Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Mkikosa hoja za kujibu ndio mnashoboka utumbo kama huu!! Shame on you!! Una matatizo makubwa sana kichwani!
Mwashambwa ni punguani kabisa. Hakuna siku amewahi kutoa mchango wa maana hapa jukwaani. Huyu ni wa kumpuuza au kumsamehe. Naye kazaliwa hivyo; ni binadamu. Maana hata mtu akikosa akili kabisa kama alivyo huyu mwenzetu, bado ni mwanadamu.