Pre GE2025 Tundu Lissu: Katiba ya ovyo imetuletea Rais wa ovyo asiye na uchungu kwa raia wake wala rasilimali za nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Konda ambaye hajui na Wala hajawahi hata kuwaza kama ipo siku atakua dereva wa kuendesha gari, ghafla dreva wake kafariki wakiwa njiani abiria wakamtupia konda kiti Cha mbele na kumuamuru awapeleke wanapoenda.... Unategemea Nini?
...duh! Naye konda bila kuwaambia abiria kuwa hana ufundi huo wala kwamba kuendesha gari la abiria ni jambo nyeti linahitaji umakini, anachekelea na kuona ni bahati toka mbinguni, konda anaona Mungu anampenda na kuna abiria wanamuona jasiri- roho za abiria hazioni kuwa kitu ...loh!
 
Mjibu kwa hoja? Kwani ww ulipata malezi mazuri ya wazazi wako?
 
Lisu ni kati ya wale watu ambao utengamano wa uwezo wao wa kufikiri hutegemeana na majira ya mwezi. Sasa hivi naona mwezi uko kona!
 
Akiwekwa Lisu na wewe nani ataonekana mjinga.
 
Hizi hoja zimejisimamia zenyewe.
 
WEWE NDIYE MJINGA. mTU MAKINI HAWEZI KUWA USALAMA. BADALA YA KUJADILI HOJA WATUKANA. MATUSI HAYO YAKURUDIE MWENYEWE NA ALIYEKUTUMA. HILI NI JAMVI LA WATU WENYE AKILI, KAMA HUNA SI LAZIMA UCHANGIE.
 
Katiba hii hii ilimfanya akawa mbunge, na hakuukataa, ni hii imempa uhalali wa kuwa makamu wa mbowe na hajaukataa

Lakini nyani haoni kundule, kuna katiba mbovu kama ya chadema inayomfanya mwenyekiti wake akae madarakani hadi afe kwa uzee!
 
Wananchi wanaotumia Bima ya Afya ya NHIF kukosa huduma ya dawa mahospitalini, barabara za maeneo mengi ya miji mbovu, watendaji wa serikalikukwapua pesa za umma na kujilimbikizia mali
 
Kwanza Tundu lissu sio level Yako wewe uliezaliwa vichakani kutwa kulamba matyako ya wajinga wenzako
 
Kuna watu watasema katikana la hasha!
Ni vyema tukaanza kudadavua kauli yake na ukweli ulivyo kwa sasa kabla ya kuanza kuhoji.
 
Katiba hii hii ilimfanya akawa mbunge, na hakuukataa, ni hii imempa uhalali wa kuwa makamu wa mbowe na hajaukataa

Lakini nyani haoni kundule, kuna katiba mbovu kama ya chadema inayomfanya mwenyekiti wake akae madarakani hadi afe kwa uzee!
Unaijua katiba ya chadema maharage wewe!
 
Katiba hii hii ilimfanya akawa mbunge, na hakuukataa, ni hii imempa uhalali wa kuwa makamu wa mbowe na hajaukataa

Lakini nyani haoni kundule, kuna katiba mbovu kama ya chadema inayomfanya mwenyekiti wake akae madarakani hadi afe kwa uzee!
Watu wanapambana kupitia katiba mbovu ilikuiondoa katiba hii ni ya chama kimoja tukiendelea kuichekea nchi yetu itazidi kua maskini kuliko nchi zote barani Afrika
 
Hatuna Raisi na anadhani bado wananchi wanamtaka, hii nchi basi tu.Yaan Rais wa nchi na wapambe wake wote wanadhani watanzania wanapenda sana ugumu wa maisha ilihali wao na makundi yao wananeemeka.The day is coming.
 
Hatuna Raisi na anadhani bado wananchi wanamtaka, hii nchi basi tu.Yaan Rais wa nchi na wapambe wake wote wanadhani watanzania wanapenda sana ugumu wa maisha ilihali wao na makundi yao wananeemeka.The day is coming.
Inasikitisha sana kwa kweli.
Sina uhakika kama huwa wanapita mitaani au mitandaoni walau kusikia maoni ya walio wengi kuwahusu.
Raia wengi wamechoshwa na hali ilivyo.
Wengi wanataka mabadiliko kamili.
Na hayo mabadiliko hayawezi kuletwa na hii Regime ambayo tayari imeshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…