rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hana shida nayo, anachokitetea ni kikubwa kuliko hivyo visenti vyenu vya u Bunge.Hata ukafanye intavyu na white house lkn Hela yetu ya Ubunge huipati ng’o!
Wewe mwanamke muongo sana, utakosa unyumba kwa mauongo mengi kama haya kisiasaWala hana shida nayo, anachokitetea ni kikubwa kuliko hivyo visenti vyenu vya u Bunge.
NOPE
Wasukuma @ workKitendo cha Serekali kuondoa Walinzi na CCTV camera ndani ya eneo lilipo tokea shambulio, kiukweli Serekali iliziguwa, au kugomba kuchunguza kupotea kwa Ben saanane.
Beberu Akishanusa mkojo, huwa hachezi mbali na Mkia wa mbuzi jike. Mbuzi jike hata alie vipi Beberu hasikilizi kilio.ccm wana njaa na pesa za mabeberu lakini kutwa kuwatukana, wanazipenda pesa za wazungu lakini hawataki wazungu wakatae ujinga wa ccm inashangaza sana
Hayo yapo kwa Chama cha wafuga chatu tumeona Ki-Beberu chenu kinavyo hangaika na watu wenye mtazamo tofauti nacho hata kama ni kwa mambo binafsi kinawalimisha kwa Meno.Barua tu ya Lissu watu wanachanganyikiwa hivi... Akisema chadema nilambeni miguu hakuna atayebisha
Nadhani umewrong noHayo yapo kwa Chama cha wafuga chatu tumeona Ki-Beberu chenu kinavyo hangaika na watu wenye mtazamo tofauti nacho hata kama ni kwa mambo binafsi kinawalimisha kwa Meno.
Sure sorryNadhani umewrong no
Kwani anafaida gani kwa nchi hii? Sijawah kumsikia hata akiongelea shida za lililokuwa Jimbo lake.Kwa mnaunga mkono T. Lissu kumiminiwa risasi na kuvuliwa ubunge eti Ndugai hajui alipo!!
Mnaona ni sawa angekufa, Watanzania wa ajabu nyinyi.
Ila Mungu kataka udhalimu unaofanywa kwa siri kuuweka wazi, pomoja na kujisifu eti tuna amani wakati watu wanapotezwa na kuuwawa!!
Lisu pambana wapelekwe hadi The Hague, wakiendelea kubisha!!
Wababe kina Miloshovik waliishia huko!!
Hayo ni maoni yako, MIGA wangeenda Mabeberu iwapo mngefuata MAAZIMIO ya ile ripoti Ya "Proffesorial Rabbish" ya kudai fidia yale maZILLION ya kushangaza ulimwengu ....ndo mngejua Kinachofuata baada ya BEBERU kukunusa Mkojo, Huyo Mbuzi jike wenu aliejifungia zizini Angesafiri Nnje ya Afrika kwenda kutafuta Nafuu kwa BEBERU mwingine.Kwani anafaida gani kwa nchi hii? Sijawah kumsikia hata akiongelea shida za lililokuwa Jimbo lake.
Lisu ni mwanasiasa mpuuzi. Na mpuuzi always anatakiwa kupuuzwa. Hatuna muda na siasa za kipuuzi ambazo hazina maslah kwa taifa. Akae huko huko MIGA watanzania tumemkataa.
Nonesense. Watanzania gani uwaongelee wewe baada ya kula viroba.Kwani anafaida gani kwa nchi hii? Sijawah kumsikia hata akiongelea shida za lililokuwa Jimbo lake.
Lisu ni mwanasiasa mpuuzi. Na mpuuzi always anatakiwa kupuuzwa. Hatuna muda na siasa za kipuuzi ambazo hazina maslah kwa taifa. Akae huko huko MIGA watanzania tumemkataa.