Kweli nakuunga mkono jamaangu. Hivyo hata tukiitwa "wapumbavu" hapa Tz kama bado tuna watu ka weye baasi bwana nimekubali tu wapumbavu. Hivi kwako wapinzani ni mabaradhuli au? Hivi unajua hata kama ni chama kimoja wakiitisha uchaguzi maanake ni kuwa kujitokeze wa kumpinga aliyeko madarakani?? Sasa kama hawatakaa washinde, uchaguzi ni wa nini?? Hayo mahela yooote wanayokwenda kuyamwaga kwa gharama za uchaguzi ambao hakuna mshindani si akheri wangenunua mchele wakagawia kila familia Tz tukala wali??Wapinzani ni watu wa kushangaza sana, yani kweli wana matumaini ya kushinda uchaguzi huu. Hahah hakuna rangi wataacha kuona
Bangi hizi duh Yani umevuta umekuja humu
Nyie watu mmevurugwa mapambio yenu ya TUME HURU huku mnashiriki uchaguzi yanaisha lini??
Njaa zenu za kugombea ruzuku yatawatokea puani mwaka kuu.
BILA UKAWA HAKUNA ONGEZEKO RUZUKU.
Nipo hapa namsubiri ZITTO ambaye mlimtabiria kila aina ya laana.
Hiyo Clip yenyewe hii hapa:
hata mimi nimejiuliza , ina maana amekubali kujitoa mhanga tayari kwenye uchaguzi huu--- ameuliza: "are we going to be alive?" Ndio swali kauliza
Mbona kila mahali leo ni tundu lissu tu?
Of course hakuna uchaguzi huru na wa haki, Magufuli ashawaahidi mara nyingi sana na akaonyesha mifano kwenye chaguzi ndogo kadhaa zilizopita. Ni mpumbavu pekee anayetegemea vinginevyo.
Muda ukifika hakuna wa kuurudisha nyumaNadhani hizi ni nyakati zake, na hakuna anaeweza kubadili kitu.
Huyu Salary Slip ndio katika nyumbu wa pale ufipa yeye ndio anaongoza kwakutijimbua
Jiwe asipobadilika kuna jambo kubwa sana linafuata nyuma ya pazia, yote kwa yote tumshukuru Mungu huu msiba utakuwa umepunguza morali ya wananchi juu ya ujio wa Lissu.
Kwani Siha kuna raia walipigwa risasi na polisi kama ilivyokuwa Kinondoni?
Zanzibar Cuf waligoma kushiriki, nini faida yake walipata?Prof.Safari aliwashauri wapinzani WASISHIRIKI CHAGUZI IWAPO HAKUNA HIYO TUME HURU MUITAKAYO...lakini wapiiiiiiiii......
Ruzuku Ruzuku Ruzuku Ruzuku
CHADEMA UKAWA ikawarubuni kina marehemu MAKAIDI.....
CHADEMA UKAWA ikawarubuni kinaMAALIM hadi JUMA DUNI HAJI akahamia CDM awe mgombea mwenza...
CHADEMA UKAWA ikamrubuni JAMES MBATIA......
Walirubuniwa kwa PESA ZA RUZUKU.....
Baada ya kufanikisha zile Kura milioni 6....WAKAWAGEUKA WENZAO HAO....
Sumni shilingi hawakuwapa.....
WENZAO WAMEWASHTUKIA KIPINDI HIKI....
James Mbatia hataki hata KUWASIKIA.....
Selasini utamkasirisha ukimkumbusha CHADEMA....
Chama Cha Wajanjawajanja wa MJINI....
Naulizaje eti "mtendaji mkuu" huwa ANAFUNGWA KAMBA KICHAA KIKIMPANDA?!!!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kabisa, haya majinga ya mataga. Its better yakubali kuwa yatatumia goli la mkono kuliko kujifanya yako perfect, mara tume iko huru.Wakati mfano wa haraka ulionekana uchaguzi serikali za mitaa.Of course hakuna uchaguzi huru na wa haki, Magufuli ashawaahidi mara nyingi sana na akaonyesha mifano kwenye chaguzi ndogo kadhaa zilizopita. Ni mpumbavu pekee anayetegemea vinginevyo.
Mkuu, maCCM yameondoa sauti kwenye hiyo video aisee.Hiyo Clip yenyewe hii hapa:
hata mimi nimejiuliza , ina maana amekubali kujitoa mhanga tayari kwenye uchaguzi huu--- ameuliza: "are we going to be alive?" Ndio swali kauliza