Prof.Safari aliwashauri wapinzani WASISHIRIKI CHAGUZI IWAPO HAKUNA HIYO TUME HURU MUITAKAYO...lakini wapiiiiiiiii......
Ruzuku Ruzuku Ruzuku Ruzuku
CHADEMA UKAWA ikawarubuni kina marehemu MAKAIDI.....
CHADEMA UKAWA ikawarubuni kinaMAALIM hadi JUMA DUNI HAJI akahamia CDM awe mgombea mwenza...
CHADEMA UKAWA ikamrubuni JAMES MBATIA......
Walirubuniwa kwa PESA ZA RUZUKU.....
Baada ya kufanikisha zile Kura milioni 6....WAKAWAGEUKA WENZAO HAO....
Sumni shilingi hawakuwapa.....
WENZAO WAMEWASHTUKIA KIPINDI HIKI....
James Mbatia hataki hata KUWASIKIA.....
Selasini utamkasirisha ukimkumbusha CHADEMA....
Chama Cha Wajanjawajanja wa MJINI....
Naulizaje eti "mtendaji mkuu" huwa ANAFUNGWA KAMBA KICHAA KIKIMPANDA?!!!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]