudishia Ubunge?
Kumekucha......Umoja wa mabunge duniani wasikitishwa na kile kinacho endelea Tanzania baada ya aliyekuwa mbunge Tundu Lissu kutishiwa maisha na kushambuliwa.
Barua hiyo imekujaaa baada ya Tundu Lisu kwenda kulipoti katika umoja huo
. Umoja wa Mabunge waiandikia Barua...kwa Tundu Lissu https://youtu.be/DQLIR9lvfmA
Sent using Jamii Forums mobile app
UHURU WA BENDERA HUOKumekucha......
Mabeberu weshaanza kukunjua makucha yao........
Ngoja tumsikie Humphrey Polepole akiwajibu kwa kuwakejeli kuwa "sisi ni Taifa huru, na hatutishwi na mabeberu wa nje"