Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Tundu Lissu: Kifo au ugonjwa wa kiongozi yeyote haufichiki. Tuambieni alipo Makamu wa Rais Philip Mpango

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Tundu Lissu kupitia akaunti binafsi ya mtandao wa X ameandika,

'Hivi Serikali hii ilijifunza chochote juu ya kifo cha Magufuli mwaka juzi? Kifo au ugonjwa wa kiongozi mkuu wa nchi havifichiki! Kufichaficha kunaleta hisia mbaya za mchezo mchafu dhidi yake. Jisafisheni! Tuambieni aliko Makamu wa Rais Phillip Mpango sasa!'

Mpango Lisu.png

Pia soma > Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa: Makamu wa Rais, Philip Mpango yuko nje kwa majukumu
 
Whatever secret is not sincere.
Sijui wanapata maslahi gani watu hawa kwa kuficha jambo hili???

Kwa wananchi wa kawaida, kutokana hali hii ya usiri wa. Kijinga, ni rahisi sana kuwahisi vibaya watu hawa kwamba "Wana ajenda yao mbaya ya Siri" dhidi ya mtu huyu aliyepotea ghafla machoni pa umma.
 
Very true utawala huu ni wamejaa mashetani na wanajenga Imani ya kuwa wao wanaua wenzao
Utawala wa Kimafya wa Sirikali Kuna kitu tunafichwa na Serikali lakini baadae tutakuja kuelewa kuna mchezo mbaya unatendeka hapo. Picha ya kutisha bado ina endelea tunaingojea mwisho wake itakuwaje? Nchi yetu haina amani kwa Raia wake mpaka viongozi wake. Kuna watu wachache wabaya aidha wapo ndani ya Serikali ya mama wetu au hawapo ndani ya Serikali ndio wanaofanya huo mchezo mbaya tungojee matokeo yake yatakuwaje?
 
Back
Top Bottom