Mkikosa hoja za kujibu ndio mnashoboka utumbo kama huu!! Shame on you!! Una matatizo makubwa sana kichwani!
Lissu huyohuyo si ndio alikuwa anazunguka ana mponda Magufuli?Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.
Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.
Akitoa mfano wa huyu wa sasa:
1. Kauza bandari kwa DPW
2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.
3. Mfumko wa bei usio na mantiki
4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.
5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri
6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa
7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali
8. Kukosa mvuto kwa raia!
CHADEMA pale kwenye minimum reforms kwenye katiba ya sasa;katiba itamke kuwa endapo Rais aliyechaguliwa kwa kura na Wananchi akifariki basi Makamu wa Rais ataapishwa kuwa Rais wa mpito kwa kipindi cha siku 90 uku serikali ikiandaa uchaguzi Mkuu.
Samia katupiga na kitu kizito kichwani aisee,hapana kwa kweli!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sasa hapo Magufuli wa watu kaingiaje?Lissu huyohuyo si ndio alikuwa anazunguka ana mponda Magufuli?
Kweli MkuuHuyu mama alipoharibu kabisa ni kugawa bandari zetu na hifadhi zetu za asili. Hapa kwa kweli hastahili kusamehewa.
SureMwashambwa ni punguani kabisa. Hakuna siku amewahi kutoa mchango wa maana hapa jukwaani. Huyu ni wa kumpuuza au kumsamehe. Naye kazaliwa hivyo; ni binadamu. Maana hata mtu akikosa akili kabisa kama alivyo huyu mwenzetu, bado ni mwanadamu.
😁😁Niliwahi kukuambia kuwa hoja zote zinazohitaji akili kuchangia, wewe ni vema ukatulia. Maana huwezi kutumia kitu ambacho huna. Hoja inahitaji utumie akili katika kuchangia, huna akili, unadhani bado utaweza kuchamgia chochote zaidi ya kuropoka?
Yaani anayejiita Rais mtarajiwa anachechemea? Hapana, ikitokea vita ataongozaje jeshi?Leo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.
Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.
Akitoa mfano wa huyu wa sasa:
1. Kauza bandari kwa DPW
2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.
3. Mfumko wa bei usio na mantiki
4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.
5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri
6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa
7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali
8. Kukosa mvuto kwa raia!
Kwenda zako huko wewe.yaani amtukane Rais wetu halafu unaleta ujinga wako hapa wewe? Huna akili kama unatetea ujinga huo wa kumdhalilisha Rais wetu.
Matokeo ya katiba mbovu, au siyo?Rais wenu na nani?
Samia aligombea urais lini?
She is just there inadvertently.
Huwezi kuwa na utulivu huku ukiwa na njaa.Hili la bei za vyakula ndilo linaloharibu utulivu wa nchi.
Kumbe ulishaingia kwenye salary schedule, sikuhizi hatuoni.Li Tundu Lissu ni likichaa tu .alishakosa malezi mazuri ya mama yake tokea akiwa mdogo na ndio maana ni mkubwa lakini kubwa jinga tu.maana anaongeaga kwa kuropoka ropoka tu utafikiri mtu aliyekatika mishipa ya fahamu au aliyepata ajali na kupata majeraha ya kichwa na kutikisa ubongo. Mtu unayejitambua na mtu mzima huwezi ukawa unaropoka pasipo heshima wala adabu.
Lissu ni mjinga sana tena sana. Ni mkubwa mwili tu lakini hana akili ya Kiutu uzima. Ni mtu aliyekosa staha na adabu.ni.mtu mzima lakini.amejaa mihemuko na ukurupukaji kama vuta bangi lililo kubuhu.
Bora ukichaa wa Magufuli ulikuwa na manufaa kwa wengi.Magufuli alikuwa kichaa- hilo alikiri mwenyewe. The man was a sadist.
Kufuata sheria ni kuuza Ngorongoro na bandari?
Unaamini ni kweli wamasai wamehama kwa hiari?
Uwepo wa ccm ni laana
Ila ni mzigo sana kwa Taifa kuongozwa na 'failure'.Mjinga ni yule aliyepata 0 kidato cha nne anatembelea upepo wa PhD za kupewa.
Hapa ndo huwa nakuona ni mpumbavu wa kupindukia kabisaKaandamane na familia yako maana watanzania hawana huo ujinga wa kuandamana kwa ajili ya ujinga wa kutaka uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo
Tundulisu mwenyewe wa ovyoooooLeo Mh. Tundu Lissu akiwa Ivory Coast moja kati ya aliyoyasema kwenye hotuba yake ni ubovu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa.
Amesema katiba inetuletea viongozi wa hovyo wasio na uchungu kwa wananchi wao wala raslimali za nchi kwa vile hawakuingia madarakani kihalali.
Akitoa mfano wa huyu wa sasa:
1. Kauza bandari kwa DPW
2. Kuwaondoa Wamasai Ngorongoro na Loliondo kwa nguvu ili wakae Waarabu.
3. Mfumko wa bei usio na mantiki
4. Ukali wa maisha hasa kwa wananchi wanyonge na wa hali ya chini.
5. Kutowajibika kwa baadhi ya watendaji wake ipasavyo wakiwamo mawaziri
6. Matumizi makubwa (anasa) kwa serikali ya sasa
7. Ongezeko la tozo na kodi mbalimbali
8. Kukosa mvuto kwa raia!
Mtaani huku watu kibao wanasema wataandamana, lazima maadamano si jambo bayaKaandamane na familia yako maana watanzania hawana huo ujinga wa kuandamana kwa ajili ya ujinga wa kutaka uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo
Chawa naona umeumia vibaya maana Hawa viongozi majizi ya kura unayaona miungu. Huwezi kuwa na heshima kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa chaguzi za kihayawani.Uzalendo upi zaidi ya ujinga na uhayawani tu